Pre GE2025 UVCCM: Bodaboda Ndio Injini ya Ukuaji Uchumi wa Taifa la Tanzania Ndio maana Serikali ya Awamu ya 6 ya Dr Samia Inawapenda

Pre GE2025 UVCCM: Bodaboda Ndio Injini ya Ukuaji Uchumi wa Taifa la Tanzania Ndio maana Serikali ya Awamu ya 6 ya Dr Samia Inawapenda

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Katibu Mkuu wa UVCCM mh Jokate amesema Bodaboda Ndio Injini ya Ukuaji Uchumi wa taifa letu

Ndio Sababu Serikali ya Awamu ya 6 ya Rais Samia Inawapenda, amesisitiza Boss huyo wa UVCCM
---
Katibu Mkuu wa UVCCM, Jokate Mwegelo amesema Maafisa usafirishaji (Madereva bodaboda) ni injini muhimu katika ukuaji wa uchumi wa Taifa la Tanzania ndio maana Serikali ya awamu ya sita chini ya Rais wa Tanzania ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM, Dkt. Samia Suluhu Hassan inawapenda na kuwathamini.

Jokate ameyasema hayo July 30,2024 wakati akiongea na Madereva bodaboda hao Jijini Dar es Salaam kwenye zoezi la uzinduzi wa usajili wa Wanachama wa CCM kielektroniki kwa Madereva.

“Ndugu zangu Chama Cha Mapinduzi kinawapenda na kuwathamini sana Vijana, ninyi ni Watu muhimu katika shughuli zetu za kila siku, ninyi ni Mashahidi kulikuwa na kero kibao hata kuingia Mjini ilikuwa ngumu lakini Chama Cha Mapinduzi kwa kushirikiana na Serikali tumeweza kuondoa vikwazo vyote sasa mnafanya kazi zenu bila bughudha yoyote”

Source: Ayo tv

Baadae mlale Unono 😄😄
 
Katibu Mkuu wa UVCCM mh Jokate amesema Bodaboda Ndio Injini ya Ukuaji Uchumi wa taifa letu...
Daaaaa eti huyo ndio think tank wa mwenyekiti wa ccm kumshauri kuhusu vijana na strategies kuwainua vijana, khaa jamaniii .

Hakuna ubunifu hakuna viwanda vidogo vidogo kutengenwza ajìra hakuna kilimo kisasa kwa vikundi hakuna ufugaji wa kisasa hakuna uvuvi wa kisasa mabwawa na visimba?

Ameona boda boda tu wata puah upepo miaka mingapi?
 
Daaaaa eti huyo ndio think tank wa mwenyekiti wa ccm kumshauri kuhusu vijana na strategies kuwainua vijana ......khaa jamaniii .....hakuna ubunifu hakuna viwanda vidogo vidogo kutengenwza ajìra tunahakuna kilimo kisasa kwa vikundi hakuna ufugaji wa kisasa hakuna uvuvi wa kisasa mabwawa na visimba ? Ameona boda boda tu .....wata puah upepo miaka mingapi ?
Tuna safari ndefu kama huyo ndio think tank, halaf ndio kijana. Akifika uzeeni sijui itakuwaje
 
Katibu Mkuu wa UVCCM mh Jokate amesema Bodaboda Ndio Injini ya Ukuaji Uchumi wa taifa letu

Ndio Sababu Serikali ya Awamu ya 6 ya Rais Samia Inawapenda, amesisitiza Boss huyo wa UVCCM

Source: Ayo tv

Baadae mlale Unono 😄😄
Seriously?
 
Huu uzi utafutwa muda si mrefu kutokana na hyo ishu kutoka kigogo media. Ule wa mwanzo umeshaondolewa tayar
 
Katibu Mkuu wa UVCCM mh Jokate amesema Bodaboda Ndio Injini ya Ukuaji Uchumi wa taifa letu

Ndio Sababu Serikali ya Awamu ya 6 ya Rais Samia Inawapenda, amesisitiza Boss huyo wa UVCCM

Source: Ayo tv

Baadae mlale Unono 😄😄
Tulia kwanza, Bado mapema!! Anawapenda kivipi?
 
Katibu Mkuu wa UVCCM mh Jokate amesema Bodaboda Ndio Injini ya Ukuaji Uchumi wa taifa letu

Ndio Sababu Serikali ya Awamu ya 6 ya Rais Samia Inawapenda, amesisitiza Boss huyo wa UVCCM

Source: Ayo tv

Baadae mlale Unono 😄😄
Mkuu, Jokate kabisa? Labda utakuwa umemsingizia! Hiyo si kauli ya msomi wa level ya Jokate.
 
Katibu wa vijana anakubali na kufurahia vijana kuwa bodaboda au kwavile ni vijana wetu tu?
 
Katibu Mkuu wa UVCCM mh Jokate amesema Bodaboda Ndio Injini ya Ukuaji Uchumi wa taifa letu

Ndio Sababu Serikali ya Awamu ya 6 ya Rais Samia Inawapenda, amesisitiza Boss huyo wa UVCCM

Source: Ayo tv

Baadae mlale Unono 😄😄
Unayo yako au unaongea kwa sababu unatumia VXR
 
Katibu Mkuu wa UVCCM mh Jokate amesema Bodaboda Ndio Injini ya Ukuaji Uchumi wa taifa letu

Ndio Sababu Serikali ya Awamu ya 6 ya Rais Samia Inawapenda, amesisitiza Boss huyo wa UVCCM

Source: Ayo tv

Baadae mlale Unono 😄😄
Kichaa
 
Katibu Mkuu wa UVCCM mh Jokate amesema Bodaboda Ndio Injini ya Ukuaji Uchumi wa taifa letu

Ndio Sababu Serikali ya Awamu ya 6 ya Rais Samia Inawapenda, amesisitiza Boss huyo wa UVCCM
---
Katibu Mkuu wa UVCCM, Jokate Mwegelo amesema Maafisa usafirishaji (Madereva bodaboda) ni injini muhimu katika ukuaji wa uchumi wa Taifa la Tanzania ndio maana Serikali ya awamu ya sita chini ya Rais wa Tanzania ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM, Dkt. Samia Suluhu Hassan inawapenda na kuwathamini.

Jokate ameyasema hayo July 30,2024 wakati akiongea na Madereva bodaboda hao Jijini Dar es Salaam kwenye zoezi la uzinduzi wa usajili wa Wanachama wa CCM kielektroniki kwa Madereva.

“Ndugu zangu Chama Cha Mapinduzi kinawapenda na kuwathamini sana Vijana, ninyi ni Watu muhimu katika shughuli zetu za kila siku, ninyi ni Mashahidi kulikuwa na kero kibao hata kuingia Mjini ilikuwa ngumu lakini Chama Cha Mapinduzi kwa kushirikiana na Serikali tumeweza kuondoa vikwazo vyote sasa mnafanya kazi zenu bila bughudha yoyote”

Source: Ayo tv

Baadae mlale Unono 😄😄
Duuh hii ni hatare na nusu. huwezi zania bi shost kuongea hivyo mnalewaga nn???
 
Kila siku wanakufa
Wanakatika miguu,mikono
Wanapasuka vichwa
Wanakimbizwa na maskari
Bodaboda roho mkononi

Unasema ni kazi ya maana

Ova
 
Back
Top Bottom