Who Cares?
JF-Expert Member
- Jul 11, 2008
- 3,507
- 3,371
Hahaha, be honest, kwann uliamua kumnunulia chupi na Si kitu kingine?
maamuzi yaliyojaa ukakasi hasa zama hizi za ushoga na usagaji........"am thinking critically"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha, be honest, kwann uliamua kumnunulia chupi na Si kitu kingine?
Teh teh teh, nimeipenda hii, waione na wapwa zangu MANI na ElliWapo wengi humu kuna mtu kani black hash eti nimesemea wanaotafuta wachumba wakimwona Mshana jr. wataachana na wachumba wao, kaja na maneno siyo mazuri halafu akasema utawezaje kututag. Kama mnavyojua kuna id kama lizabon na motochini tunabishana ila siyo kwa uadui ni mitazamo tu, huyu kanijia juu wakati kaja na id tofauti nimeuuliza wewe una id ngapi? Siku zote nadhani motochini ni mwanamme na lizaboni sasa najibiwa na ke kwa maneno siyo mazuri nimeshangaa. Mimi ni KE tena dada yake na Mshana jr.(siyo damu ila karibia) ila mimi siyo mlozi mimi ni atheist. Ups huwa naenda kanisani saa nyingine vikishuka.
miss natafuta kaleta mada kwa kutumwa au ni yeye na kama ni yeye je yeye ni wa kiume
Mkuu Paulo kwanza Buena Noches wala sibembelezi huyu honey faith PM yake itakuwa imejaa msg za kutokewa mana anatajwa sana katika threads za mambo ya mahusiano na hyo miguu aliyweka kwa avatar basi watu wanakimbizana PMHahaha. Hili jibu kama unabembeleza kitu hivi. Safi sana.
Yes binafsi lazima niifueBoss wako anajua vitu vingi ila ajui ch*p*...
Wewe ch*p* mpya unafuaa? If yes (Why) If no (Why)
Sisi wanawake kuoneshana chupi ilivyokaa ni kawaida sanaKumbe mnaoneshana?
achana nao joanah kama tusipoonyeshana mtu utajuaje brand mpya zilizotoka .yaani sikujua wanaume wa dar washamba hiviSisi wanawake kuoneshana chupi ilivyokaa ni kawaida sana
Ushamba wako tu
Haha wewe jamaa unakumbukumbu sana[emoji3][emoji3][emoji3]Met wapi single mother huyu!!
Jana alikua ananiponda ma Engineer wote wachafu wa boxer isipokua boss wake....
Sasa cjui boss anavaa boxer na chupi at the same time....
Hehehe za kuku.
[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
Sio poa, asante kbh.Hujambo?
Pole kwa kipigo cha jana.
Sio poa, asante kbh.
Umbea not ad valueKuna boss wangu wa kike ni rafiki yangu kiaina, ana roho nzuri sana na tunaelewana sana kiaina.
Alisafiri siku zilizopita kuna mtu akawa amepitisha chupi anauza nikamnunulia nae za kutosha jana nikampa. Asubuhi kanionesha ameivaa nikamuuliza umefua saa ngapi akaniambia chupi mpya unafua kwanini?
Huyu mama ni msomi na kaishi mbele miaka mingi tu kwahiyo anajua mambo mengi. Je chupi mpya haifuliwi?
Tumuite KEMEUyu ni wa kiume,ila anatumia ID ya kike,tumuiteje kwa majina ya siku iz?
Sisi wanawake kuoneshana chupi ilivyokaa ni kawaida sana
Ushamba wako tu
Hahaha dune hiloUyu ni wa kiume,ila anatumia ID ya kike,tumuiteje kwa majina ya siku iz?
Kasahau ile id yake ya Mr Natafuta[emoji125] [emoji125] [emoji125]Walosema wewe ni wa kiume ila Unatumia ID ya kike wako sawa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wakuu MnafatiliaaWee ndio juzi ulikua unatafuta binti wa chuo mzuri na msafi uishi nae.. Nauliza tuu lkn.