Uvaaji wa magauni mafupi, vimini, kikaptula

Uvaaji wa magauni mafupi, vimini, kikaptula

makovu? kuna mdada ana manyoa mguuni na vazi lake pendwa ni kimini.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Huyo nae noma
Hazuiwi mtu bali ni darasa tu
Uamuzi ni wa mtu binafsi
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Huyo nae noma
Hazuiwi mtu bali ni darasa tu
Uamuzi ni wa mtu binafsi
yah yeye kajikubali ndiyo yupo hvyo sasa anawezaje kukosa uhondo wa kimini kisa manyoa.
 
yah yeye kajikubali ndiyo yupo hvyo sasa anawezaje kukosa uhondo wa kimini kisa manyoa.
Ni kweli kimini ni mojawapo ya nguo inayopendwa sana na yenye mvuto mkubwa
 
ni kweli aisee...ila kisiwe kimini sana ......
1473166250710.jpg

Vaa kimini uonekane wa mjini
[emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Hapana
Ni Izunguni kwetu hapo
Vimini vipo sehemu kibao km kule Big Brother,Relini na Tandale
ooh aya nimekuelewa. kuna chimbo pale tandari kwa mtogole acha tu. mali za ukweli.
 
Hao ndio wa kupiga na kuacha hata haujuti kuliacha silinavaaa ovyo litakuw la. Kila mtu
 
Hao ndio wa kupiga na kuacha hata haujuti kuliacha silinavaaa ovyo litakuw la. Kila mtu
Jidanganye unaweza kuoa demu mvaa gauni refu lakini mkorofi na Malaya tu
Kila sehemu na mavazi yake huwezi kwenda disko na ligauni la kanisani & vise versa
 
Jidanganye unaweza kuoa demu mvaa gauni refu lakini mkorofi na Malaya tu
Kila sehemu na mavazi yake huwezi kwenda disko na ligauni la kanisani & vise versa
Kizuri chajiuza.......
 
Mko poa walimbwende,

Ngoja niwape darasa kidogo, kimsingi uvaaji wa nguo fupi kwa wanawake pia ni fasheni ya mjini nazungumzia gauni fupi,kimini au kikaptula(kichupi) ila nazungumzia zaidi vimini na magauni mafupi.

1/Mazingira yanaruhusu?
Kabla hujavaa kimini au gauni fupi jiulize kwanza unaenda ofisini,sehemu ya ibada,starehe au kitaani tu au utapanda daladala? Ukijiridhisha wewe jipigie tu kimini chako.

2/Una miguu?
Kuvaa tu kinguo kifupi wakati una miguu mibaya ni sawa na kujidhalilisha tu kama unajijua unatembelea mikono usivae vazi hili.

3/Kiatu kirefu ndio mwake
Ili utoke bomba na gauni fupi au kimini hakikisha unavaa kiatu kirefu, lakini kimini pia kinaweza kuvaliwa na flat shoes kikaeleweka utaonekana wa kijanja.

4/Epuka kuinamainama
Ukivaa vazi fupi kamwe usitake kuinama unaweza kujikuta mali zako zinabaki nje.Njia bora wakati unaokota/kuchukua kitu ni kuchuchumaa tu.

5/Kaa kwa staha
Wakati wa kukaa hakikisha unapishanisha miguu badala ya kuachanisha au kuitanua, utakaa uchi !!!!!

6/Uvaaji wa kaptula fupi/kichupi
* Huvaliwa chumbani au sehemu ya starehe
* Inapendeza ukivalia top au blauzi
* Hakikisha miguu yako ipo soft
81fbab3c7c46b9379b932d3b46683b14.jpg
48774b80c5c6b04881581fdda8338547.jpg
1e11604ae2993f353b6fc7f8fbc8ca5c.jpg
e9396466eb9b1772a834c5786d163180.jpg
e6a5997b8a6157ed884cebb2e65298bd.jpg
e0357e1f39acc1b5a3a564171ff96804.jpg
db353a5d27a574563eacda6e60b17bd9.jpg
25d746174a3015097f01d51e7b82c1d4.jpg
bc05f53555058d68fe6e04e2866ee6a0.jpg
0fe1b2e312f741f6adb46e8d9cd4cc2b.jpg
1aa3003fc9126f5845988d17f8343bc0.jpg
526cf397d1d1f2b9f7afbcee80c80cd9.jpg
fef2ad73d8acf8a85aecf9403e8e3a57.jpg
74433b0ed63404c240c73d212bca0cec.jpg
c78dee8111ee51540c73dc344ef7be6e.jpg
48fc5d424c9821477d82ac273287bec9.jpg
1bdc319c56fddef8e868f7f21ed20050.jpg
44b799a468706e0feef5ea8f854b8b5a.jpg
bbe9cef76bb04944a3c4f032ab5a2a0e.jpg
175768f6119311675a3de41fc670b80c.jpg



The Bitoz
Aaah vigauni vifupi viko sexy ila pia miguu inahusika!!...[emoji16] thanks Bitoz
 
Back
Top Bottom