Uvaaji wa nguo ya ndani aina ya bikini

Uvaaji wa nguo ya ndani aina ya bikini

tya02

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2014
Posts
850
Reaction score
1,061
Poleni n majukumu,
Hivi wanawake wenzangu(baadhi) tunaopendelea kuvaa bikini,wenzangu huwa mnavaaje au mnamudu vp,maana mwenzenu nazipenda sana ila nikivaa basi kila saa naichomoa maana inakua imeingia ktkt y makalio,sas nauliza au kuna style y kuivaa jamani hii fasheni n mm niipatie?
 
Nguo hutengenezwa kwa ajili ya mahali flani. Shati/Blausi ivaliwe juu yaani kifuani ndo mahala pake. Bikini, kuingia huko ndo utamu wake, yaani siye wenye mimacho mikubwa tufaidi. Unaichomoa huko kwa nini??
Bikini ikizamia ndo fashion. Utashangaa, binti kajivalia ka mini kake, kamebana inavyo stahili, sasa mwache atembee, mara anaishusha na kuivuta mpaka pindo lina furumuka upande, Huwa najiuliza; Huyu mwenzetu, alivalishwa?? Hakutokea chumbani mwake baada ya kujiangalia muda mrefu kwa kioo full??
Kama hujui kuivaa nguo flan, waachie wenyewe wala usijitie vidole mwenyewe. Unapofanya hivyo, unawatamanisha wengine kuwa, Laiti kidole chako kingekatika ukaniomba msaada wa kukusaidia kuichomoa humo. Pambaaaaf sana
 
tupia na kapicha maana si wote tunazijua hizo ndude.
images
 
Bikini inastiri sana ukivaa na dinner dress, kwakuwa haiweki ramani, tafuta inayokutosha tu. Kwakifupi sizipendi sana, lakini ninazo 2/3 zinavaliwa inapobidi.
Halafu unajua najuaga we mwanaume.

Siku nyingine naonaga we mwanamke, halafu siku nyingine nakuona wewe mwanaume.

Wewe ni mwanamke au mwanaume??

Sorry 4dhisi.
 
Halafu unajua najuaga we mwanaume.

Siku nyingine naonaga we mwanamke, halafu siku nyingine nakuona wewe mwanaume.

Wewe ni mwanamke au mwanaume??

Sorry 4dhisi.
Mkuu unampango wa kunitolea mahari ukishajua gender yangu?
 
Inaitwa G-string...... Ndio fashion yake mkanda kupitamo hapo katikati. Usichomoe acha
 
acha ikae huko huko shogaaa
Hahahahaha shouger mwenzangu ikakaa huko huko naona tabu nahis kama inanichubua kunako jamni tena kuna hii yenye kikamba kimoja mbele nikivaa nahisi clitorisis inawaka moto
 
Ila mkivaaga ikini huwa mnapendeza sana aisee.

Lakini pia huwa mnatusaidia wenye roho ndogo kusuuza macho maana ukimwangalia mwanamke aliyevaa bikini mfadhaiko hupungua kwa kiasi chake.
Hahahaha
 
Back
Top Bottom