Uvaaji huu wa maafisa wa Chadema bungeni utafelisha barua

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
Hapa kwa wataalamu wa sheria na haswa ukichukulia speaker ni gwiji lililobobea kisheria haya mavazi ni kigezo tosha cha kuikataa barua hiyo (nakala ya hukumu) hivyo kuwapa muda wazalendo na mashujaa 19 yaani Covid-19 kupambania haki yao kama Watanzania ya kuwa na ajira,they have got families to feed not a village to impress.

Maafisa wa CHADEMA Kushoto Aaron Mashuve na Kulia Evance Luvinga Wakiwa Nje ya viunga vya Bunge, Dodoma wakiwa wametoka kuwasilisha hukumu ya Mahakama kwa Spika Tulia Ackson
 
How old are you?
 

Punguza utoto dogo.
 
Kwani wamekuambia wanataka kukuoa?
 
Jinga sana
 
Ainisha hiyo sheria husika.
sheria kwa nchi hii nani kakuambia ni lazima? neno la Rais ni sheria tosha hata neno la spika au busara zake ni sheria inategemea siku hiyo ameamkaje na ndiyo maana hadi sasa kila mtu kaufyata hakuna wa kumtikisa,spika akiamua kwamba nguo za maafisa wa chadema hazikuwa na viwango vya jengo lile tukufu basi imeisha hiyo
 
Kilasiku idadi ya vijana wa kiume inapungua Tu.....kujua Hilo angalia hapa jamiiforum wapo wengi Sana sio riziki
 
Umehama kutoka CDM ilipaswa kupeleka NEC,Sasa umehamia kwenye mavazi!
Unajidhalilisha humu jukwaani!
 
Nina wasiwasi mleta mada km hajalewa Basi kavuta wida, yy akiiangalia hiyo picha anaona km wako uchi, halafu eti anajiita genious
 
Fanya mpango ule chakula cha mchana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…