Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yah yeye kajikubali ndiyo yupo hvyo sasa anawezaje kukosa uhondo wa kimini kisa manyoa.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Huyo nae noma
Hazuiwi mtu bali ni darasa tu
Uamuzi ni wa mtu binafsi
ni kweli aisee...ila kisiwe kimini sana ......Ni kweli kimini ni mojawapo ya nguo inayopendwa sana na yenye mvuto mkubwa
kuna vimini vinaishia juu ya magoti.......hivyo ndivyo navipenda.
ndiyo wapi uko?Haya uje Mabibo Brach nitakununulia
[emoji1] [emoji1] [emoji1]
Mabibo Mwisho si kuna mabwawa pale sasa ndo panafahamika zaidi kwa jina la Mabibo Beachndiyo wapi uko?
hapo ndipo wanapouza vimini?Mabibo Mwisho si kuna mabwawa pale sasa ndo panafahamika zaidi kwa jina la Mabibo Beach
Nenda Jamii photos kuna thread utapaona
https://www.jamiiforums.com/index.php?posts/15510321
ooh aya nimekuelewa. kuna chimbo pale tandari kwa mtogole acha tu. mali za ukweli.Hapana
Ni Izunguni kwetu hapo
Vimini vipo sehemu kibao km kule Big Brother,Relini na Tandale
Jidanganye unaweza kuoa demu mvaa gauni refu lakini mkorofi na Malaya tuHao ndio wa kupiga na kuacha hata haujuti kuliacha silinavaaa ovyo litakuw la. Kila mtu
Kizuri chajiuza.......Jidanganye unaweza kuoa demu mvaa gauni refu lakini mkorofi na Malaya tu
Kila sehemu na mavazi yake huwezi kwenda disko na ligauni la kanisani & vise versa
Aaah vigauni vifupi viko sexy ila pia miguu inahusika!!...[emoji16] thanks BitozMko poa walimbwende,
Ngoja niwape darasa kidogo, kimsingi uvaaji wa nguo fupi kwa wanawake pia ni fasheni ya mjini nazungumzia gauni fupi,kimini au kikaptula(kichupi) ila nazungumzia zaidi vimini na magauni mafupi.
1/Mazingira yanaruhusu?
Kabla hujavaa kimini au gauni fupi jiulize kwanza unaenda ofisini,sehemu ya ibada,starehe au kitaani tu au utapanda daladala? Ukijiridhisha wewe jipigie tu kimini chako.
2/Una miguu?
Kuvaa tu kinguo kifupi wakati una miguu mibaya ni sawa na kujidhalilisha tu kama unajijua unatembelea mikono usivae vazi hili.
3/Kiatu kirefu ndio mwake
Ili utoke bomba na gauni fupi au kimini hakikisha unavaa kiatu kirefu, lakini kimini pia kinaweza kuvaliwa na flat shoes kikaeleweka utaonekana wa kijanja.
4/Epuka kuinamainama
Ukivaa vazi fupi kamwe usitake kuinama unaweza kujikuta mali zako zinabaki nje.Njia bora wakati unaokota/kuchukua kitu ni kuchuchumaa tu.
5/Kaa kwa staha
Wakati wa kukaa hakikisha unapishanisha miguu badala ya kuachanisha au kuitanua, utakaa uchi !!!!!
6/Uvaaji wa kaptula fupi/kichupi
* Huvaliwa chumbani au sehemu ya starehe
* Inapendeza ukivalia top au blauzi
* Hakikisha miguu yako ipo soft![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
The Bitoz
Sanaaaa[emoji4]Hiyo no 2 nimeielewa sanaaaaa mini na [emoji151] [emoji151] ni muhimu sanaa
[emoji23][emoji23][emoji23]Dah kanichekesha tu huyo msela wa kwenye katuni ,baada ya kutolewa nje kaamua kumlipua dada wa watu