Al-Watan
JF-Expert Member
- Apr 16, 2009
- 11,891
- 14,583
Magufuli naye fisadi. Hoja za kwenye makala hii hazijajibiwa mpaka leo.teh teh..huu uzi wa sept 2015 wa salva rweyemamu ndio mnaleta tena leo baada ya champion wa kupiga fisadis jpm kukamata na kufikisha watuhumiwa wakuu wa iptl mahakamani!!
Kutojibiwa hoja ni kukubali kwamba hija zina ukweli.
Magufuli haaminiki kuongoza vita dhidi ya ufisadi, kwa sababu na yeye fisadi.