UVCCM na wenyeviti CCM wamlipue Rais kwa style ileile ya Ndugai

UVCCM na wenyeviti CCM wamlipue Rais kwa style ileile ya Ndugai

Hio kula kidogo ilikuwepo ipo na itakuwepo hata Chadema au ACT wakijaaliwa kuiongoza jamhuri ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar haitaondoka ni mfumo duniani kote, sasa ulaji wenyewe uwe aste aste, inajulikana kwa methali ya Kiswahili ukila na kipofu sana sana Rais alikuwa aseme au aitoe methali hio, Mawaziri wajue kula na vipofu.

Ila Rais amenishangaza aliposema na kuwaonya watu wamuogope Mungu, kama Rais au Chombo cha Urais wanamuogopa Mungu basi wajiridhishe kuwepo na Tume Huru ya Uchaguzi vinginevyo itakuwa kustawisha baraza la mawaziri kwa tararira nyingi tu.
 
Yaani mpaka sasa hawa jamaa ni janga hakuna kiongozi, kiongozi anatoa maneno anawambia kila mbuzi ale urefu wa kamba yake, hapa ni shida zaidi ya shida

Sweept all chama changu cha CCM
 
Kama hukumuelewa Rais omba kueleweshwa na pia kuomba kueleshwa si kuonekana juha ila ni kupata elimu uliyokosa darasani au maishani.

Kauli ile Rais alikuwa anaitoa baina ya mawaziri na manaibu wao ambao mara nyingi wameonekana kugombana kisa safari na ziara. Na kwa tafsiri nyepesi kula kwa urefu wa kamba maana yake watakula kwa ukubwa wa cheo chao. Waziri hawezi kuwa sawa na naibu wake hata kama wote wanaapa kiapo kilekile au wanaapa mbele ya Rais.

Hivyo basi UVCCM wala yeyote hawezi kuhoji kauli ambayo inajieleza kwa marefu na mapana kwamba ni ukosefu wa uelewa wa watu ndio ikapelekea kuwa ajenda
 
Kama hukumuelewa Rais omba kueleweshwa na pia kuomba kueleshwa si kuonekana juha ila ni kupata elimu uliyokosa darasani au maishani.

Kauli ile Rais alikuwa anaitoa baina ya mawaziri na manaibu wao ambao mara nyingi wameonekana kugombana kisa safari na ziara. Na kwa tafsiri nyepesi kula kwa urefu wa kamba maana yake watakula kwa ukubwa wa cheo chao. Waziri hawezi kuwa sawa na naibu wake hata kama wote wanaapa kiapo kilekile au wanaapa mbele ya Rais.

Hivyo basi UVCCM wala yeyote hawezi kuhoji kauli ambayo inajieleza kwa marefu na mapana kwamba ni ukosefu wa uelewa wa watu ndio ikapelekea kuwa ajenda
Ndugai hamukumtetea, wakati ilikuwa simple kumtetea

Leo munamtetea Mama kwenye kauli ngumu kutetea
 
Kama hukumuelewa Rais omba kueleweshwa na pia kuomba kueleshwa si kuonekana juha ila ni kupata elimu uliyokosa darasani au maishani.

Kauli ile Rais alikuwa anaitoa baina ya mawaziri na manaibu wao ambao mara nyingi wameonekana kugombana kisa safari na ziara. Na kwa tafsiri nyepesi kula kwa urefu wa kamba maana yake watakula kwa ukubwa wa cheo chao. Waziri hawezi kuwa sawa na naibu wake hata kama wote wanaapa kiapo kilekile au wanaapa mbele ya Rais.

Hivyo basi UVCCM wala yeyote hawezi kuhoji kauli ambayo inajieleza kwa marefu na mapana kwamba ni ukosefu wa uelewa wa watu ndio ikapelekea kuwa ajenda
Mawasiliano Ikulu waandike ufafanuzi. Haya maelezo yako hatuwezi kuyakubali kirahisi hivyo.
 
Kama hukumuelewa Rais omba kueleweshwa na pia kuomba kueleshwa si kuonekana juha ila ni kupata elimu uliyokosa darasani au maishani.

Kauli ile Rais alikuwa anaitoa baina ya mawaziri na manaibu wao ambao mara nyingi wameonekana kugombana kisa safari na ziara. Na kwa tafsiri nyepesi kula kwa urefu wa kamba maana yake watakula kwa ukubwa wa cheo chao. Waziri hawezi kuwa sawa na naibu wake hata kama wote wanaapa kiapo kilekile au wanaapa mbele ya Rais.

Hivyo basi UVCCM wala yeyote hawezi kuhoji kauli ambayo inajieleza kwa marefu na mapana kwamba ni ukosefu wa uelewa wa watu ndio ikapelekea kuwa ajenda
Mmeanza kuwa wafafanuzi Kwa Kila kauli Sasa?
 
Kama hukumuelewa Rais omba kueleweshwa na pia kuomba kueleshwa si kuonekana juha ila ni kupata elimu uliyokosa darasani au maishani.

Kauli ile Rais alikuwa anaitoa baina ya mawaziri na manaibu wao ambao mara nyingi wameonekana kugombana kisa safari na ziara. Na kwa tafsiri nyepesi kula kwa urefu wa kamba maana yake watakula kwa ukubwa wa cheo chao. Waziri hawezi kuwa sawa na naibu wake hata kama wote wanaapa kiapo kilekile au wanaapa mbele ya Rais.

Hivyo basi UVCCM wala yeyote hawezi kuhoji kauli ambayo inajieleza kwa marefu na mapana kwamba ni ukosefu wa uelewa wa watu ndio ikapelekea kuwa ajenda
kutetea tatizo ningumu, watanzania wanatambua watumishi wote niwaajiliwa nawanalipwa mshahara kutoka ktk kodi itokanayo na wananchi ambao ndio waajiri wao, kuna mapato gani wanayokula ktk ofisi zao? Ni mapato gani walioruhusiwa kura kiasi kuepuka kuvimbiwa? Je'ni mishahara yao,nani hatambui matumizi ya mshahara wake?
 
Kuna mambo yanasikitisha sana...
Sana, sana kabisa. Inajulikana kuwa kila mtumishi wa umma ana mshahara ambao analipwa kwa stahiki ya kazi yake. Ni kitu gani cha ziada hicho ambacho tunaambiwa mawaziri wale kwa urefu wa kamba yao? Huko ni kuhalalisha ufisadi na wizi wa mali za umma. Cha kusikitisha ni kwamba kauli hiyo imetolewa na mkuu wan nchi. Ni hatari sana aisee. Masikini nchi yangu.
 
Kama hukumuelewa Rais omba kueleweshwa na pia kuomba kueleshwa si kuonekana juha ila ni kupata elimu uliyokosa darasani au maishani.

Kauli ile Rais alikuwa anaitoa baina ya mawaziri na manaibu wao ambao mara nyingi wameonekana kugombana kisa safari na ziara. Na kwa tafsiri nyepesi kula kwa urefu wa kamba maana yake watakula kwa ukubwa wa cheo chao. Waziri hawezi kuwa sawa na naibu wake hata kama wote wanaapa kiapo kilekile au wanaapa mbele ya Rais.

Hivyo basi UVCCM wala yeyote hawezi kuhoji kauli ambayo inajieleza kwa marefu na mapana kwamba ni ukosefu wa uelewa wa watu ndio ikapelekea kuwa ajenda
Kuna mahali alisema mnazidisha
 
Ndugai alihoji mikopo mkamlipua.

Je, hamuoni ipo haja ya kumlipua Mama?

Je, ipi ni dhambi kubwa kati ya kukosoa mikopo na kushauri viongozi wa serikali kula kidogo?

Naomba kuwasilisha!
We ni mpumbavu sana
 
Kama hukumuelewa Rais omba kueleweshwa na pia kuomba kueleshwa si kuonekana juha ila ni kupata elimu uliyokosa darasani au maishani.

Kauli ile Rais alikuwa anaitoa baina ya mawaziri na manaibu wao ambao mara nyingi wameonekana kugombana kisa safari na ziara. Na kwa tafsiri nyepesi kula kwa urefu wa kamba maana yake watakula kwa ukubwa wa cheo chao. Waziri hawezi kuwa sawa na naibu wake hata kama wote wanaapa kiapo kilekile au wanaapa mbele ya Rais.

Hivyo basi UVCCM wala yeyote hawezi kuhoji kauli ambayo inajieleza kwa marefu na mapana kwamba ni ukosefu wa uelewa wa watu ndio ikapelekea kuwa ajenda
Huku kijijini kwetu hatujafundishwa na hatujazoea kutafsiri vitu vikubwa kwa lugha nyepesi hivyo.
 
Hakukuti hata robo yako lakini
Wewe mavi kabisa imetoka sijui dabaga uswekeni mbwa wewe unajifanya unavamia kujibu sijui unamjibia muneo anakupasua

Mwenyewe hajajibu we unamletea vitako vyako nitakupasua mbwa wewe nenda kale mbwa kwenu dabaga
 
Wewe mavi kabisa imetoka sijui dabaga uswekeni mbwa wewe unajifanya unavamia kujibu sijui unamjibia muneo anakupasua

Mwenyewe hajajibu we unamletea vitako vyako nitakupasua mbwa wewe nenda kale mbwa kwenu dabaga
Unajihisi unaweza sana kutukana bata wewe?

Upo kwenye heat sio?

Peleka ujinga wako huko, wengine tunajiheshimu hatuwezi kuwaingilia wanaume wenzetu. Achana na mimi kabisa
 
Hio kula kidogo ilikuwepo ipo na itakuwepo hata Chadema au ACT wakijaaliwa kuiongoza jamhuri ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar haitaondoka ni mfumo duniani kote, sasa ulaji wenyewe uwe aste aste, inajulikana kwa methali ya Kiswahili ukila na kipofu sana sana Rais alikuwa aseme au aitoe methali hio, Mawaziri wajue kula na vipofu.

Ila Rais amenishangaza aliposema na kuwaonya watu wamuogope Mungu, kama Rais au Chombo cha Urais wanamuogopa Mungu basi wajiridhishe kuwepo na Tume Huru ya Uchaguzi vinginevyo itakuwa kustawisha baraza la mawaziri kwa tararira nyingi tu.
Huna akili.
 
Back
Top Bottom