Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 28,916
- 40,479
Imekuaje ukawa na uhakika huo?sijui ila nauhakika una mama
Umewahi kumuona?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imekuaje ukawa na uhakika huo?sijui ila nauhakika una mama
kwahiyo hujazaliwa na mama sio?Imekuaje ukawa na uhakika huo?
Umewahi kumuona?
Ameweka story kikike kike imegoma hatari sana [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Story ni tamu tena ni nzuri.
Ujumbe wake pia ni mzuri.
Umeiweka stori kikike kike imekataa[emoji23]
Nikirudi kwenye Mada: nguo special za dukani hakuna haja ya kuifua sababu inatoka moja kwa moja kiwandani. Lakini nguo za mtumba inabidi uifue tu hata kama ni tshirt unaweza kutoka vipele mwili mzima, fungus na majipu
Tatizo lako wewe hujibu maswali yangu badala yake unakimbilia kuuliza pia maswali kabla ya kujibu.kwahiyo hujazaliwa na mama sio?
ndio nina uhakika kama hayupo labda ametangulia mbel ya hakiTatizo lako wewe hujibu maswali yangu badala yake unakimbilia kuuliza pia maswali kabla ya kujibu.
Utaratibu mzuri huwa ni kujibu swali ndipo uulize.
Una uhakika nina mama?
Umewahi kumwona?
Miss Natafuta ni mwanamke namfahamu, acheni kumsakama bana.Walosema wewe ni wa kiume ila Unatumia ID ya kike wako sawa
Uyu ni wa kiume,ila anatumia ID ya kike,tumuiteje kwa majina ya siku iz?
Wapo wengi humu kuna mtu kani black hash eti nimesemea wanaotafuta wachumba wakimwona Mshana jr. wataachana na wachumba wao, kaja na maneno siyo mazuri halafu akasema utawezaje kututag. Kama mnavyojua kuna id kama lizabon na motochini tunabishana ila siyo kwa uadui ni mitazamo tu, huyu kanijia juu wakati kaja na id tofauti nimeuuliza wewe una id ngapi? Siku zote nadhani motochini ni mwanamme na lizaboni sasa najibiwa na ke kwa maneno siyo mazuri nimeshangaa. Mimi ni KE tena dada yake na Mshana jr.(siyo damu ila karibia) ila mimi siyo mlozi mimi ni atheist. Ups huwa naenda kanisani saa nyingine vikishuka.
Kimbambi wa boss naona umekuja kivingine...!!!
Hehehehe hehee... Na umeumbuka KIBOYA kweli rafiki yangu....
[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
Shemale!
achana na hao watoto mkuu ! watu wazima tunajielewaMiss Natafuta ni mwanamke namfahamu, acheni kumsakama bana.
Watu wameshindwa kulielewa bandiko lako, wanaona kama ni kitu cha ajabu mwanamke kumnunulia chupi mwanamke mwenzie, au wanawake kuonyeshana chupi, mimi sioni kama hiki ni kitu cha ajabu.achana na hao watoto mkuu ! watu wazima tunajielewa
watoto wakikua watayaona mkuu! hawa hata kuoga na mtu wanaona shidaWatu wameshindwa kulielewa bandiko lako, wanaona kama ni kitu cha ajabu mwanamke kumnunulia chupi mwanamke mwenzie, au wanawake kuonyeshana chupi, mimi sioni kama hiki ni kitu cha ajabu.
Uyu ni wa kiume,ila anatumia ID ya kike,tumuiteje kwa majina ya siku iz?
Huyo sio rizikiUyu ni wa kiume,ila anatumia ID ya kike,tumuiteje kwa majina ya siku iz?
Mpaka sasa una ID ngapi? Kwanini hukumbuki unatumia ID gani kabla hujaanzisha thredi?sijali kuhusu wao kama wamesema so what?
nina id moja mkuu nitakuwa na id mbili za nini kwa mfano hebu niambieMpaka sasa una ID ngapi? Kwanini hukumbuki unatumia ID gani kabla hujaanzisha thredi?
Panga boyUyu ni wa kiume,ila anatumia ID ya kike,tumuiteje kwa majina ya siku iz?