UVCCM ipo hai? Mimi naona kama imeshakufa

UVCCM ipo hai? Mimi naona kama imeshakufa

Rasterman

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2015
Posts
33,894
Reaction score
44,117
Ndugu zangu hii UVCCM ya sasa ina shida gan? Zamani ilikuwa jambo la kawaida uvccm ikiwa kwenye shughuli zake inaweza kufadhili hata miradi ya maendeleo vijijiini na mikoani.

Yaani ile UVCCM ya akina Nape, Makonda, Hapi na baadae akina Kheri James siioni tena. UVCCM imekufa imepotea kabisa.

Je, tatizo imekosa ufadhili?
Je, UVCCM imeitelekeza serikali au serikali ndio imeitelekeza Uvccm?

Naona CCM haina future kabisa.
 
Nguvu ya Mamba iko kumaji. Twende na tozo zitatuvusha😅
 
Ndugu zangu hii UVCCM ya sasa ina shida gani?

Zamani ilikuwa jambo la kawaida UVCCM ikiwa kwenye shughuli zake inaweza kufadhili hata miradi ya maendeleo vijijiini na mikoani.

Yaani ile uvccm ya akina Nape, Makonda, Hapi na baadae akina Kheri James siioni tena. UVCCM imekufa imepotea kabisa.

Je, tatizo imekosa ufadhili?

Je, UVCCM imeitelekeza serikali au Serikali ndio imeitelekeza Uvccm?

Naona CCM haina future kabisa.
Imemezwa na Shaka kwani kazi zao anazifanya yy
 
Tulia wewe saizi Chama kipo katika michakato ya uchaguzi wa ndani wa chama, Subiri uchaguzi upite utaona Moto wake utakao washwa nchini kufuatilia utekelezaji wa ilani ya chama, Ila nafurahi na kufarijika napoona watu na watanzania wengi namna Matumaini na Imani yao ilivyowekwa ndani ya CCM na jumuiya zake,

Hakika CCM Ni chama kiongozi, Ni tumaini la wanyonge na waliokata tamaa, Ndio maana kila mtu anaingalia CCM kwa jicho la matumaini, mtu akifika katika ofisi ya CCM anakuwa na uhakika na matumaini ya kupata suluhu ya kero yake,

Serikali ya CCM ipo kazini, viongozi wa CCm wapo kazini na mh Mama yetu yupo kazini muda wote kutoa majibu na suluhisho kwa wanyonge,kazi iendelee
 
FB_IMG_1575390800494.jpg
 
Uvccm umeuwawa na yule wa sindano za sumu badala ya kumchoma Tundu Lissu kaichoma hiyo Jumuiya. yafuye.
 
Tulia wewe saizi Chama kipo katika michakato ya uchaguzi wa ndani wa chama, Subiri uchaguzi upite utaona Moto wake utakao washwa nchini kufuatilia utekelezaji wa ilani ya chama, Ila nafurahi na kufarijika napoona watu na watanzania wengi namna Matumaini na Imani yao ilivyowekwa ndani ya CCM na jumuiya zake,

Hakika CCM Ni chama kiongozi, Ni tumaini la wanyonge na waliokata tamaa, Ndio maana kila mtu anaingalia CCM kwa jicho la matumaini, mtu akifika katika ofisi ya CCM anakuwa na uhakika na matumaini ya kupata suluhu ya kero yake,

Serikali ya CCM ipo kazini, viongozi wa CCm wapo kazini na mh Mama yetu yupo kazini muda wote kutoa majibu na suluhisho kwa wanyonge,kazi iendelee
Ccm imebaki kuwa tumaini la majizi
 
Back
Top Bottom