Uvaaji stara wa kike mtindo wa kiislamu watamba(Hijabu)

Uvaaji stara wa kike mtindo wa kiislamu watamba(Hijabu)

Wanapendeza sana watu wanaovaa hijjab
Hao Waarab na Waajemi wanapendeza, nyie dada zetu msijidanganye.

Mtu mweusi kama ngedere, halafu ukajifunike uache macho tu na kujidanganya eti unafanana na Aaliya wa Beintehaa...uzuzu wa akili huo.

r


Kuna tofauti hapa

img_1754.jpg


2182128ea215710e6afd17b8c3a7263c.jpg


93f88509646c6bf89832876dad754cc1.jpg


0c7dffeca3b423b16833d394d7013a9b.jpg
 
Sawa kwa macho wanapendeza ila je stara ya mwanamke wa kiislam inatakiwa iwe hvo?
Wanawake waislam tumeambiwa tuteremshe shungi zetu mpka chini ya vifua vyetu na tuinamishe macho yetu,vazi la mwanamke w kiislam halitakiwi kua na mapambo yenye kuvutia wala ming'ao.

Hawa wadada wanaoanzisha hizo fashion show wanakiuka kabisa maadili ya uislam na kuupotosha umma kwa wasiokua na elimu juu ya vazi la mwanamke wa kiislam.

Vazi la kiislam halitakiwi lioneshe maumbile ya mwili wa mwanamke,halitakiwi livutie ili usichukue attention ya watu,,lisibane,lifunike mwili mzima isipokua vitanga vya mikono na uso..(inapendeza zaidi akaziba na uso ili kutokuwashughulisha wanaume maana fitna inaanzia usoni).

Sasa je hawa wa fashion show hio stara wamejifunza kutoka kwa nani?!!!!!!!!!!!!!
 
Kuna kundi la watu wanaitwa wapotoshaji wa imani ya kiislam ...ngoja nifunge tu mdomo wangu..
 
Sawa kwa macho wanapendeza ila je stara ya mwanamke wa kiislam inatakiwa iwe hvo?
Wanawake waislam tumeambiwa tuteremshe shungi zetu mpka chini ya vifua vyetu na tuinamishe macho yetu,vazi la mwanamke w kiislam halitakiwi kua na mapambo yenye kuvutia wala ming'ao.

Hawa wadada wanaoanzisha hizo fashion show wanakiuka kabisa maadili ya uislam na kuupotosha umma kwa wasiokua na elimu juu ya vazi la mwanamke wa kiislam.

Vazi la kiislam halitakiwi lioneshe maumbile ya mwili wa mwanamke,halitakiwi livutie ili usichukue attention ya watu,,lisibane,lifunike mwili mzima isipokua vitanga vya mikono na uso..(inapendeza zaidi akaziba na uso ili kutokuwashughulisha wanaume maana fitna inaanzia usoni).

Sasa je hawa wa fashion show hio stara wamejifunza kutoka kwa nani?!!!!!!!!!!!!!
Kweli kabisa unavosema
 
Ngozi nyeupe zimetuharibia mambo mengi sana yakitamaduni
 
Hijjab sasa hivi tunazifanyia sana mamitindo kiasi kwamba ie maana halisi ya hijjab hupotea. Hijjab haitakiwi iishie juu ya kifua iatakiwa ifunike kifua kabisa ni sawa na mabaibui kwa asilimia kubwa mabaibui ya sasa tunavaa magauni sio baibui sababu yanatuonesha maumbo yetu na hayavaliwi ipasavyo

Yote kwa yote napenda stara nime penda huyo dada wa kulia zaidi
 
Hao Waarab na Waajemi wanapendeza, nyie dada zetu msijidanganye.

Mtu mweusi kama ngedere, halafu ukajifunike uache macho tu na kujidanganya eti unafanana na Aaliya wa Beintehaa...uzuzu wa akili huo.

r


Kuna tofauti hapa

img_1754.jpg


2182128ea215710e6afd17b8c3a7263c.jpg


93f88509646c6bf89832876dad754cc1.jpg


0c7dffeca3b423b16833d394d7013a9b.jpg
Ipo hivi mwanamke wa kiislam kuvaa stara kwake ni wajib na hatuvai as fashion hatuvai tupendeze hatuvai tuvutie na haijaandikwa mahali kwamba watu weusi wasivae hijaab sababu hawapendezi

Tnavaa sababu tumeambiwa tujisitiri miili yetu kama ni kupendeza mwanamke anatakiwa ampendezeshe mmewe chumbani macho ya mmewe ndio yaone mengi ya mkewe

Ijapokua sasa hivi zinavaliwa tu kama fasheni lakini utambue hijjab ni lazima kwa mwanamke wa kiislam
 
Ipo hivi mwanamke wa kiislam kuvaa stara kwake ni wajib na hatuvai as fashion hatuvai tupendeze hatuvai tuvutie na haijaandikwa mahali kwamba watu weusi wasivae hijaab sababu hawapendezi

Tnavaa sababu tumeambiwa tujisitiri miili yetu kama ni kupendeza mwanamke anatakiwa ampendezeshe mmewe chumbani macho ya mmewe ndio yaone mengi ya mkewe

Ijapokua sasa hivi zinavaliwa tu kama fasheni lakini utambue hijjab ni lazima kwa mwanamke wa kiislam
huo ndo ukweli , dini imekamilika hakuna fashion
 
Ipo hivi mwanamke wa kiislam kuvaa stara kwake ni wajib na hatuvai as fashion hatuvai tupendeze hatuvai tuvutie na haijaandikwa mahali kwamba watu weusi wasivae hijaab sababu hawapendezi

Tnavaa sababu tumeambiwa tujisitiri miili yetu kama ni kupendeza mwanamke anatakiwa ampendezeshe mmewe chumbani macho ya mmewe ndio yaone mengi ya mkewe

Ijapokua sasa hivi zinavaliwa tu kama fasheni lakini utambue hijjab ni lazima kwa mwanamke wa kiislam
huo ndo ukweli , dini imekamilika hakuna fashion
 
Back
Top Bottom