Lole Gwakisa
JF-Expert Member
- Nov 5, 2008
- 4,768
- 2,361
Wazee wa busara walisema , mtu akidanganya mara kwa mara bila uongo huo kukanushwa hadharani, wale wasioujua ukweli watadhani uongo huo ni ukweli.
Katika mchakato wa Katiba Mpya, wapinzani , hususan CHADEMA na CUF wameshikilia bango Rais kutoweka sahihi kwenye muswada mkakati wa mabadiliko ya katiba.
Wapinzani wanajisahau kuwa wana makelele mengi, lakini kuna watanzania waliowengi sana ambao hawaungi mkono vurugu zao.
Bungeni, wao wachache(kama watu 40 hivi) wakasusia majadiliano ya wengi(karibia wabunge280) kuhusu mkakati huo wa mabadiliko ya katiba.
Wazungu wanasema ni vyema ku-call a spade a spae, uVCCM na CCM inabidi wajipange na waanzishe maandamano ya kuunga mkono wabunge wao nchi nzima.
Ni vema wapinzani wakajua kuti walilolikalia!!
Katika mchakato wa Katiba Mpya, wapinzani , hususan CHADEMA na CUF wameshikilia bango Rais kutoweka sahihi kwenye muswada mkakati wa mabadiliko ya katiba.
Wapinzani wanajisahau kuwa wana makelele mengi, lakini kuna watanzania waliowengi sana ambao hawaungi mkono vurugu zao.
Bungeni, wao wachache(kama watu 40 hivi) wakasusia majadiliano ya wengi(karibia wabunge280) kuhusu mkakati huo wa mabadiliko ya katiba.
Wazungu wanasema ni vyema ku-call a spade a spae, uVCCM na CCM inabidi wajipange na waanzishe maandamano ya kuunga mkono wabunge wao nchi nzima.
Ni vema wapinzani wakajua kuti walilolikalia!!