UVCCM na wenyeviti CCM wamlipue Rais kwa style ileile ya Ndugai

UVCCM na wenyeviti CCM wamlipue Rais kwa style ileile ya Ndugai

Sana, sana kabisa. Inajulikana kuwa kila mtumishi wa umma ana mshahara ambao analipwa kwa stahiki ya kazi yake. Ni kitu gani cha ziada hicho ambacho tunaambiwa mawaziri wale kwa urefu wa kamba yao? Huko ni kuhalalisha ufisadi na wizi wa mali za umma. Cha kusikitisha ni kwamba kauli hiyo imetolewa na mkuu wan nchi. Ni hatari sana aisee. Masikini nchi yangu.
Yule aliye Rip aliruhusu pesa ya brush
Ukweli watawala hawa hawakuandaliwa kutawala embe chini ya mnazi
 
Unajihisi unaweza sana kutukana bata wewe?

Upo kwenye heat sio?

Peleka ujinga wako huko, wengine tunajiheshimu hatuwezi kuwaingilia wanaume wenzetu. Achana na mimi kabisa
Ungekuwa unajiheshimu usingekimbilia kuvamia Uzi wa bwanako mavi wewe utapata mimba za utotoni.

Eti najiheshimu, wakati unajipitisha kwa wanaume titakitia mimba ya mgongoni, unaandika vimatusi vyako halafu unakuja kukata viuno eti najiheshimu, stupid kabisa.
 
Ndugai alihoji mikopo mkamlipua.

Je, hamuoni ipo haja ya kumlipua Mama?

Je, ipi ni dhambi kubwa kati ya kukosoa mikopo na kushauri viongozi wa serikali kula kidogo?

Naomba kuwasilisha!
Laiti kama ingekuwa bunge la Samwel Sitta hakika ndani ya uwepo wa Tundu Antipas Lissu ingepelekwa hoja kali yenye kasi kumwondoa madarakani kwa utaratibu halali wa 'Impeachment' ni aibu kubwa kiongozi mkuu wa nchi kuhalalisha hadharani tabia na mienendo ya michwa kwenye mali za umma za walipa kodi masikini.

*We do not have a strong watchdog instrument in Tanzania and it may take decades to decompose the present dude......
 
Kama hukumuelewa Rais omba kueleweshwa na pia kuomba kueleshwa si kuonekana juha ila ni kupata elimu uliyokosa darasani au maishani.

Kauli ile Rais alikuwa anaitoa baina ya mawaziri na manaibu wao ambao mara nyingi wameonekana kugombana kisa safari na ziara. Na kwa tafsiri nyepesi kula kwa urefu wa kamba maana yake watakula kwa ukubwa wa cheo chao. Waziri hawezi kuwa sawa na naibu wake hata kama wote wanaapa kiapo kilekile au wanaapa mbele ya Rais.

Hivyo basi UVCCM wala yeyote hawezi kuhoji kauli ambayo inajieleza kwa marefu na mapana kwamba ni ukosefu wa uelewa wa watu ndio ikapelekea kuwa ajenda
Umeandika maneno mengi sana yenye maana moja tu; "Ufusadi serikalini ruksa, ila kila mtu ajipimie kuliangana na uwezo wake".

Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
 
Kama hukumuelewa Rais omba kueleweshwa na pia kuomba kueleshwa si kuonekana juha ila ni kupata elimu uliyokosa darasani au maishani.

Kauli ile Rais alikuwa anaitoa baina ya mawaziri na manaibu wao ambao mara nyingi wameonekana kugombana kisa safari na ziara. Na kwa tafsiri nyepesi kula kwa urefu wa kamba maana yake watakula kwa ukubwa wa cheo chao. Waziri hawezi kuwa sawa na naibu wake hata kama wote wanaapa kiapo kilekile au wanaapa mbele ya Rais.

Hivyo basi UVCCM wala yeyote hawezi kuhoji kauli ambayo inajieleza kwa marefu na mapana kwamba ni ukosefu wa uelewa wa watu ndio ikapelekea kuwa ajenda
Nadhani nakuelewa kidogo juu ya kauli ya Mh. Rais. Niliomba nieleweshwe juzi kati hapo, Rais alikuwa na maana gani? Sasa naanza pata mwanga. Nashukuru.
 
Back
Top Bottom