Met wapi single mother huyu!!
Jana alikua ananiponda ma Engineer wote wachafu wa boxer isipokua boss wake....
Sasa cjui boss anavaa boxer na chupi at the same time....
Hehehe za kuku.
[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
Ushimen bhana, nakupendaga ujue...Mkuu.....
Haya maswali gani ya kutiana genyez....[emoji5] [emoji5] [emoji5]
Akikujibu naomba uniite.....[emoji39] [emoji39]
ukute kuna vidume vinajipinda kumtongoza Kumbe ni dume mwenzao [emoji3] [emoji3] [emoji3]Walosema wewe ni wa kiume ila Unatumia ID ya kike wako sawa
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]ukute kuna vidume vinajipinda kumtongoza Kumbe ni dume mwenzao [emoji3] [emoji3] [emoji3]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]ukute kuna vidume vinajipinda kumtongoza Kumbe ni dume mwenzao [emoji3] [emoji3] [emoji3]
kila siku wanaume tuko washamba kwa wanawakeSisi wanawake kuoneshana chupi ilivyokaa ni kawaida sana
Ushamba wako tu
Hadi humu watu wanatongozana??????ukute kuna vidume vinajipinda kumtongoza Kumbe ni dume mwenzao [emoji3] [emoji3] [emoji3]
atakuwa SHEMALEUyu ni wa kiume,ila anatumia ID ya kike,tumuiteje kwa majina ya siku iz?
ahahaaa mimi ni mwanamme na kwa taarifa yenu nina mpenzi humuukute kuna vidume vinajipinda kumtongoza Kumbe ni dume mwenzao [emoji3] [emoji3] [emoji3]
nina mpenzi humu anawacheka sana nayeye anachangia mimi ni wa kiume ! jf ina vitukoatakuwa SHEMALE
wapi single mother huyu!!
Mkuu mbona kama unawa accuse single mums hapo[emoji115] bila sababu na hawahusiani na mada hii?
Hakuna kitu hapoLabda kapiga zile za ma g-string.
nina mpenzi humu anawacheka sana nayeye anachangia mimi ni wa kiume ! jf ina vituko
sema kweli?Mi mwenyewe hua sifui chupi mpya
ahahaaa mimi ni mwanamme na kwa taarifa yenu nina mpenzi humu
wewe ni jinsia gani?Nishawahi kusema hii kitu nafikiri alikuja kwa id nyingine kukanusha
JF ina raha zake hii picha ya avatar mm nadhani inatambulisha jinsiawewe ni jinsia gani?
arachuga minange mitupu hamna loloteThread za vijana wa Dsm vijana wa vilaini a.k.a vijana wa chipsi kuku wa arv na marota vilaini,vijana wa no pooling vijana wa moko mlangoni...na Thread zao za kuhamasisha anasa.
Vijana wa kujiremba na madem zao ..vijana wa mkorogo ndiyo vijana wa Mikoani hasa chugga tunawabutuloa machura yenu mbaya sana