Uvaaji huu wa maafisa wa Chadema bungeni utafelisha barua

Uvaaji huu wa maafisa wa Chadema bungeni utafelisha barua

Hapa kwa wataalamu wa sheria na haswa ukichukulia speaker ni gwiji lililobobea kisheria haya mavazi ni kigezo tosha cha kuikataa barua hiyo (nakala ya hukumu) hivyo kuwapa muda wazalendo na mashujaa 19 yaani Covid-19 kupambania haki yao kama Watanzania ya kuwa na ajira,they have got families to feed not a village to impress.
View attachment 2270544
Maafisa wa CHADEMA Kushoto Aaron Mashuve na Kulia Evance Luvinga Wakiwa Nje ya viunga vya Bunge, Dodoma wakiwa wametoka kuwasilisha hukumu ya Mahakama kwa Spika Tulia Ackson
Hata wangevaa kaptula, kobazi na vest tu, si nakala ya hukumu bado ingefika tu!
 
Nina wasiwasi mleta mada km hajalewa Basi kavuta wida, yy akiiangalia hiyo picha anaona km wako uchi, halafu eti anajiita genious
Tulia ackson ni gwiji la sheria utasikia mwenyewe atakavyoidadavua chadema, hapa covid 19 kuondolewa inategemea tu spika kaamkaje siku hiyo ila ukweli ni kwamba siyo mahakama wala yoyote yule anayeweza kumtingisha spika na msisahau ndugai alitoa ahadi ya kuwalinda covid 19 ni lazima ahadi ile itimizwe , legacy ni muhimu kwa hawa ma spika hawawezi kusalitiana kisa wanuka jasho ma keyboard warriors
 
Kilasiku idadi ya vijana wa kiume inapungua Tu.....kujua Hilo angalia hapa jamiiforum wapo wengi Sana sio riziki
huwa unakutana nao hapa jf? acha hiyo michezo mkuu ..duh na siku nyingine usitumie thread yangu kujitangaza ushoga wako
 
Thread za ajabu ajabu kama hizi, unashangaa zinadumu.

Iko wapi JF ya Great thinkers??
 
Hapa kwa wataalamu wa sheria na haswa ukichukulia speaker ni gwiji lililobobea kisheria haya mavazi ni kigezo tosha cha kuikataa barua hiyo (nakala ya hukumu) hivyo kuwapa muda wazalendo na mashujaa 19 yaani Covid-19 kupambania haki yao kama Watanzania ya kuwa na ajira,they have got families to feed not a village to impress.
View attachment 2270544
Maafisa wa CHADEMA Kushoto Aaron Mashuve na Kulia Evance Luvinga Wakiwa Nje ya viunga vya Bunge, Dodoma wakiwa wametoka kuwasilisha hukumu ya Mahakama kwa Spika Tulia Ackson
Wenye 'Akili' huwa hawaangalii Uvaaji bali huangalia hasa 'Content' ya Kitu ( Jambo ) husika. You're a Certified Fool Mkuu.
 
vilaza kama wewe iwe marufuku kusoma threads za ma genius

Genius mdebwedo. Yaani akina Mdee kwa sababu ya mavazi ya hawa jamaa ndio wapiganie haki yao? Bila shaka wangevaa suti ungesema wamevaa suti kwa ajili ya barua tu na wana wivu!!

Kijana kama wewe iliyejawa na njaa kali tena hatari hutakiwi kupewa nafasi ya kujadili chochote. Njaa imeingia mpaka kichwani.
 
Back
Top Bottom