Tetesi: UVCCM kumvua Unaibu Katibu Mkuu Shakka!

Tetesi: UVCCM kumvua Unaibu Katibu Mkuu Shakka!

Tangu lini Shakka amekuwa Mwenyekiti? Yaani akili za kirofa kumtofautisha Shakka na Sadifa sawa na suspension
Mleta mada akishakolea kiroba cha Chadema cha bure ndio zake huyo kuandika kuwa mangula ndie katibu mkuu wa CCM kwake huwa sawa tu.hapo kaandika akiwa chakari.ni mlevi wa kutupwa huyo
 
Ukishakula nyama ya mtu hutaacha bali utaendelea kuila. Nyama ya mwana CCM Zanzibar halali yetu pia. CCM bara oyee!
 
Acha wafu wazikane wenyewe.....!! Kila akiwekwa mzanzibari anaonekana mzigo! Anzia huyu Naibu Waziri.......
 
Katika hali isiyokua ya kawaida inadaiwa kua kuna vuguvugu la ndani kwa ndani katika umoja huo linalohusishwa mikakati ya kuomba uungwaji mkono kutoka ngazi za juu ili kuitisha kikao cha wajumbe wa umoja huo kuelezea hisia zao ambazo wamekua wamezikalia nyoyoni kutokana utendaji usioridhisha wa mwenyeki wao Hamidu Shaka.

Kuna fununu ambazo zinadakwa na baadhi ya makada wa chama hicho tulionao karibu wakidai kua ni kweli hawaridhishwi na utendaji wa mwenyekiti wa umoja wao na wanaona ni kama mzigo ndani ya jumuiya yao, wameenda mbali zaidi kwa kudai hakuna hamasa kabisa za kukuza itikadi za chama kama ilivyokua enzi za kina Shigela na Nchimbi.

"Tuna mwenyekiti jina tu mwoga mwoga asiyetaka kuelekezwa jambo, mimi nitakua tayari moda wowote kuongozana na wenzangu kwenda kwa katibu mkuu wa chama kumwelezea ukweli wa mambo" hii ilikua ni kauli ya kada mmoja na mjumbe wa umoja huo ambaye nae anaonekana wazi kabisa. kutoridhishwa na mwenyekiti wao ndugu Shaka.

Kikubwa kinachoonekana kuwakera vijana wa umoja huo ni ukimya na woga wake kuendelea kuwalea baadhi ya watu wanaofuja maji za umoja wao bila hata kuwakemea au kuwachukulia hatua zozote, Wamesema kua kitendo kumchukulia hatua kada wa chama hicho ndugu Sixtus Mapunda na wenzake ilikua ni kama tone la maji ndani ya bahari lakini pamoja hivyo wanalalamikia kuwaona watu hao wakiendelea kuranda mtaani huku wakiwa na kadi za chama.

Kuna miguno msingi sana ndani ya taasisi ya umoja huo wa chama tawala ambayo inaonekana umaarufu wake ukipungua siku hadi siku tofauti na siku za nyuma kwa sababu ambazo wengi wanadai chanzo ni mwenyekiti wao ndugu Shaka Hamidu.
CUF kila siku Nakuambieni mkiamuwa kutunga uwongo basi tungeni uwongo wenye akili.. ili na nyinyi muonekana mna akili.Shaka Hamdu Shaka tangu lini amekuwa mwenyekiti wa UVCCM?. Kwa kicheo chaka ni Naibu katibu mkuu wa UVCCM Zanzibar lakini si mwenyekiti wa UVCCM.
Poleka habari mtendeni ya kuwa umeshachemsha waje wengine warekebishe ili mpate kuaminika na siku ya Pili wakituma mtu kuanzisha uwongo wasimtume KIAZI kama wewe.
 
Umevurugwa wewe. Mkishapewa vitu vikali vya kuwavuruga akili mnashindwa hata kufikiri kwa kutumia ubongo na mnatumia Yale ya masabuli kufikiria. Tangu lini Shakka amekuwa Mwenyekiti? Yaani akili za kirofa kumtofautisha Shakka na Sadifa sawa na suspension
Ni kama error tu mkuu, lakini aliyekua akizungumzwa hapa ni Shaka Hamidu Shaka,kaimu katibu mkuu UVCCM.
 
CUF kila siku Nakuambieni mkiamuwa kutunga uwongo basi tungeni uwongo wenye akili.. ili na nyinyi muonekana mna akili.Shaka Hamdu Shaka tangu lini amekuwa mwenyekiti wa UVCCM?. Kwa kicheo chaka ni Naibu katibu mkuu wa UVCCM Zanzibar lakini si mwenyekiti wa UVCCM.
Poleka habari mtendeni ya kuwa umeshachemsha waje wengine warekebishe ili mpate kuaminika na siku ya Pili wakituma mtu kuanzisha uwongo wasimtume KIAZI kama wewe.
Hapana kwa sasa nafasi ya unaibu katibu uvccm Zanzibar imeshikwa na Abdulghafar
 
Hapana kwa sasa nafasi ya unaibu katibu uvccm Zanzibar imeshikwa na Abdulghafar
Hawa jamaa hata hawawajui viongozi wao,ndio maana migogoro kati yao haiishi.Huyu Shaka ni kaimu Katibu mkuu UVCCM.
 
Hili swali nami ndio linanisumbua. Isije kuwa wanataka kumfukuza kwa sababu za wivu kwani nasikia uvccm wengi wanatamani nao wawe wanaenda 'ga' huko kupumzika kama mwenzao!
Ya kweli haya mkuu?
 
Back
Top Bottom