Uuzwaji nyumba za Serikali: John Magufuli, Mussa Magufuli, Sundi Malomo kushtakiwa (Raia Mwema)

endelea kujifariji huku ukijambajamba
 
Mbona hakuna uwiano kati ya nyumba na waliouziwa maana waliotajwa kwenye andiko lako hawaendani kabisa na idadi ya nyumba yaan ni nyingi sana, kwa hili kajipange
 
Ufisadi uko wapi hapo? Au ndio mnajitoatoa kuhusu Richmond,tulieni mnyolewe
 
Ni fisadi au alitumia fursa zilizikuwepo wakati huo? Au CCM iliwapima ikaamua kutuletea fisadi mdogo mdogo? Najiuliza tu! [emoji40][emoji40][emoji40]
 
Kama unaona ameuza kinyume na sheria NENDA MAHAKAMANI. kama huwezi basi kafanye mapenzi na mzazi wako.
 
magufuli ni mchumia tumbo km walivoccm wote....ameshindwa na ama amedanganya kila alichowahi kusimamia
1. Samaki wa magufuli alishindwa na kuliinhizia taifa hasara kubwa
2. Lugumi hiyo yeye yumo na imemshinda hawezi kujichukulia hatua
3. Kivuko kibovu alileta yeye wala hajajikamata na kujishitaki
4. BASHITE tu amemshinda sembuse Marais waliopita ambao alishasalimu amri hadi kuteua mke wa rais kuwa mbunge
5. Hajaweka mezani mkataba wa chatointernational airport???!!
6. Yeye binafsi hajaweka wazi mkataba wa bormberdier watz wanajua dili alizofanya yeye binafsi....
7. Hajaonesha hata nukta ya uzalendo kwa yale ambayo yeye binafsi ameshinikiza na kupazimishwa yafanyike.
8. Watz mtachezeshwa sn shere na ccm hukumnawalaumu wazungu na wachina kwa kiwaibia wkt wezi wenu ni ccmmnaowachekea
 
teh teh..huu uzi wa sept 2015 wa salva rweyemamu ndio mnaleta tena leo baada ya champion wa kupiga fisadis jpm kukamata na kufikisha watuhumiwa wakuu wa iptl mahakamani!!
 
Kama atafukua Rada EPA Richmond ipo siku na yeye watakuja kumshukia na Meli mbovu na zile nyumba.....za vimada na wadogo zake na wapya!!
 
Hivi huyu Rweyemamu Salva ndo yule aliyekuwa Ikulu kama msemaji wa Ikulu wakati wa Kikwete?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…