Uuzwaji nyumba za Serikali: John Magufuli, Mussa Magufuli, Sundi Malomo kushtakiwa (Raia Mwema)

Ndio uzuri wa kupanda mibono katika makaburi hata ikipita miaka ni rahisi kujua kaburi fulani lipo wapi!🙂🙂🙂 ingefurahisha wachangiaji kama Mzee Mwanakijiji wakaja hapa! kuangalia kaburi hili !
 
Ndio uzuri wa kupanda mibono katika makaburi hata ikipita miaka ni rahisi kujua kaburi fulani lipo wapi!🙂🙂🙂 ingefurahisha wachangiaji kama Mzee Mwanakijiji wakaja hapa! kuangalia kaburi hili !
Huyo MMK ni mbafiki tu.
 
Hivi Kabuta wa Kebbys hotel ni nani kwa huyu jibwana????
Demu wake, ndo huyo huyo anaitwa hapa Sundi Malomo, ndo huyo aliyepewa nyumba Bamaga badae ikavunjwa ikajengwa hiyo Kebby's Hotel...na ndo sasa unaona kila siku anatoa hela za kujenga hicho kipande cha barabara ya Mwenge karibu na Hotel ya demu wake ili iwe rahisi kufikika!
 
Eti tunaye rais mzalendo anayepigana vita ya kiuchumi kulinda rasilimali zetu, lakini pia anayepambana na rushwa na ufisadi. Kwa kumbukumbu zangu hajawahi kukanusha hizi taarifa za gazeti la Rai. Hii iwe sticky thread,wapumbavu na watetezi wake waisome. Siku akiondoka madarakani mtakayoyasikia..mh...
 
Wakikosa namna ya kukukosoa kwa unayoyafanya sasa watafufua yaliyozikwa
 
Huyu beans 40 zake zaja
 
JPM anaongea lugha ya mwananchi, anaongea lugha aliyokuwa akipenda kuitumia Mwalimu Nyerere kuhusiana na umuhimu wa mtu wa chini kuheshimiwa kwani ndio chanzo cha mtu wa juu kuwa kama alivyo.

Ukishaeleweka miongoni mwa wananchi wa chini, hizi siasa za kufukua habari za miaka zaidi ya kumi iliyopita zinakuwa hazina mashiko.
 

Kama Huyo Laanatullahi Nyerere anaheshimu mtu wa chini asingaliivamia Zanzibar na kuuwa maelfu ya wanyonge na kuifisidi nchi mpaka leo haifurukuti
 
mbuta nanga
 
Naona imefikia zamu ya Kiswahili kutekwa, kuteswa na hata kupotezwa. Naona watu mna roho mbaya kweli kweli...yaani hadi lugha!
Mimi msukuma,wala usishangae kuweka l kwenye r.
 
Naona imefikia zamu ya Kiswahili kutekwa, kuteswa na hata kupotezwa. Naona watu mna roho mbaya kweli kweli...yaani hadi lugha!
Hahaha mkuu, watu wa kanda ya ziwa, wanakiteka kiswahili kila siku😂😂😂😂
 
Duh!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…