Tetesi: UVCCM kumvua Unaibu Katibu Mkuu Shakka!

Tetesi: UVCCM kumvua Unaibu Katibu Mkuu Shakka!

MAHANJU

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2014
Posts
5,252
Reaction score
8,003
Katika hali isiyokua ya kawaida inadaiwa kua kuna vuguvugu la ndani kwa ndani katika umoja huo linalohusishwa mikakati ya kuomba uungwaji mkono kutoka ngazi za juu ili kuitisha kikao cha wajumbe wa umoja huo kuelezea hisia zao ambazo wamekua wamezikalia nyoyoni kutokana utendaji usioridhisha wa mwenyeki wao Hamidu Shaka.

Kuna fununu ambazo zinadakwa na baadhi ya makada wa chama hicho tulionao karibu wakidai kua ni kweli hawaridhishwi na utendaji wa mwenyekiti wa umoja wao na wanaona ni kama mzigo ndani ya jumuiya yao, wameenda mbali zaidi kwa kudai hakuna hamasa kabisa za kukuza itikadi za chama kama ilivyokua enzi za kina Shigela na Nchimbi.

"Tuna mwenyekiti jina tu mwoga mwoga asiyetaka kuelekezwa jambo, mimi nitakua tayari moda wowote kuongozana na wenzangu kwenda kwa katibu mkuu wa chama kumwelezea ukweli wa mambo" hii ilikua ni kauli ya kada mmoja na mjumbe wa umoja huo ambaye nae anaonekana wazi kabisa. kutoridhishwa na mwenyekiti wao ndugu Shaka.

Kikubwa kinachoonekana kuwakera vijana wa umoja huo ni ukimya na woga wake kuendelea kuwalea baadhi ya watu wanaofuja maji za umoja wao bila hata kuwakemea au kuwachukulia hatua zozote, Wamesema kua kitendo kumchukulia hatua kada wa chama hicho ndugu Sixtus Mapunda na wenzake ilikua ni kama tone la maji ndani ya bahari lakini pamoja hivyo wanalalamikia kuwaona watu hao wakiendelea kuranda mtaani huku wakiwa na kadi za chama.

Kuna miguno msingi sana ndani ya taasisi ya umoja huo wa chama tawala ambayo inaonekana umaarufu wake ukipungua siku hadi siku tofauti na siku za nyuma kwa sababu ambazo wengi wanadai chanzo ni mwenyekiti wao ndugu Shaka Hamidu.
 
Katika hali isiyokua ya kawaida inadaiwa kua kuna vuguvugu la ndani kwa ndani katika umoja huo linalohusishwa mikakati ya kuomba uungwaji mkono kutoka ngazi za juu ili kuitisha kikao cha wajumbe wa umoja huo kuelezea hisia zao ambazo wamekua wamezikalia nyoyoni kutokana utendaji usioridhisha wa mwenyeki wao Hamidu Shaka.


Kuna fununu ambazo zinadakwa na baadhi ya makada wa chama hicho tulionao karibu wakidai kua ni kweli hawaridhishwi na utendaji wa mwenyekiti wa umoja wao na wanaona ni kama mzigo ndani ya jumuiya yao, wameenda mbali zaidi kwa kudai hakuna hamasa kabisa za kukuza itikadi za chama kama ilivyokua enzi za kina Shigela na Nchimbi. "Tuna mwenyekiti jina tu mwoga mwoga asiyetaka kuelekezwa jambo, mimi nitakua tayari moda wowote kuongozana na wenzangu kwenda kwa katibu mkuu wa chama kumwelezea ukweli wa mambo" hii ilikua ni kauli ya kada mmoja na mjumbe wa umoja huo ambaye nae anaonekana wazi kabisa. kutoridhishwa na mwenyekiti wao ndugu Shaka.



Kikubwa kinachoonekana kuwakera vijana wa umoja huo ni ukimya na woga wake kuendelea kuwalea baadhi ya watu wanaofuja maji za umoja wao bila hata kuwakemea au kuwachukulia hatua zozote, Wamesema kua kitendo kumchukulia hatua kada wa chama hicho ndugu Sixtus Mapunda na wenzake ilikua ni kama tone la maji ndani ya bahari lakini pamoja hivyo wanalalamikia kuwaona watu hao wakiendelea kuranda mtaani huku wakiwa na kadi za chama.


Kuna miguno msingi sana ndani ya taasisi ya umoja huo wa chama tawala ambayo inaonekana umaarufu wake ukipungua siku hadi siku tofauti na siku za nyuma kwa sababu ambazo wengi wanadai chanzo ni mwenyekiti wao ndugu Shaka hamidu.

Tatizo ni kale ka ukoo.......
 
Katika hali isiyokua ya kawaida inadaiwa kua kuna vuguvugu la ndani kwa ndani katika umoja huo linalohusishwa mikakati ya kuomba uungwaji mkono kutoka ngazi za juu ili kuitisha kikao cha wajumbe wa umoja huo kuelezea hisia zao ambazo wamekua wamezikalia nyoyoni kutokana utendaji usioridhisha wa mwenyeki wao Hamidu Shaka.


Kuna fununu ambazo zinadakwa na baadhi ya makada wa chama hicho tulionao karibu wakidai kua ni kweli hawaridhishwi na utendaji wa mwenyekiti wa umoja wao na wanaona ni kama mzigo ndani ya jumuiya yao, wameenda mbali zaidi kwa kudai hakuna hamasa kabisa za kukuza itikadi za chama kama ilivyokua enzi za kina Shigela na Nchimbi. "Tuna mwenyekiti jina tu mwoga mwoga asiyetaka kuelekezwa jambo, mimi nitakua tayari moda wowote kuongozana na wenzangu kwenda kwa katibu mkuu wa chama kumwelezea ukweli wa mambo" hii ilikua ni kauli ya kada mmoja na mjumbe wa umoja huo ambaye nae anaonekana wazi kabisa. kutoridhishwa na mwenyekiti wao ndugu Shaka.



Kikubwa kinachoonekana kuwakera vijana wa umoja huo ni ukimya na woga wake kuendelea kuwalea baadhi ya watu wanaofuja maji za umoja wao bila hata kuwakemea au kuwachukulia hatua zozote, Wamesema kua kitendo kumchukulia hatua kada wa chama hicho ndugu Sixtus Mapunda na wenzake ilikua ni kama tone la maji ndani ya bahari lakini pamoja hivyo wanalalamikia kuwaona watu hao wakiendelea kuranda mtaani huku wakiwa na kadi za chama.


Kuna miguno msingi sana ndani ya taasisi ya umoja huo wa chama tawala ambayo inaonekana umaarufu wake ukipungua siku hadi siku tofauti na siku za nyuma kwa sababu ambazo wengi wanadai chanzo ni mwenyekiti wao ndugu Shaka hamidu.
Huyo bwana alikuwa anamzungumzia mwenyekiti gani??
 
kuelezea hisia zao ambazo wamekua wamezikalia nyoyoni kutokana utendaji usioridhisha wa mwenyeki wao Hamidu Shaka
Wanataka kueleza hisia zao za kibaguzi.Wakati utaongea kuwa CCM Zanzibar inakuwepo tu pale wanapopokea amri kutoka CCM Bara na kuatumikia. Wao(Zanzibar)ni watu wakuitikia hewalla Bwana.Hamidu tulikueleza pamoja na wenzako kuwa hawa hwakupendeni ,wanakutumieni tu, lakini mmekuwa hamuambiliki mkabaki kuimba tu "tatu za nini, mbili zatosha"Hata bado bado CCM Zanzibar mtabaki msarahangi tu,unahodha kwenu mwiko.
"Tuna mwenyekiti jina tu mwoga mwoga asiyetaka kuelekezwa jambo, mimi nitakua tayari moda wowote kuongozana na wenzangu kwenda kwa katibu mkuu wa chama kumwelezea ukweli wa mambo"
Sasa yamenoga,Nzi amenena,"wewe ukuiujua huu mwenzako anaujua huu"Sasa kuna CUF Bara- CU Zanzibar zinavutana CCM Bara- CCM Zanzibar zinaburuzana. Lakini kiundani Kilio chao ni Chozi moja tu nalo nikujitawala na kuwa na Mamlaka kamili. Kwanini hamuunganishi nguvu na kudai haki zenu ziliopotezwa? Shaka amka usikubali kutumiwa na watu wa mrima kutukana viongozi waliokulea na kukujali.Usijali na tutakupokea mikono miwili.Mwenda tezi na omo hurejea ngamani.
 
Tangu Akina NAPE , BASHE , SHIGELA na wengine KUWA wakubwa WALIOBAKIA woote hawawezi kushindana na Vyana PINZANI kazi YA majungu na MIPASHO tu ............
 
Umevurugwa wewe. Mkishapewa vitu vikali vya kuwavuruga akili mnashindwa hata kufikiri kwa kutumia ubongo na mnatumia Yale ya masabuli kufikiria. Tangu lini Shakka amekuwa Mwenyekiti? Yaani akili za kirofa kumtofautisha Shakka na Sadifa sawa na suspension
 
UVCCM tangu wameumbuana kwa ufisadi hawawezi kubaki salama maana wametoa siri za chama hadharani ufisadi na ccm ni damdam, sasa acha kina 6tus Mapunda wajibu mapigo maana wameshambuliwa sana na vijana wa kada, hakuna namna wafu wazikane tu.
 
Katika hali isiyokua ya kawaida inadaiwa kua kuna vuguvugu la ndani kwa ndani katika umoja huo linalohusishwa mikakati ya kuomba uungwaji mkono kutoka ngazi za juu ili kuitisha kikao cha wajumbe wa umoja huo kuelezea hisia zao ambazo wamekua wamezikalia nyoyoni kutokana utendaji usioridhisha wa mwenyeki wao Hamidu Shaka.


Kuna fununu ambazo zinadakwa na baadhi ya makada wa chama hicho tulionao karibu wakidai kua ni kweli hawaridhishwi na utendaji wa mwenyekiti wa umoja wao na wanaona ni kama mzigo ndani ya jumuiya yao, wameenda mbali zaidi kwa kudai hakuna hamasa kabisa za kukuza itikadi za chama kama ilivyokua enzi za kina Shigela na Nchimbi. "Tuna mwenyekiti jina tu mwoga mwoga asiyetaka kuelekezwa jambo, mimi nitakua tayari moda wowote kuongozana na wenzangu kwenda kwa katibu mkuu wa chama kumwelezea ukweli wa mambo" hii ilikua ni kauli ya kada mmoja na mjumbe wa umoja huo ambaye nae anaonekana wazi kabisa. kutoridhishwa na mwenyekiti wao ndugu Shaka.



Kikubwa kinachoonekana kuwakera vijana wa umoja huo ni ukimya na woga wake kuendelea kuwalea baadhi ya watu wanaofuja maji za umoja wao bila hata kuwakemea au kuwachukulia hatua zozote, Wamesema kua kitendo kumchukulia hatua kada wa chama hicho ndugu Sixtus Mapunda na wenzake ilikua ni kama tone la maji ndani ya bahari lakini pamoja hivyo wanalalamikia kuwaona watu hao wakiendelea kuranda mtaani huku wakiwa na kadi za chama.


Kuna miguno msingi sana ndani ya taasisi ya umoja huo wa chama tawala ambayo inaonekana umaarufu wake ukipungua siku hadi siku tofauti na siku za nyuma kwa sababu ambazo wengi wanadai chanzo ni mwenyekiti wao ndugu Shaka hamidu.
Bado Hawajaanza kulogana ?
 
Back
Top Bottom