Tusi politicised kila kitu!, maadam Mkono ni kada wa CCM, na amekufa akiwa kada, hakuna ubaya wowote kwa UV CCM kuupokea mwili, from Airport na kuupeleka nyumbani, and from home to Karimjee. Njoo kesho Karimjee kwenye kuaga rasmi uone kama hao mboga mboga watagusa jeneza!. Kesho ni wenyewe wenye mtu wao, ndio watabeba jeneza lake!.
P