Pre GE2025 UVCCM Geita yamtaka Mbunge Kanyasu aombe radhi vijana kwa kauli zake

Pre GE2025 UVCCM Geita yamtaka Mbunge Kanyasu aombe radhi vijana kwa kauli zake

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Jumuiya ya Vijana ya Chama cha Mapinduzi UVCCM Mkoa wa Geita imelaani vikali baadhi ya kauli ambazo zimekuwa zikitolewa na baadhi ya Viongozi akiwemo Mbunge wa Jimbo la Geita Mjini Mh. Costantine Kanyasu ya kubeza vijana kutokuwa na sifa ya kuwa Viongozi.

Tamko hilo la Vijana limekuja baada ya Mbunge wa Jimbo la Geita Mjini Costantine Kanyasu akiwa katika kata ya Ihanamilo wakati alipokuwa akigawa Kompyuta 5 zenye thamani ya Shilingi Milioni 10 huku akilalamika kuwepo kwa wimbi la wananchi ambao wamekuwa hawatoi pongezi kwa kazi anazozifanya badala yake wananchi wanampongeza Mh Rais.


Pia, Soma
 
Yaani anataka amuautishaini masta?

Kanyasu inabidi asome kisa cha Sauli kumchukia Daudi, Daudi aliimbiwa hivi.

"Sauli amewauwa maelfu, Daudi amewauwa makumi elfu"

Sasa mbunge, tena anayegawa kompyuta 5 karibia uchaguzi, anataka tumuimbe kuzidi masta wake ambaye hata akiamua anaweza kukata jina lake hata akiwa amepata kura nyingi za kuwakilisha chama jimboni kwake?

Pathetiki.
 
wimbi la wananchi ambao wamekuwa hawatoi pongezi kwa kazi anazozifanya badala yake wananchi wanampongeza Mh Rais.
Wacha weeeeeeee Watu wameanza kuona huu ni upumbavu, kila kitu anapongezwa yeye! Hahahaha
 
Mapambio yamezidi kwakweli 😄😄, hata mimi namshukuru mheshimiwa juzi nimesajili laini ya kampuni ya yas na ofa ya vocha ya 5000
 
Naona Bahima Empire wanazidi kutengeneza Influence yao Tanganyika kupitia Geita na Kagera.

Na kwa sababu yuko UVCCM siku si nyingi ataingizwa TISS alafu yakianza kutokea ya Congo Mashariki mtaanza kujiuliza tulikosea wapi.

Huyu Tutsi arudishwe kwao na ndugu zake waliojaa kwenye system ya nchi hii kina britanicca
 
Jumuiya ya Vijana ya Chama cha Mapinduzi UVCCM Mkoa wa Geita imelaani vikali baadhi ya kauli ambazo zimekuwa zikitolewa na baadhi ya Viongozi akiwemo Mbunge wa Jimbo la Geita Mjini Mh. Costantine Kanyasu ya kubeza vijana kutokuwa na sifa ya kuwa Viongozi.

Tamko hilo la Vijana limekuja baada ya Mbunge wa Jimbo la Geita Mjini Costantine Kanyasu akiwa katika kata ya Ihanamilo wakati alipokuwa akigawa Kompyuta 5 zenye thamani ya Shilingi Milioni 10 huku akilalamika kuwepo kwa wimbi la wananchi ambao wamekuwa hawatoi pongezi kwa kazi anazozifanya badala yake wananchi wanampongeza Mh Rais.


Pia, Soma
computer 5 milioni 10 hizi za kariakoo
 
Lord denning hebu njoo umuangalie huyu jamaa kiongozi wa UVCCM si ndio mapandikizi ya kitutsi tunayoyaoongelea humu kila siku?
 
Jumuiya ya Vijana ya Chama cha Mapinduzi UVCCM Mkoa wa Geita imelaani vikali baadhi ya kauli ambazo zimekuwa zikitolewa na baadhi ya Viongozi akiwemo Mbunge wa Jimbo la Geita Mjini Mh. Costantine Kanyasu ya kubeza vijana kutokuwa na sifa ya kuwa Viongozi.

Tamko hilo la Vijana limekuja baada ya Mbunge wa Jimbo la Geita Mjini Costantine Kanyasu akiwa katika kata ya Ihanamilo wakati alipokuwa akigawa Kompyuta 5 zenye thamani ya Shilingi Milioni 10 huku akilalamika kuwepo kwa wimbi la wananchi ambao wamekuwa hawatoi pongezi kwa kazi anazozifanya badala yake wananchi wanampongeza Mh Rais.


Pia, Soma
Pameanza kuchangamka.. Geita wameanza tusubiri wengine
 
Jumuiya ya Vijana ya Chama cha Mapinduzi UVCCM Mkoa wa Geita imelaani vikali baadhi ya kauli ambazo zimekuwa zikitolewa na baadhi ya Viongozi akiwemo Mbunge wa Jimbo la Geita Mjini Mh. Costantine Kanyasu ya kubeza vijana kutokuwa na sifa ya kuwa Viongozi.

Tamko hilo la Vijana limekuja baada ya Mbunge wa Jimbo la Geita Mjini Costantine Kanyasu akiwa katika kata ya Ihanamilo wakati alipokuwa akigawa Kompyuta 5 zenye thamani ya Shilingi Milioni 10 huku akilalamika kuwepo kwa wimbi la wananchi ambao wamekuwa hawatoi pongezi kwa kazi anazozifanya badala yake wananchi wanampongeza Mh Rais.


Pia, Soma
Huyu mwenyekiti UVCCM Geita ni mkimbizi MnyaRwanda anapambana aingie kwenye utawala wa nchi hapa ndipo inathibitisha ukweli aliousema CDF

Kanyasu is right wanaotakiwa kusifiwa ni wananchi maana ndio wanatoa pesa hizo sio za rais.
 
Lord denning hebu njoo umuangalie huyu jamaa kiongozi wa UVCCM si ndio mapandikizi ya kitutsi tunayoyaoongelea humu kila siku?
Ndo wenyewe hao. Kichaka chao cha kuingia kwenye mifumo ya nchi ndo huko UVCCM.

Wanaingilia Ngara pale wanasogea hadi Geita wanajifunza kisukuma alafu wanajiita wasukuma.

Huyo hapo anajifanya anaongea kwa uchungu na ana uchungu na CCM kuliko hata mama yake. Siku si nyingi unamkuta TISS

Mkakati wao ni ule ule kushika sekta nyeti na baadae nafasi za juu za maamuzi za Tanzania.

Hii nchi ishakuwa fucked up! Hayo yote yanafanyika huku JWTZ wakijenga Bar na kumbi za starehe kwenye kambi zao huku TISS wakishindana kujipendekeza kwa Rais na CCM ili matumbo yao yashibe.
 
Jumuiya ya Vijana ya Chama cha Mapinduzi UVCCM Mkoa wa Geita imelaani vikali baadhi ya kauli ambazo zimekuwa zikitolewa na baadhi ya Viongozi akiwemo Mbunge wa Jimbo la Geita Mjini Mh. Costantine Kanyasu ya kubeza vijana kutokuwa na sifa ya kuwa Viongozi.

Tamko hilo la Vijana limekuja baada ya Mbunge wa Jimbo la Geita Mjini Costantine Kanyasu akiwa katika kata ya Ihanamilo wakati alipokuwa akigawa Kompyuta 5 zenye thamani ya Shilingi Milioni 10 huku akilalamika kuwepo kwa wimbi la wananchi ambao wamekuwa hawatoi pongezi kwa kazi anazozifanya badala yake wananchi wanampongeza Mh Rais.


Pia, Soma
Wameyataka wenyewe sasa wanalalamika
 
Ndo wenyewe hao. Kichaka chao cha kuingia kwenye mifumo ya nchi ndo huko UVCCM.

Wanaingilia Ngara pale wanasogea hadi Geita wanajifunza kisukuma alafu wanajiita wasukuma.

Huyo hapo anajifanya anaongea kwa uchungu na ana uchungu na CCM kuliko hata mama yake. Siku si nyingi unamkuta TISS

Mkakati wao ni ule ule kushika sekta nyeti na baadae nafasi za juu za maamuzi za Tanzania.

Hii nchi ishakuwa fucked up! Hayo yote yanafanyika huku JWTZ wakijenga Bar na kumbi za starehe kwenye kambi zao huku TISS wakishindana kujipendekeza kwa Rais na CCM ili matumbo yao yashibe.
Sahihi kabisa jamaa huwa wanajifanya wasukuma au wahaya na wamejaa sana Ngara na Geita, na huwa wanajua sana kuwateka watanzania akili hadi wanaingizwa chamani(CHAMA CHA MAJAMBAZI)

Halafu kuwashtukia hawa jamaa kuwa wapo hapa nchini kimikakati ni rahisi sana, kwanza siku zote chama cha siasa wanachoingia ni hicho hicho tu...

Kama kweli wao wanapenda siasa za Tanzania kwanin hatuwaoni kwenye vyama vingine vya siasa tofauti na CCM???

Na pia kwanin most of times wakiingia tu huko UVCCM wanautafuta uongozi na kujifanya wana uchungu sana na chama?

TISS na JWTZ wameshadanyika na hii questionable ethinic diversity ya Tanzania, kwamba eti hawa nao ni wenzetu.. ndio maana wamelala na hawana habari wanachojua wao ni kulewa tu na kuwalinda wanasiasa.
 
Back
Top Bottom