UVCCM, CCM tuanzishe maandamano nchi nzima kuunga mkono mapendekezo ya mabadiliko ya katiba!!!


Kwa aina ya Ujinga uliofanyika Bungeni, kwa namba propaganga zinavyotumika kuondoa uhalisia, nadhani maandamano hayo yakiruhusiwa yaruhusiwe kwa hasara yenu na faida ya wazalendo
 
Kwa aina ya Ujinga uliofanyika Bungeni, kwa namba propaganga zinavyotumika kuondoa uhalisia, nadhani maandamano hayo yakiruhusiwa yaruhusiwe kwa hasara yenu na faida ya wazalendo
Hayo maandamano hayatawahusu, ila kama mtoa mada alivyosema, bora noma iwe noma!
 
 

yaani wewe ni pimbi kwelikweli, inaonesha ni kiasi gani akili zenu ziulivo fupi hadi mantuimia wachina sheria hamzijui kabisa. kumbuka kura ya veto UN akigopma mmoja tu mjadala haupit, sembuse na majembe 46 vs vilaza 280
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…