JUA ni Kali Sana
JF-Expert Member
- Feb 7, 2025
- 1,202
- 1,543
Hiyo ni katika kuelekea Uchaguzi Mkuu mwezi oktoba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unakuta we kunguni hata ujumbe TU wa mtaa huna ila tumejaa uchawa usio na maana pumbavu sanaMwenyekiti wa UVCCM kakurupuka kwenye suala hilo,nashauri ashughulikiwe vikali
Here we goo Tanzania,we have been missing this courageUmoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Mkoa wa Mwanza umeunga mkono Umoja wa Walimu Wasio na Ajira Tanzania (NETO) na kuitaka serikali kutoa ajira.
Soma Pia: Walimu wasio na Ajira (NETO) waishauri Serikali isitishe uzalishaji wa Walimu Vyuoni
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Akizungumza siku ya Ijumaa mbele ya waandishi wa habari, Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Mwanza, Seth Masalu ameishauri serikali kuweka mazingira rafiki ya kuondoa changamoto za ukosefu wa ajira huku akidai NETO na raia wengine wasio na ajira wanayo haki ya kuomba ajira serikalini na kulalamika wanapoona hawatimiziwi haki zao.
NoopMwenyekiti wa UVCCM kakurupuka kwenye suala hilo,nashauri ashughulikiwe vikali
Waache kumnanga marehemu wao aliyevuruga Ajira na maisha waje kumpigia kelele Samia ambae amepunguza zaidi ya robo ya majbless badala ya kumpongeza?Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Mkoa wa Mwanza umeunga mkono Umoja wa Walimu Wasio na Ajira Tanzania (NETO) na kuitaka serikali kutoa ajira.
Soma Pia: Walimu wasio na Ajira (NETO) waishauri Serikali isitishe uzalishaji wa Walimu Vyuoni
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Akizungumza siku ya Ijumaa mbele ya waandishi wa habari, Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Mwanza, Seth Masalu ameishauri serikali kuweka mazingira rafiki ya kuondoa changamoto za ukosefu wa ajira huku akidai NETO na raia wengine wasio na ajira wanayo haki ya kuomba ajira serikalini na kulalamika wanapoona hawatimiziwi haki zao.