Uvaaji wa Bikini unazeesha sana na haraka Uke

Hivi mkuu Gentamycine,Kutukuka maana yake nini??,mbona hili neno unalitumia vibaya mahali pasipostahili?,anyway ni mawazo yangu tu.
 
Hivi mkuu Gentamycine,Kutukuka maana yake nini??,mbona hili neno unalitumia vibaya mahali pasipostahili?,anyway ni mawazo yangu tu.

Hivi kwa mfano nikisema kwamba hiki ulichokiandika hapa Kimetukuka kwa kuwa cha Kijinga kama siyo Kipambavu unadhani hilo neno hapo nimelitumia vibaya au siyo mahala stahili?

Nitashukuru ukinijibu Ewe JF Member uliyetukuka.
 
mzee we una mbunye nini, umejuaje kama k inazeeka kama hauna. kwahiyo na mbunye yako wewe imezeeka kwasababu ya bikin?
 
Hivi mkuu Gentamycine,Kutukuka maana yake nini??,mbona hili neno unalitumia vibaya mahali pasipostahili?,anyway ni mawazo yangu tu.

Hivi kwa mfano nikisema kwamba hiki ulichokiandika hapa Kimetukuka kwa kuwa cha Kijinga kama siyo Kipambavu unadhani hilo neno hapo nimelitumia vibaya au siyo mahala stahili Mkuu?

Nitashukuru ukinijibu Ewe JF Member uliyetukuka.
 
Hivi kwa mfano nikisema kwamba hiki ulichokiandika hapa Kimetukuka kwa kuwa cha Kijinga kama siyo Kipambavu unadhani hilo neno hapo nimelitumia vibaya au siyo mahala stahili Mkuu?

Nitashukuru ukinijibu Ewe JF Member uliyetukuka.
Mkuu,ninachofahamu mimi kwa uelewa wangu mdogo sana nilionao ni kwamba neno"Kutukuka",hutumika sana kusifia mambo mazuri,mfano tunaweza kusema kuwa-"Mh.Rais wa Tanzania amefanya kazi iliyotukuka ya kurejesha nidhamu ya watumishi wa umma".Hivyo neno hili hatuwezi kulitumia kusifia vitu viovu au visivyo na maana km vile Uzinzi,Wizi,au Via vya Uzazi km Uume na Uke,hivyo ni Viungo tu km zilivyo Pua,mdomo,nywele,kucha,meno,n.k.ambavyo Mungu aliviweka ktk miili yetu vitusaidie hivyo si halali kusema eti Vimetukuka.Aidha mtu akiiba,si sawa kusema Wizi wake umetukuka,neno hili ni zito lenye nia ya Kusifu Mambo mema yaliyotendwa na Muumba yaani Mungu Mwenyezi au Viumbe wake yaani Wanadamu waliofanya vema na kazi zao kupendeza mbele za Mungu na mbele za Wanadamu wenzao.
 

Mwishoni utaniuliza kwanini najiita GENTAMYCINE. Mkuu nikuombe tu tusichoshane kwani najijua mwenyewe nilivyo na nikiangalia dira yangu naona kama vile unaelekea kuniudhi / kunikera Kunakotukuka hivyo sitaki nikujibu vibaya halafu nikuharibie siku. Umeliona tu neno Kutukuka mbona haya mengineyo akina Popoma, Mbunye, Mkuyenge, Ngumbaru, Upupu na Hovyo Hovyo huyasemei?

Endelea tu kujijaza mwenyewe katika Frame nikufyatue vizuri ukapumzike.
 
Kaka mkubwaa!!!,nimekuudhi nini?,mimi naongea ukweli wa kile ninachokielewa.mimi natoa vidonge Ukitaka kumeza au kutema shauri yako,kutukanwa au kusemwa vibaya nishazoea,nimeanza kusemwa tangu nikiwa Tumboni mwa Mama yangu sembuse leo hii ambapo nina meno 32.Samahani Kaka usijenge bifu.Tupo pamoja Kamanda Gentamycine.
 
Kaka mkubwaa!!!,nimekuudhi nini?,mimi naongea ukweli wa kile ninachokielewa.mimi natoa vidonge Ukitaka kumeza au kutema shauri yako,kutukanwa au kusemwa vibaya nishazoea,nimeanza kusemwa tangu nikiwa Tumboni mwa Mama yangu sembuse leo hii ambapo nina meno 32.Samahani Kaka usijenge bifu.Tupo pamoja Kamanda Gentamycine.
 
bikini inaumiza sana bonde la ufa. nilishindwa kabisa kuzivaa. kidogo inikate rift valley yangu ni mateso makubwa wavae tu vimbao mbao
Inaonesha wewe ni bonge la zigo[emoji1]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…