UVCCM Dar es salaam Huu ni udini wa wazi kabisa Katika siasa za Tanzania.

UVCCM Dar es salaam Huu ni udini wa wazi kabisa Katika siasa za Tanzania.

The Burning Spear

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2011
Posts
4,118
Reaction score
9,864
Binafsi mi naamini siasa za Africa ni udini Ukanda/ukabila, vitisho na rushwa.

Hakuna kingine, mnachokiona hapo ndo Hali halisi ya siasa zetu za TZ. Kwa akili hizi hatuwezi kupiga hatua.

Swali Hakuna wala nguruuwe
Wangefaa japo Hata nafasi tatú tu Hapo?.

Most of Tanzania politicians ni vilaza fuatilieni elimu Zao wengi wame unga unga.

Hata hizi changamoto tunazohangaika nazo ni kukosa thinking Big leaders.

IMG-20221119-WA0005.jpg
 
Binafsi mi naamini siasa za Africa ni udini Ukanda/ukabila, vitisho na rushwa.

Hakuna kingine, mnachokiona hapo ndo Hali halisi ya siasa zetu za TZ. Kwa akili hizi hatuwezi kupiga hatua.

Swali Hakuna wala nguruuwe
Wangefaa japo Hata nafasi tatú tu Hapo?.

Most of Tanzania politicians ni vilaza fuatilieni elimu Zao wengi wame unga unga.

Hata hizi changamoto tunazohangaika nazo ni kukosa thinking Big leaders.

View attachment 2420704
Kuna ujumbe fulani, just look at the big picture. I rest my case.
 
Naona mtoto wa amina chifupa
Hapo

Ova
 
Waislam huwa wakilalamika kuhusu udini huwa mnawashambulia kwa maneno machafu na yaliyo jaa kejeli.
Sasa na nyinyi tulieni dawa iwaingie.
 
Back
Top Bottom