Uvaaji mpya wa wanawake kwenye misiba unatia aibu

Uvaaji mpya wa wanawake kwenye misiba unatia aibu

Mnazingua mjuwe nyie maana kizzo insta alikuwa na followers 2K elfu mbili tu.
Kizzo alikuwapo mtandaoni miaka mingi kabla ya kuja kwa Instagram....
Hata baada ya Instagram hali yake haikuwa nzuri hivyo kutokuwa active sana!
 
Hili jambo kwa mtu asiyeona mbali anaweza kufikiri ni utani ila inakera sana,mianaake inavaa vimini wengine madera huku ndani hawajavaa kitu cha kukinga picha wengine mabaibui yakubana makalio huku mkononi kashika simu na funguo ya gari usoni katinga mawani kubwa la jua.

Sasa unajiuliza huyu kaja msibani au kaja kujitangaza?kweli tumepoteza maadili inabidi tubadilike hata hao wazungu tunaowaiga kila siku kila kitu wao huwa wanavaa vizuri kwenye mazishi na hawajitangazii utajiri,even mkoba tu hawabebi.

I swear kwenye mazishi yangu mwanamke yeyote atakaevaa nguo ya ajabu ajabu nitakuwa namtokea kama zombie na hii Mungu akinijaalia wakati wa kuandika wosia nitalitia humo na usomwe kabisa tena kwa kurudia rudia kadiri waombolezaji wanavyojongea ili wajipange na khanga mapema.

Inasikitisha sana...........
 
Jana tulikuwa tunamzika brother Kizzo. Huyu jamaa alikuwa mtu wa watu kweli kweli. Katika umri wake aliyeishi duniani amegusa watu wengi waliokuwepo msibani watanielewa. Kila aliyesimama alisema Kizzo was a friend hata kina Millya, Lema, Nassary waliposimana walisema tumpoteza rafiki!

Kiukweli huyu jamaa alikuwa mtu poa sana kuanzia hometown Arusha hadi Dar.

Kero kubwa iliyojitokeza msibani ni wanawake waliotokea Dar es Salaam walivaa kiaibu sana. Waligeuza msiba sehemu ya kutangaza viungo vyao!

carol Ndosi ambaye ni mfiwa, alivaa vibaya sana. Alivaa dera ambalo ni transparent tulikuwa tunaona hadi nguo ya ndani aliyovaa. Hii ilipelekea wanaume kuhamishia macho kwake kwa maskitiko

Mwanamke yeyote kwenye msiba wa jana alivaa nguo inayoonesha mapaja. Hii iliwahuzunisha sana wazee wa kimeru.

Wanawake wa Dar, msibani sio sehemu ya kuonesha fasheni ya mavazi.

Nyie wanawake wa Dar badilikeni!
Acha wavae bana hizo ndio sisi wafiwa tunaita faraja,............
 
Ila mtoa mada weka kapicha basi tuone kama kweli ndosi alionesha chupi au
 
Maelezo yko Ungeweka na Picha ingependeza Sana Nlitaka Nioe lile Tako[emoji34][emoji34]
 
Kuongea bila ushaidi sipendi... utafikiri hauna simu janja
 
Picha ziko wapi? Hizo ulizopiga kichwani mwako na kuziweka kwenye text bado hatuzioni vizuri.
 
Ungezungumzia tu uvaaji mbaya kwenye msiba bila kumtaja dada wa marehemu. Kumtaja kwako inaweza kuleta dhana kuwa lengo lako lilikuwa kumshambulia tu huyo dada ila umetumia mgongo wa mavazi.
Kipindi anachopitia sasa hivi si kizuri kuanza kumshambulia kuhusu mavazi kwenye msiba wa mpendwa kaka yake.

IMG_5727.JPG


Hii ndio nguo niliyovaa siku hiyo pamoja na dada zangu wote wa familia. Na chini haikua hivyo tu siku hiyo nilivaa na Jeans nyeusi chini. Hiyo nguo ya ndani aliionaje siwezi jua labda mwenzetu ana super powers. Lakini kila jambo lina fundisho, na kwa kusoma tu maoni ya humu kuna ya kujifunza.
 
Jana tulikuwa tunamzika brother Kizzo. Huyu jamaa alikuwa mtu wa watu kweli kweli. Katika umri wake aliyeishi duniani amegusa watu wengi waliokuwepo msibani watanielewa. Kila aliyesimama alisema Kizzo was a friend hata kina Millya, Lema, Nassary waliposimana walisema tumpoteza rafiki!

Kiukweli huyu jamaa alikuwa mtu poa sana kuanzia hometown Arusha hadi Dar.

Kero kubwa iliyojitokeza msibani ni wanawake waliotokea Dar es Salaam walivaa kiaibu sana. Waligeuza msiba sehemu ya kutangaza viungo vyao!

carol Ndosi ambaye ni mfiwa, alivaa vibaya sana. Alivaa dera ambalo ni transparent tulikuwa tunaona hadi nguo ya ndani aliyovaa. Hii ilipelekea wanaume kuhamishia macho kwake kwa maskitiko

Mwanamke yeyote kwenye msiba wa jana alivaa nguo inayoonesha mapaja. Hii iliwahuzunisha sana wazee wa kimeru.

Wanawake wa Dar, msibani sio sehemu ya kuonesha fasheni ya mavazi.

Nyie wanawake wa Dar badilikeni!

7ab9150c-23c2-41fd-b23c-0a5abf53bcfd.jpg
i

Kwanza nikushukuru kwa kutuunga mkono kwenye safari ya milele ya kaka yetu mpendwa. Pili, sijui kama ni sawa, na nitalibeba hili lakini naamini kabisa hii post ilikua na lengo zaidi ya hili. Nimejibu tu sababu najua that’s what Franklin would have done. Lakini hili ndio vazi niliovaa kumsindikiza Kaka yangu kwenye safari yake ya milele. Labda hukuona vizuri ingawa inasemekana kabisa watu wengine wanakuaga color blind, na kupata blurred vision. Tuendelee kuombeana jamani. Hakika tuna mengi ya kujifunza.
 
Msiba ulikua uko kwenu migombani na hawa waliokuja ni dada zenu ambao wanasaka maisha Dar alafu unalalama eti wanawake wa Dar wana vaa ovyo wakati ni wa-Meru wenzenu hata uyo Kizzo ni wa kwenu alikua waacheni dada zetu basi maana mmetushambulia sisi mmechoka mnataka kuwaanza dada zetu
 
Back
Top Bottom