njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
jikite kwenye mada hii iliyokaa kisheria zaidiInaonesha wazi mleta mada una njaakalihatari
How old are you?Hapa kwa wataalamu wa sheria na haswa ukichukulia speaker ni gwiji lililobobea kisheria haya mavazi ni kigezo tosha cha kuikataa barua hiyo (nakala ya hukumu) hivyo kuwapa muda wazalendo na mashujaa 19 yaani covid 19 kupambania haki yao kama watanzania ya kuwa na ajira,they have got families to feed not a village to impress
View attachment 2270535
Ainisha hiyo sheria husika.jikite kwenye mada hii iliyokaa kisheria zaidi
Hapa kwa wataalamu wa sheria na haswa ukichukulia speaker ni gwiji lililobobea kisheria haya mavazi ni kigezo tosha cha kuikataa barua hiyo (nakala ya hukumu) hivyo kuwapa muda wazalendo na mashujaa 19 yaani covid 19 kupambania haki yao kama watanzania ya kuwa na ajira,they have got families to feed not a village to impress
View attachment 2270535
Kwani wamekuambia wanataka kukuoa?Hapa kwa wataalamu wa sheria na haswa ukichukulia speaker ni gwiji lililobobea kisheria haya mavazi ni kigezo tosha cha kuikataa barua hiyo (nakala ya hukumu) hivyo kuwapa muda wazalendo na mashujaa 19 yaani Covid-19 kupambania haki yao kama Watanzania ya kuwa na ajira,they have got families to feed not a village to impress.
View attachment 2270544
Maafisa wa CHADEMA Kushoto Aaron Mashuve na Kulia Evance Luvinga Wakiwa Nje ya viunga vya Bunge, Dodoma wakiwa wametoka kuwasilisha hukumu ya Mahakama kwa Spika Tulia Ackson
Jinga sanaHapa kwa wataalamu wa sheria na haswa ukichukulia speaker ni gwiji lililobobea kisheria haya mavazi ni kigezo tosha cha kuikataa barua hiyo (nakala ya hukumu) hivyo kuwapa muda wazalendo na mashujaa 19 yaani Covid-19 kupambania haki yao kama Watanzania ya kuwa na ajira,they have got families to feed not a village to impress.
View attachment 2270544
Maafisa wa CHADEMA Kushoto Aaron Mashuve na Kulia Evance Luvinga Wakiwa Nje ya viunga vya Bunge, Dodoma wakiwa wametoka kuwasilisha hukumu ya Mahakama kwa Spika Tulia Ackson
vilaza kama wewe iwe marufuku kusoma threads za ma geniusAccount kama hizi zilipaswa zifutwe jamiiforums
una uzoefu sana wa kuolewa bibiye???Kwani wamekuambia wanataka kukuoa?
sheria kwa nchi hii nani kakuambia ni lazima? neno la Rais ni sheria tosha hata neno la spika au busara zake ni sheria inategemea siku hiyo ameamkaje na ndiyo maana hadi sasa kila mtu kaufyata hakuna wa kumtikisa,spika akiamua kwamba nguo za maafisa wa chadema hazikuwa na viwango vya jengo lile tukufu basi imeisha hiyoAinisha hiyo sheria husika.
NjaakaliHow old are you?
Yule ni chizi, kuna namna ya kuvaa ukipeleka barua?Inaonesha wazi mleta mada una njaakalihatari
Tumeuona utupu wa akili zake🤣🤣🤣🤣Umehama kutoka CDM ilipaswa kupeleka NEC,Sasa umehamia kwenye mavazi!
Unajidhalilisha humu jukwaani!
Fanya mpango ule chakula cha mchana.sheria kwa nchi hii nani kakuambia ni lazima? neno la Rais ni sheria tosha hata neno la spika au busara zake ni sheria inategemea siku hiyo ameamkaje na ndiyo maana hadi sasa kila mtu kaufyata hakuna wa kumtikisa,spika akiamua kwamba nguo za maafisa wa chadema hazikuwa na viwango vya jengo lile tukufu basi imeisha hiyo
Mtumie basi hata kiingilio cha mama ntilie?Fanya mpango ule chakula cha mchana.