UVCCM, CCM tuanzishe maandamano nchi nzima kuunga mkono mapendekezo ya mabadiliko ya katiba!!!

UVCCM, CCM tuanzishe maandamano nchi nzima kuunga mkono mapendekezo ya mabadiliko ya katiba!!!

Wazee wa busara walisema , mtu akidanganya mara kwa mara bila uongo huo kukanushwa hadharani, wale wasioujua ukweli watadhani uongo huo ni ukweli.

Katika mchakato wa Katiba Mpya, wapinzani , hususan CHADEMA na CUF wameshikilia bango Rais kutoweka sahihi kwenye muswada mkakati wa mabadiliko ya katiba.

Wapinzani wanajisahau kuwa wana makelele mengi, lakini kuna watanzania waliowengi sana ambao hawaungi mkono vurugu zao.
Bungeni, wao wachache(kama watu 40 hivi) wakasusia majadiliano ya wengi(karibia wabunge280) kuhusu mkakati huo wa mabadiliko ya katiba.


Wazungu wanasema ni vyema ku-call a spade a spae, uVCCM na CCM inabidi wajipange na waanzishe maandamano ya kuunga mkono wabunge wao nchi nzima.


Ni vema wapinzani wakajua kuti walilolikalia!!

Kwa aina ya Ujinga uliofanyika Bungeni, kwa namba propaganga zinavyotumika kuondoa uhalisia, nadhani maandamano hayo yakiruhusiwa yaruhusiwe kwa hasara yenu na faida ya wazalendo
 
Kwa aina ya Ujinga uliofanyika Bungeni, kwa namba propaganga zinavyotumika kuondoa uhalisia, nadhani maandamano hayo yakiruhusiwa yaruhusiwe kwa hasara yenu na faida ya wazalendo
Hayo maandamano hayatawahusu, ila kama mtoa mada alivyosema, bora noma iwe noma!
 
Wazee wa busara walisema , mtu akidanganya mara kwa mara bila uongo huo kukanushwa hadharani, wale wasioujua ukweli watadhani uongo huo ni ukweli.

Katika mchakato wa Katiba Mpya, wapinzani , hususan CHADEMA na CUF wameshikilia bango Rais kutoweka sahihi kwenye muswada mkakati wa mabadiliko ya katiba.

Wapinzani wanajisahau kuwa wana makelele mengi, lakini kuna watanzania waliowengi sana ambao hawaungi mkono vurugu zao.
Bungeni, wao wachache(kama watu 40 hivi) wakasusia majadiliano ya wengi(karibia wabunge280) kuhusu mkakati huo wa mabadiliko ya katiba.


Wazungu wanasema ni vyema ku-call a spade a spae, uVCCM na CCM inabidi wajipange na waanzishe maandamano ya kuunga mkono wabunge wao nchi nzima.


Ni vema wapinzani wakajua kuti walilolikalia!![/QUOTE


]

kipofu

Kwli hii inaonesha ni jinsi gani ccm hili swala la katiba wanataka kulibabaisha! Nyie fanyeni hayo maandamano tuone kama kuna watz watawaunga mkono! Mtakua nyie wenyewe na watu wenu wa kukusanya na magari
 
Wazee wa busara walisema , mtu akidanganya mara kwa mara bila uongo huo kukanushwa hadharani, wale wasioujua ukweli watadhani uongo huo ni ukweli.

Katika mchakato wa Katiba Mpya, wapinzani , hususan CHADEMA na CUF wameshikilia bango Rais kutoweka sahihi kwenye muswada mkakati wa mabadiliko ya katiba.

Wapinzani wanajisahau kuwa wana makelele mengi, lakini kuna watanzania waliowengi sana ambao hawaungi mkono vurugu zao.
Bungeni, wao wachache(kama watu 40 hivi) wakasusia majadiliano ya wengi(karibia wabunge280) kuhusu mkakati huo wa mabadiliko ya katiba.


Wazungu wanasema ni vyema ku-call a spade a spae, uVCCM na CCM inabidi wajipange na waanzishe maandamano ya kuunga mkono wabunge wao nchi nzima.


Ni vema wapinzani wakajua kuti walilolikalia!!

yaani wewe ni pimbi kwelikweli, inaonesha ni kiasi gani akili zenu ziulivo fupi hadi mantuimia wachina sheria hamzijui kabisa. kumbuka kura ya veto UN akigopma mmoja tu mjadala haupit, sembuse na majembe 46 vs vilaza 280
 
Back
Top Bottom