Pre GE2025 UVCCM: Bodaboda Ndio Injini ya Ukuaji Uchumi wa Taifa la Tanzania Ndio maana Serikali ya Awamu ya 6 ya Dr Samia Inawapenda

Pre GE2025 UVCCM: Bodaboda Ndio Injini ya Ukuaji Uchumi wa Taifa la Tanzania Ndio maana Serikali ya Awamu ya 6 ya Dr Samia Inawapenda

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
kama kweli ni engine basi tunatumia usafiri wa bajaj
 
Shabiby, Zuberi, Superfeo walivyokuwa na miaka 25 walikuwa na mabasi matano kila mtu, hawa bodabida kwa umri huo wa miaka 25 sidhani kama wanazo mbili kila mtu, sanasana wanamoja moja nazo ni za marejesho,
 
Shabiby, Zuberi, Superfeo walivyokuwa na miaka 25 walikuwa na mabasi matano kila mtu, hawa bodabida kwa umri huo wa miaka 25 sidhani kama wanazo mbili kila mtu, sanasana wanamoja moja nazo ni za marejesho,
Ahmed Shabiby amerithi

Omar Msigwa Super Feo alianza kusimamia Biashara za mjomba wake Herode Mbilinyi

Ulale Unono 😃
 
Back
Top Bottom