Mzee
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 13,602
- 5,809
Habari za hapa Jukwaani.
Kuna Muuzaji wa Mirungi maarufu pale Usangi wilaya ya Mwanga eneo la Ndanda maarufu kama Kijiweni.
Kuna Jamaa mmoja ikifika mida ya Jioni Pikipiki zinajaa pale Kijiweni kununua Mirungi na Bhangi.
Huyu Jamaa anahusika sana kuharibu sana Vijana pamoja kuongezeka Matukio ya Uhalifu na Ukabaji.
Tunaomba Mamlaka zitusaidie kupambana na huyu mtu. Inaoneka Polisi wa Mwanga wanahongwa ili kumlinda. Naomba Mamlaka zitusaidie kupambana na huyu mtu.
Nawasilisha.
Kuna Muuzaji wa Mirungi maarufu pale Usangi wilaya ya Mwanga eneo la Ndanda maarufu kama Kijiweni.
Kuna Jamaa mmoja ikifika mida ya Jioni Pikipiki zinajaa pale Kijiweni kununua Mirungi na Bhangi.
Huyu Jamaa anahusika sana kuharibu sana Vijana pamoja kuongezeka Matukio ya Uhalifu na Ukabaji.
Tunaomba Mamlaka zitusaidie kupambana na huyu mtu. Inaoneka Polisi wa Mwanga wanahongwa ili kumlinda. Naomba Mamlaka zitusaidie kupambana na huyu mtu.
Nawasilisha.