UVCCM kuingiza siasa kwenye msiba wa Mkono ni ubaguzi

UVCCM kuingiza siasa kwenye msiba wa Mkono ni ubaguzi

Mmawia

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
122,494
Reaction score
96,074
Ukweli lazima usemwe tu popote pale.

Kitendo cha uvccm kushiriki mapokezi ya mwili wa marehemu Mkono wakiwa na jezi zao cha chama cha mapinduzi ni dallili tosha za kibaguzi kwenye jamii ya watanzania waliostaarabika.

Mtu akisha kufa anakua amejitoa rasmi kwenye mambo ya kidunia ikiwemo mambo ya itikadi za kisiasa.

Kwa muendelezo huu itafika hata watu kutoka vyama vingine watawaachieni wana uvccm mfanye shughuli zenu kisiasa.

Nje ya siasa watanzania wote ni ndugu hivyo wacheni hii tabia ya kibaguzi.

Poleni sana wafiwa na familia yote ya marehemu Mkono.

Screenshot_20230527-105254_Instagram.jpg
 
Ningekubaliana na ww, lakini marehemu si alikuwa mwanaCCM?
Alikuwa mwana ccm kabisa lkn unataka kutwambia kuwa hata shughuli za msiba zinatakiwa kufanywa na wana ccm pekee yao?

Kama unamaanisha hivyo basi nakubaliana na wewe na huo ndiyo utakuwa ni mwanzo wa kuubariki ubaguzi na utengano.
 
Ukweli lazima usemwe tu popote pale.

Kitendo cha uvccm kushiriki mapokezi ya mwili wa marehemu Mkono wakiwa na jezi zao cha chama cha mapinduzi ni dallili tosha za kibaguzi kwenye jamii ya watanzania waliostaarabika.

Mtu akisha kufa anakua amejitoa rasmi kwenye mambo ya kidunia ikiwemo mambo ya itikadi za kisiasa.

Kwa muendelezo huu itafika hata watu kutoka vyama vingine watawaachieni wana uvccm mfanye shughuli zenu kisiasa.

Nje ya siasa watanzania wote ni ndugu hivyo wacheni hii tabia ya kibaguzi.

Poleni sana wafiwa na familia yote ya marehemu Mkono.View attachment 2636381
Mbona anahudumiwa na kanisa lake kama mtu akifa anatoka kwenye vyama, acheni wivu, huyo ni mwana CCM acha apewe hadhi yake na vijana wake
 
Ukweli lazima usemwe tu popote pale.

Kitendo cha uvccm kushiriki mapokezi ya mwili wa marehemu Mkono wakiwa na jezi zao cha chama cha mapinduzi ni dallili tosha za kibaguzi kwenye jamii ya watanzania waliostaarabika.

Mtu akisha kufa anakua amejitoa rasmi kwenye mambo ya kidunia ikiwemo mambo ya itikadi za kisiasa.

Kwa muendelezo huu itafika hata watu kutoka vyama vingine watawaachieni wana uvccm mfanye shughuli zenu kisiasa.

Nje ya siasa watanzania wote ni ndugu hivyo wacheni hii tabia ya kibaguzi.

Poleni sana wafiwa na familia yote ya marehemu Mkono.View attachment 2636381
Wacha wafu wazike wafu wao
 
Ukweli lazima usemwe tu popote pale.

Kitendo cha uvccm kushiriki mapokezi ya mwili wa marehemu Mkono wakiwa na jezi zao cha chama cha mapinduzi ni dallili tosha za kibaguzi kwenye jamii ya watanzania waliostaarabika.

Mtu akisha kufa anakua amejitoa rasmi kwenye mambo ya kidunia ikiwemo mambo ya itikadi za kisiasa.

Kwa muendelezo huu itafika hata watu kutoka vyama vingine watawaachieni wana uvccm mfanye shughuli zenu kisiasa.

Nje ya siasa watanzania wote ni ndugu hivyo wacheni hii tabia ya kibaguzi.

Poleni sana wafiwa na familia yote ya marehemu Mkono.View attachment 2636381
Tusi politicised kila kitu!, maadam Mkono ni kada wa CCM, na amekufa akiwa kada, hakuna ubaya wowote kwa UV CCM kuupokea mwili, from Airport na kuupeleka nyumbani, and from home to Karimjee. Njoo kesho Karimjee kwenye kuaga rasmi uone kama hao mboga mboga watagusa jeneza!. Kesho ni wenyewe wenye mtu wao, ndio watabeba jeneza lake!.
P
 
Nyie BAVICHA nani
Ukweli lazima usemwe tu popote pale.

Kitendo cha uvccm kushiriki mapokezi ya mwili wa marehemu Mkono wakiwa na jezi zao cha chama cha mapinduzi ni dallili tosha za kibaguzi kwenye jamii ya watanzania waliostaarabika.

Mtu akisha kufa anakua amejitoa rasmi kwenye mambo ya kidunia ikiwemo mambo ya itikadi za kisiasa.

Kwa muendelezo huu itafika hata watu kutoka vyama vingine watawaachieni wana uvccm mfanye shughuli zenu kisiasa.

Nje ya siasa watanzania wote ni ndugu hivyo wacheni hii tabia ya kibaguzi.

Poleni sana wafiwa na familia yote ya marehemu Mkono.View attachment 2636381
Nyie BAVICHA nani kawazuia Kuvaa magwanda yenu?
 
Mnagombea dead body?...Aisee....
Nyie ni waabudu sanamu kweli.
 
Tusi politicised kila kitu!, maadam Mkono ni kada wa CCM, na amekufa akiwa kada, hakuna ubaya wowote kwa UV CCM kuupokea mwili, from Airport na kuupeleka nyumbani, and from home to Karimjee. Njoo kesho Karimjee kwenye kuaga rasmi uone kama hao mboga mboga watagusa jeneza!. Kesho ni wenyewe wenye mtu wao, ndio watabeba jeneza lake!.
P
Hapo nimekuelewa Pascal
 
Mkuu wala usipoteze muda na misiba ya hao wanaccm, hata kama jeneza lake likizungushiwa bendera ya CCM ni sawa tu. Cha muhimu usiende kwenye misiba yao.
Nashukuru sana kwa ushauri mzuri sana wa wafanya ubaguzi
 
Ukweli lazima usemwe tu popote pale.

Kitendo cha uvccm kushiriki mapokezi ya mwili wa marehemu Mkono wakiwa na jezi zao cha chama cha mapinduzi ni dallili tosha za kibaguzi kwenye jamii ya watanzania waliostaarabika.

Mtu akisha kufa anakua amejitoa rasmi kwenye mambo ya kidunia ikiwemo mambo ya itikadi za kisiasa.

Kwa muendelezo huu itafika hata watu kutoka vyama vingine watawaachieni wana uvccm mfanye shughuli zenu kisiasa.

Nje ya siasa watanzania wote ni ndugu hivyo wacheni hii tabia ya kibaguzi.

Poleni sana wafiwa na familia yote ya marehemu Mkono.View attachment 2636381
Mimi sioni kama ni ubaguzi. Hata angekuwa marehemu wa Chadema, cuf au chama kingine mwili ungebebwa na wanachama wa chama chake. Hiyo haimaanishi watu wa vyama vingine wanatengwa kwenye huo Msiba.
 
Mimi sioni kama ni ubaguzi. Hata angekuwa marehemu wa Chadema, cuf au chama kingine mwili ungebebwa na wanachama wa chama chake. Hiyo haimaanishi watu wa vyama vingine wanatengwa kwenye huo Msiba.
Sawa mkuu
 
Ukweli lazima usemwe tu popote pale.

Kitendo cha uvccm kushiriki mapokezi ya mwili wa marehemu Mkono wakiwa na jezi zao cha chama cha mapinduzi ni dallili tosha za kibaguzi kwenye jamii ya watanzania waliostaarabika.

Mtu akisha kufa anakua amejitoa rasmi kwenye mambo ya kidunia ikiwemo mambo ya itikadi za kisiasa.

Kwa muendelezo huu itafika hata watu kutoka vyama vingine watawaachieni wana uvccm mfanye shughuli zenu kisiasa.

Nje ya siasa watanzania wote ni ndugu hivyo wacheni hii tabia ya kibaguzi.

Poleni sana wafiwa na familia yote ya marehemu Mkono.View attachment 2636381
Mkuu mwendazake Mzee Mkono alikuwa mwana CCM mwenye heshima yake ndani chama, hivo si dhambi wala kosa Kijamii Kwa Wanajumuhia wa chama kushiriki bega Kwa bega na familia ya marehemu, huo ni utamaduni wa Kiitikadi Ulimwengu kote.
 
Back
Top Bottom