Uvaaji wa mavazi haya ni ulimbukeni wa kiwango cha juu sana

Kwahyo huyo Baba Mungu Mtoto wake ni Yesu?
 
Kwani hizo nguo ni pure 100% cotton
Au ni material sawa na nguo zingine zivaliwazo Daresalama?
 
Mtoa mada we umeona kitu tulichoiga ni hilo vazi tu? Mbona hata boxer uliyovaa ni umeiga pia maana sio utamaduni wetu, vua nguo zote vaa magome ya miti ndo tukuone kweli we una machungu
 
Kwahyo huyo Baba Mungu Mtoto wake ni Yesu?
Ulikuwa hujui kama YESU KRISTO ni mwana wa MUNGU??
Hujui kuwa hata wewe pia unaweza kufanyika mwana wa MUNGU??
Hujui kama Malaika wanaitwa "wana wa MUNGU"??
Unajua kuwa kuna Ufalme wa MUNGU unakuja duniani na YESU KRISTO ndiyo atakuwa Mfalme katika ufalme huo?
Unajua kuwa ili upate kuingia katika Ufalme huo ni lazima "Umwamini YESU KRISTO, Ubatizwe, na uyashike mafundisho yake yote na kuyafanya?
Unajua kuwa usipoamini na kutubu utachomwa moto na kuangamizwa?
Unajua kuwa wale wote watakao amini watafanywa kuwa wana wa MUNGU na wataishi milele katika Ufalme wa MUNGU? Haujachelewa bado, unaweza kuamini kuanzia sasa.
 
Mbona na kama una jazba vile
Hiyo "jazba" umeiona wapi? Au na wewe unaabudu mashetani ukidhania una mwabudu MUNGU. Lucifer ni mjanja sana, amewadanganya wengi na mnamwabudu bila hata kujua. Lakini, ukitaka kuijua KWELI utaijua tu, ukiwa na shingo ngumu, haya shauri yako.
 
Naomba unieleweshe vizuri hapo kwenye neno mwana ni sawa na Mtoto si ndio?
 
Kwa hiyo ungefurahi kama angevaa suruali, kanzu, na koti juu? Labda una lako jambo!
 
[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
 
Kila mtu apambane na hali yake,achana nao mkuu na joto hili vijipu uchungu viwanyooshe unawambia lkn hawaelewi!! Jamaniiiiiiiiii!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…