Magufuli naye fisadi. Hoja za kwenye makala hii hazijajibiwa mpaka leo.teh teh..huu uzi wa sept 2015 wa salva rweyemamu ndio mnaleta tena leo baada ya champion wa kupiga fisadis jpm kukamata na kufikisha watuhumiwa wakuu wa iptl mahakamani!!
Ikiwa jpm ni fisadi (kwa vigezo vyako) je lowasa utamuita nani?!Wote wenye ufahamu usio na viral infection leading to brain dysfunction wanafahamu wazi kwamba JPM ni moja ya mafisadi waliopata kutokea nchi hii!!!
Soma post ilikua ya mwaka gani sio unakurupuka kujibu tu!!James Dotto ndo katibu mkuu wizara ya fedha ?
Nani asieona labda aiejua kusomawatajifanya hawaioni hii
Waziri mkuu aliyejiuzuruIkiwa jpm ni fisadi (kwa vigezo vyako) je lowasa utamuita nani?!
Nimeisoma sana, naunganisha dots, sikujuwa kuwa nae aliuziwa nyumba, and now ni katibu fedha full kupeana vyeo ndugu.Soma post ilikua ya mwaka gani sio unakurupuka kujibu tu!!
Kumbe undugunisation ulianza longtime.Ndio Miss Victoire
Ina maana kwenye hiyo habari kuna mahali ametajwa Lowassa, au?!Ikiwa jpm ni fisadi (kwa vigezo vyako) je lowasa utamuita nani?!
Hahahahhaha, Rweyemamu, kipindi anaandika alikuwa mwana mtandao, na wanamtandao kumbuka after JK ,Lowassa ilikuwa ndo awe Rais, hivyo walianika madudu ya Magufuli ili kumtengenezea njia Lowassa, sema timing ilikuwa mbaya as waliwahi sana, ndo maana hata haijamuharibia JPM 2015, kama unavyotujua watanzania ni mabingwa wa kusahau.Ila hizi news ingekuwa nchi zilizoendelea nakuambia JPM asingekuwa Rais.ndio maana jamaa alipofika tu ikulu rweyemamu akakimbizwa kama mbwa
Teh teh teh. Isee!Kwenda huko, hili la nyumba Sumaye mbona alishalitolea ufafanuzi kwa kuwa alikuwa waziri mkuu!! Mbona ubongo wenu uneganda sana!! Akili zenu hazina akili.
Lipi hilo
Kaburi la jamaa yako
Kaburi la jamaa yako
Kaburi la jamaa yako
hili pia ni muhimu sana si umewasikia wenyewe kwa wenyewe.. na mimba za wanafunziHahahhahahahahha SIyo hilo lile la Kivuko Kibovu na Nyumba 8000 za serikali