Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,256
- 16,317
Hee kuolewa tena mhHuyu jamaa si aliwahi kuolewa kule Mombasa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hee kuolewa tena mhHuyu jamaa si aliwahi kuolewa kule Mombasa?
Mkuu hiyo inatokana na haraka ya kupata posho.Mwenyekiti Uvccm si Shaka. Ni Sadifa Juma
Shemela sadifa bado hajamaliza muda wake!?Mwenyekiti Uvccm si Shaka. Ni Sadifa Juma
Mleta mada akishakolea kiroba cha Chadema cha bure ndio zake huyo kuandika kuwa mangula ndie katibu mkuu wa CCM kwake huwa sawa tu.hapo kaandika akiwa chakari.ni mlevi wa kutupwa huyoTangu lini Shakka amekuwa Mwenyekiti? Yaani akili za kirofa kumtofautisha Shakka na Sadifa sawa na suspension
Kwani tabia alinzianza baada ya kuchaguliwa au kabla waweza kuta walimpendea hizo tabia mkuuWamtoe maana anakitia aibu chama tawala kwa tabia zake
Tabia ni kama ngoziKwani ile tabia yake ya kutumia mtandao wa tigo 4G ya kuperuzi bado anayo ?
CUF kila siku Nakuambieni mkiamuwa kutunga uwongo basi tungeni uwongo wenye akili.. ili na nyinyi muonekana mna akili.Shaka Hamdu Shaka tangu lini amekuwa mwenyekiti wa UVCCM?. Kwa kicheo chaka ni Naibu katibu mkuu wa UVCCM Zanzibar lakini si mwenyekiti wa UVCCM.Katika hali isiyokua ya kawaida inadaiwa kua kuna vuguvugu la ndani kwa ndani katika umoja huo linalohusishwa mikakati ya kuomba uungwaji mkono kutoka ngazi za juu ili kuitisha kikao cha wajumbe wa umoja huo kuelezea hisia zao ambazo wamekua wamezikalia nyoyoni kutokana utendaji usioridhisha wa mwenyeki wao Hamidu Shaka.
Kuna fununu ambazo zinadakwa na baadhi ya makada wa chama hicho tulionao karibu wakidai kua ni kweli hawaridhishwi na utendaji wa mwenyekiti wa umoja wao na wanaona ni kama mzigo ndani ya jumuiya yao, wameenda mbali zaidi kwa kudai hakuna hamasa kabisa za kukuza itikadi za chama kama ilivyokua enzi za kina Shigela na Nchimbi.
"Tuna mwenyekiti jina tu mwoga mwoga asiyetaka kuelekezwa jambo, mimi nitakua tayari moda wowote kuongozana na wenzangu kwenda kwa katibu mkuu wa chama kumwelezea ukweli wa mambo" hii ilikua ni kauli ya kada mmoja na mjumbe wa umoja huo ambaye nae anaonekana wazi kabisa. kutoridhishwa na mwenyekiti wao ndugu Shaka.
Kikubwa kinachoonekana kuwakera vijana wa umoja huo ni ukimya na woga wake kuendelea kuwalea baadhi ya watu wanaofuja maji za umoja wao bila hata kuwakemea au kuwachukulia hatua zozote, Wamesema kua kitendo kumchukulia hatua kada wa chama hicho ndugu Sixtus Mapunda na wenzake ilikua ni kama tone la maji ndani ya bahari lakini pamoja hivyo wanalalamikia kuwaona watu hao wakiendelea kuranda mtaani huku wakiwa na kadi za chama.
Kuna miguno msingi sana ndani ya taasisi ya umoja huo wa chama tawala ambayo inaonekana umaarufu wake ukipungua siku hadi siku tofauti na siku za nyuma kwa sababu ambazo wengi wanadai chanzo ni mwenyekiti wao ndugu Shaka Hamidu.
Wamtoe maana anakitia aibu chama tawala kwa tabia zake
Mbona zimetajwa tayari, soma uzi wote acha uvivuTabia gani hizo? Zitaje tafadhali.
Ni kama error tu mkuu, lakini aliyekua akizungumzwa hapa ni Shaka Hamidu Shaka,kaimu katibu mkuu UVCCM.Umevurugwa wewe. Mkishapewa vitu vikali vya kuwavuruga akili mnashindwa hata kufikiri kwa kutumia ubongo na mnatumia Yale ya masabuli kufikiria. Tangu lini Shakka amekuwa Mwenyekiti? Yaani akili za kirofa kumtofautisha Shakka na Sadifa sawa na suspension
Hapana kwa sasa nafasi ya unaibu katibu uvccm Zanzibar imeshikwa na AbdulghafarCUF kila siku Nakuambieni mkiamuwa kutunga uwongo basi tungeni uwongo wenye akili.. ili na nyinyi muonekana mna akili.Shaka Hamdu Shaka tangu lini amekuwa mwenyekiti wa UVCCM?. Kwa kicheo chaka ni Naibu katibu mkuu wa UVCCM Zanzibar lakini si mwenyekiti wa UVCCM.
Poleka habari mtendeni ya kuwa umeshachemsha waje wengine warekebishe ili mpate kuaminika na siku ya Pili wakituma mtu kuanzisha uwongo wasimtume KIAZI kama wewe.
Hili swali nami ndio linanisumbua. Isije kuwa wanataka kumfukuza kwa sababu za wivu kwani nasikia uvccm wengi wanatamani nao wawe wanaenda 'ga' huko kupumzika kama mwenzao!Huyu ndio yule anayeenda Mombasa ?
Mkuu kwani unadhani kila biashara lazima itolewe leseni? Zipo za maelewano tuuMmh, kufanya nini? Kwani yeye ni mfanyabiashara mkuu?