Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ramli chonganishi hii mkuuFASTJET mliwafukuza kwa uongo mwingi ili ATCL ipate wateja. Njia mliyotumia kwa Precision ni ya KISHETANI kabisa.
Anyway, ATCL ibakie peke take!.
Nyooka hatujui wamefanyajeFASTJET mliwafukuza kwa uongo mwingi ili ATCL ipate wateja. Njia mliyotumia kwa Precision ni ya KISHETANI kabisa.
Anyway, ATCL ibakie peke take!.
UTABIRI WA AJALI+CHUMBA CHA KUONGOZEA NDEGE, nadhani utakuwa umenipata.Ramli chonganishi hii mkuu
Chukua hiyo ingineSijui kwa nini nimejikuta nacheka baada ya hii post kmmk sisiyemu
Hawa ni wase**ge tukio la simazi wanaleta uchama
Taari ziligoma kushuka zambele na mafuta hayakutosha kufika mwanzaUTABIRI WA AJALI+CHUMBA CHA KUONGOZEA NDEGE, nadhani utakuwa umenipata.
Hali ya hewa mbaya badala ya kumwambia rubani arudi Mwanza unamwambia tua kwenye maji tutakuja kukuokoa!
Yani mimi binafsi huwa situkani ila kwa hichi kitendo tangu ajali nimekua natukana hwa watu kmmkSijui kwa nini nimejikuta nacheka baada ya hii post kmmk sisiyemu
Tafuta Gazeti LA Mwananchi LA Leo 07/11/2022 usikie walionusurika walichoongea.Taari ziligoma kushuka zambele na mafuta hayakutosha kufika mwanza
Hili neno nalo linatia simanzisimazi
Tupo msibani tulia kwanza😁Hili neno nalo linatia simanzi
Tupo msibani tulia kwanza[emoji16]
Mawazo yko yanaleta logic flan ivUTABIRI WA AJALI+CHUMBA CHA KUONGOZEA NDEGE, nadhani utakuwa umenipata.
Hali ya hewa mbaya badala ya kumwambia rubani arudi Mwanza unamwambia tua kwenye maji tutakuja kukuokoa!
Opportunist katika ubora,Hawa vijana wanajua kuona fulsa za ku "praise and worship"balaaa