UVCCM katika ubora wao🤣🤣🤣🤣

UVCCM katika ubora wao🤣🤣🤣🤣

How stupid they are...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Nachowapenda UVCCM , watatafuta kila upenyo ili waendeleze uchawa wao hata kama watabaki na aibu
 
Angerudije Mwanza Na huku keshasema ndege mafuta yanakaribia kuisha.
 
Kuna mtu aliwageuza watu kuwa mazuzu,na hizi ndio generation zao za uzuzu, na wamewaokota watanzania kuwa ni mazuzu, kwenye mazishi kutakua na parade la kufa mtu (tupo bora kwa hili)na speech za kusifia sifia vitu vya ajabu, 60yrs ya uhuru ,serikali ya ccm haina Divers pale Mwanza, Bukoba na Musoma, pia hatuna both za uokoaji ndani ya ziwa Victoria!!
 
Back
Top Bottom