Uvaaji wa chupi mpya kwa wanawake

Teh teh teh, nimeipenda hii, waione na wapwa zangu MANI na Elli
 
Mara unatafta mdada wa chuo tena awe mzuri, Leo boss wako unamnunulia pichu Sasa tunakua Na wasiwasi
 
Boss wako anajua vitu vingi ila ajui ch*p*...
Wewe ch*p* mpya unafuaa? If yes (Why) If no (Why)
Yes binafsi lazima niifue
SABABU KUBWA; kabla sijaichagua na kuinunua mimi ilishapitia kwenye mikono mbali mbali ya watengenezaji na wanunuzi hivyo basi kwa namna yoyote ilishikwa shikwa na pengine kudondoka chini kwa bahati mbaya etc na zaidi kipochi changu ni rahisi sana Ku respond magonjwa hivyo kinahitaji usafi making sana ambao mimi nauamini kuwa ni usafi sio upya wa kiwandani
 
Sisi wanawake kuoneshana chupi ilivyokaa ni kawaida sana
Ushamba wako tu
achana nao joanah kama tusipoonyeshana mtu utajuaje brand mpya zilizotoka .yaani sikujua wanaume wa dar washamba hivi
 
Boss anakuonyesha chupi aliyo vaaa ???
Tumia neno mkeo wakat mwingne
 
Met wapi single mother huyu!!

Jana alikua ananiponda ma Engineer wote wachafu wa boxer isipokua boss wake....

Sasa cjui boss anavaa boxer na chupi at the same time....
Hehehe za kuku.

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
Haha wewe jamaa unakumbukumbu sana[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Umbea not ad value
 
Sisi wanawake kuoneshana chupi ilivyokaa ni kawaida sana
Ushamba wako tu

Ushamba wake tu, tena wale mnaoonyeshana vyupi zilivowafit ni rahisi ku french kiss na kutomasana tomasana. Alafu mnaishia kusagana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…