Pre GE2025 UVCCM Mwanza waunga mkono NETO, Waitaka Serikali Itoe Ajira

Pre GE2025 UVCCM Mwanza waunga mkono NETO, Waitaka Serikali Itoe Ajira

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Mkoa wa Mwanza umeunga mkono Umoja wa Walimu Wasio na Ajira Tanzania (NETO) na kuitaka serikali kutoa ajira.

Soma Pia: Walimu wasio na Ajira (NETO) waishauri Serikali isitishe uzalishaji wa Walimu Vyuoni

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025


Akizungumza siku ya Ijumaa mbele ya waandishi wa habari, Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Mwanza, Seth Masalu ameishauri serikali kuweka mazingira rafiki ya kuondoa changamoto za ukosefu wa ajira huku akidai NETO na raia wengine wasio na ajira wanayo haki ya kuomba ajira serikalini na kulalamika wanapoona hawatimiziwi haki zao.

 
Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Mkoa wa Mwanza umeunga mkono Umoja wa Walimu Wasio na Ajira Tanzania (NETO) na kuitaka serikali kutoa ajira.

Akizungumza siku ya Ijumaa mbele ya waandishi wa habari, Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Mwanza, Seth Masalu ameishauri serikali kuweka mazingira rafiki ya kuondoa changamoto za ukosefu wa ajira huku akidai NETO na raia wengine wasio na ajira wanayo haki ya kuomba ajira serikalini na kulalamika wanapoona hawatimiziwi haki zao.

Masalu amewaomba vijana wasio na ajira katika kipindi hiki ambacho wanasubiri majibu ya serikali au ajira, kuunda vikundi vitakavyowawezesha kwenda kupata mikopo ya asilimia 10 inayotolewa na halmashauri.
MWANZA 'WAISAPOTI' ΝΕΤΟ, YAISHINIKIZA SERIKALI KUAJIRI

Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Mkoa wa Mwanza umeunga mkono Umoja wa Walimu Wasio na Ajira Tanzania (NETO) na kuitaka serikali kutoa ajira.

Akizungumza siku ya Ijumaa mbele ya waandishi wa habari, Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Mwanza, Seth Masalu ameishauri serikali kuweka mazingira rafiki ya kuondoa changamoto za ukosefu wa ajira huku akidai NETO na raia wengine wasio na ajira wanayo haki ya kuomba ajira serikalini na kulalamika wanapoona hawatimiziwi haki zao.

Masalu amewaomba vijana wasio na ajira katika kipindi hiki ambacho wanasubiri majibu ya serikali au ajira, kuunda vikundi vitakavyowawezesha kwenda kupata mikopo ya asilimia 10 inayotolewa na halmashauri.


Video kwa hisani ya Jambo TV Online
 
Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Mkoa wa Mwanza umeunga mkono Umoja wa Walimu Wasio na Ajira Tanzania (NETO) na kuitaka serikali kutoa ajira.

Soma Pia: Walimu wasio na Ajira (NETO) waishauri Serikali isitishe uzalishaji wa Walimu Vyuoni

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025


Akizungumza siku ya Ijumaa mbele ya waandishi wa habari, Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Mwanza, Seth Masalu ameishauri serikali kuweka mazingira rafiki ya kuondoa changamoto za ukosefu wa ajira huku akidai NETO na raia wengine wasio na ajira wanayo haki ya kuomba ajira serikalini na kulalamika wanapoona hawatimiziwi haki zao.

isingekuwa uchaguzi ujafika wasinge sema.Rushwa kwa sasa ina kila mfumo
 
Tunaanzisha tatizo, tunalikemea na kutoa suluhisho sisi ni nani...?📢📢🤡🤡🤡
 
Nilisema hii ishu itaenda viral, mkakaza mafuvu kwa sababu watu wanakimbilia kukwepa wajibu na majukumu. Kwa kutumia njia za mkato Tena za ovyo.
Wamezingatia kutizama walimu wanasahau Taifa mpk Leo hii adui ujinga bado Yuko.

Tunaingia kwenye AI ila sehem nyingi mikoa mbalimbali watu wengi sana wakiwemo vijana hawajui hata kuandikia majina Yao.
Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Mkoa wa Mwanza umeunga mkono Umoja wa Walimu Wasio na Ajira Tanzania (NETO) na kuitaka serikali kutoa ajira.

Soma Pia: Walimu wasio na Ajira (NETO) waishauri Serikali isitishe uzalishaji wa Walimu Vyuoni

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025


Akizungumza siku ya Ijumaa mbele ya waandishi wa habari, Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Mwanza, Seth Masalu ameishauri serikali kuweka mazingira rafiki ya kuondoa changamoto za ukosefu wa ajira huku akidai NETO na raia wengine wasio na ajira wanayo haki ya kuomba ajira serikalini na kulalamika wanapoona hawatimiziwi ha
 
Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Mkoa wa Mwanza umeunga mkono Umoja wa Walimu Wasio na Ajira Tanzania (NETO) na kuitaka serikali kutoa ajira.

Soma Pia: Walimu wasio na Ajira (NETO) waishauri Serikali isitishe uzalishaji wa Walimu Vyuoni

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025


Akizungumza siku ya Ijumaa mbele ya waandishi wa habari, Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Mwanza, Seth Masalu ameishauri serikali kuweka mazingira rafiki ya kuondoa changamoto za ukosefu wa ajira huku akidai NETO na raia wengine wasio na ajira wanayo haki ya kuomba ajira serikalini na kulalamika wanapoona hawatimiziwi haki zao.

Kumbe wanakuaga na akili
 
Nilisema hii ishu itaenda viral, mkakaza mafuvu kwa sababu watu wanakimbilia kukwepa wajibu na majukumu. Kwa kutumia njia za mkato Tena za ovyo.
Wamezingatia kutizama walimu wanasahau Taifa mpk Leo hii adui ujinga bado Yuko.

Tunaingia kwenye AI ila sehem nyingi mikoa mbalimbali watu wengi sana wakiwemo vijana hawajui hata kuandikia majina Yao.
Kakudanganya nani?
Hapo problem causer ana act kuwa problem solver ila kwakuwa una uwezo mdogo wa kuangalia mbele basi unadhani kuwa CCM na Uvccm wana pingana.
 
Si
Kakudanganya nani?
Hapo problem causer ana act kuwa problem solver ila kwakuwa una uwezo mdogo wa kuangalia mbele basi unadhani kuwa CCM na Uvccm wana pingana.
Sawa kabisa mkuu. Lakin sikumaanisha kwamba wanapingana maana meno ya fisi kamwe hayaumani, ninasemea Kama

Kuna pressure imewasukuma kuongea au wameona kitu gan ili kutafuta sympathy kwa waTZ.
Au Kuna nyingine soon so wanaconect ili zinapotangazwa ionekane Wana mchango, sio juhudi za activists, na upinzani peke Yao.
 
Si

Sawa kabisa mkuu. Lakin sikumaanisha kwamba wanapingana maana meno ya fisi kamwe hayaumani, ninasemea Kama

Kuna pressure imewasukuma kuongea au wameona kitu gan ili kutafuta sympathy kwa waTZ.
Au Kuna nyingine soon so wanaconect ili zinapotangazwa ionekane Wana mchango, sio juhudi za activists, na upinzani peke Yao.
Hakuna kipya hapo.
CCM wenyewe ndio wamewatuma wakaongee, wanajikosha.
 
Wameanza kupingana!Sasa viongozi wao wasikamatwe na polisi!!

Uvccm naona imeunga mageuzi mkono!

Ngoja tuone!
 
Back
Top Bottom