Uvaaji wa chupi mpya kwa wanawake

Uvaaji wa chupi mpya kwa wanawake

Wapo wengi humu kuna mtu kani black hash eti nimesemea wanaotafuta wachumba wakimwona Mshana jr. wataachana na wachumba wao, kaja na maneno siyo mazuri halafu akasema utawezaje kututag. Kama mnavyojua kuna id kama lizabon na motochini tunabishana ila siyo kwa uadui ni mitazamo tu, huyu kanijia juu wakati kaja na id tofauti nimeuuliza wewe una id ngapi? Siku zote nadhani motochini ni mwanamme na lizaboni sasa najibiwa na ke kwa maneno siyo mazuri nimeshangaa. Mimi ni KE tena dada yake na Mshana jr.(siyo damu ila karibia) ila mimi siyo mlozi mimi ni atheist. Ups huwa naenda kanisani saa nyingine vikishuka.
Teh teh teh, nimeipenda hii, waione na wapwa zangu MANI na Elli
 
Mara unatafta mdada wa chuo tena awe mzuri, Leo boss wako unamnunulia pichu Sasa tunakua Na wasiwasi
 
Boss wako anajua vitu vingi ila ajui ch*p*...
Wewe ch*p* mpya unafuaa? If yes (Why) If no (Why)
Yes binafsi lazima niifue
SABABU KUBWA; kabla sijaichagua na kuinunua mimi ilishapitia kwenye mikono mbali mbali ya watengenezaji na wanunuzi hivyo basi kwa namna yoyote ilishikwa shikwa na pengine kudondoka chini kwa bahati mbaya etc na zaidi kipochi changu ni rahisi sana Ku respond magonjwa hivyo kinahitaji usafi making sana ambao mimi nauamini kuwa ni usafi sio upya wa kiwandani
 
Sisi wanawake kuoneshana chupi ilivyokaa ni kawaida sana
Ushamba wako tu
achana nao joanah kama tusipoonyeshana mtu utajuaje brand mpya zilizotoka .yaani sikujua wanaume wa dar washamba hivi
 
Boss anakuonyesha chupi aliyo vaaa ???
Tumia neno mkeo wakat mwingne
 
Met wapi single mother huyu!!

Jana alikua ananiponda ma Engineer wote wachafu wa boxer isipokua boss wake....

Sasa cjui boss anavaa boxer na chupi at the same time....
Hehehe za kuku.

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
Haha wewe jamaa unakumbukumbu sana[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Kuna boss wangu wa kike ni rafiki yangu kiaina, ana roho nzuri sana na tunaelewana sana kiaina.

Alisafiri siku zilizopita kuna mtu akawa amepitisha chupi anauza nikamnunulia nae za kutosha jana nikampa. Asubuhi kanionesha ameivaa nikamuuliza umefua saa ngapi akaniambia chupi mpya unafua kwanini?

Huyu mama ni msomi na kaishi mbele miaka mingi tu kwahiyo anajua mambo mengi. Je chupi mpya haifuliwi?
Umbea not ad value
 
Sisi wanawake kuoneshana chupi ilivyokaa ni kawaida sana
Ushamba wako tu

Ushamba wake tu, tena wale mnaoonyeshana vyupi zilivowafit ni rahisi ku french kiss na kutomasana tomasana. Alafu mnaishia kusagana.
 
Back
Top Bottom