Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Mtoto wa shule unampigia simu kwa simu ipi, au mnaongelea watoto wa dizaini gani πImefika saa 2 hajarudi usichanganyikiwe mpigie simu muulize upo wapi?
Akirudi mwambie 'siku nyingine ukiona utachelewa kurudi nipe taarifa mapema'
Maisha yanaendelea! Muhimu mpe elimu kuhusu maambukizi ya ukimwi
100% correctIli zitumike sawasawa ulitaka anifungis ndani?
Huwezi kushindana na mtoto tena wa kike
Akienda shule haupo nae, akienda dukani haupo nae
Ukisema huko kote umpeleke atagongwa na mlinzi ukiwa umeenda chooni
Mpe ABCD za maisha then umuache afanye alichoamua
Kwa kesi hiyo njia ya kumpata ilikua ngumu! Mimi nazungumzia watoto wenye 18 yearsMtoto wa shule unampigia simu kwa simu ipi, au mnaongelea watoto wa dizaini gani π
Poleni sanaSasa hivi sa 4 usiku nampigia simu dogo (binti miaka 17 form 4) hadi sasa hivi anasema bado wapo uwanja wa Taifa( kwa mkapa)
Anasema wamezuiwa kutoka ndani ya uwanja kwa sababu ya usalama wao. Wanaogopa wakiwaruhusu wengine wanaweza kupotea au kukomasaviwa na wahuni( bodaboda) etc.
Uvccm toeni tamko sasa hivi tafadhali muwafahamishe wazazi ambao watoto wao bado wapo uwanjani taifa hawajarudi majumbani kwao.
Mimi Binafsi sina tatizo na binti yangu kwa sababu kwangu Mimi utu uzima kwa msichana unaingia at age 14 ( anapo vunja ungo) so to me huyu binti yangu mwenye 17 yrs namuona mtu mzima kabisa anae weza kuji simamia yeye mwenyewe na nilisha mpa wosia muda mrefu sana kwamba she is living for herself not for me. Na kwamba ninamsomesha ili aje aishi vizuri yeye na watoto atakao wazaa.
Na ninaongea nae kwa uwazi kabisa kiasi hana sababu yoyote ile ya kunidanganya kwa sababu kama naweza kumruhusu kwenda " kuchukua daftari" kwa classmate wake mvulana almost every weekend hana sababu yoyote yakunidanganya.
Tatizo lipo kwa baadhi ya wazazi ambao hawana mtazamo wa maisha kama Mimi. Wazazi ambao wana amini mtu mzima eti anaanzia miaka 18.
They are in a very panic mood as I write this thread. Nina classmate wangu dada mmoja wa kichaga katoka kunipigia hapa amechanganyikwia. Yeye anahisi either mtoto wake ana mdanganya au kuna tatizo limetokea huko taifa. (NA HIVI BINTI YAKE ANASOMEA KAMBANGWA BASI DADA WA WATU NDO KAPANIC BALAA BE WACHAGA KAMA MNAVYO HIS MAGONJWA YAO HUWAGA NI PRESHA NA KISUKARI SIKU ZOTE)
So nimeandika Uzi huu kwuaomba serikali na Uvccm kutoa ufafanuzi huo haraka ili kutuliza mioyo ya wazazi.
Mh. JOKATE MWEGELO.
Dkt Gwajima.
Mh. TULIA ACKSON
Maxence Melo
Yericko Nyerere
Hapo sawa kama kajitambua tayari huyo sio wa kuchunga tenaWatatu. Mmoja kamaliza chuo mwaka jana. Alizaliwa 2001 nikiwa form 3
CCM haina watu wa hovyo ila Tanzania ina wananchi wa hovyo. CCM wenyewe wanafanya haya ili kuendelea kula. Tatizo liko kwa hawa nyumbu wanaokubali kufuata upepo.CCM ina watu wa hovyo sana
Hapana sio kuhusu siasa, ni kuhusu maisha ya nje kwa ujumla.Hongera kumruhusu mtoto wale kuambatana na watesi wa wananchi...?
Usimpangie mtu namna ya kulea wanae, wee deal na wako tyuuh.Ujinga mtupu Baba zima linakaa kuongea na binti Yake mambo mazito ya kike
Hiyo Kazi anatakiwa afanye mama Yake,mashangazi na mabibi sio yeye baba
[emoji482][emoji482][emoji482]Kuna watu humu ndani mindset zao bado zimestuck in the 90s.
They think 2024 is 1994.
Kwangu Mimi msichana anakuwa mtu mzima akisha vunja ungo.
Msichana anapo vunja ungo ni nature inatuambia sasa tunda hili kimekwiva tayari kwa kuliwa.
Mtoto wangu wa kwanza nimempata 2001 nikiwa form3 Nna miaka 16 mama ake alikuwa na miaka 14 means ujauzito aliupata akiwa from 1 na miaka 13.
Kwangu Mimi binti wa miaka 17 mbona ni shangazi kabisa huyo.
Sina uwezo wa kumzuia chochote zaidi ya kumwambia ajikinge na ukimwi.
Hakuna tofauti yoyote ile kati ya msichana wa miaka 17 na 23. They are the same
Bila shaka hujamuelewa mleta uzi.Ulivyo poyoyo unasubilia tamko la mwanao ndio limlinde ,baba hovyo wewe
Ndiyo maana nilikwambia huna akili kwanzia mwanzo!But hawezi mfikia mama ako cause if she was not a b, then usinge zaliwa.
Who is a b?
A b ni mwanamke ambae analiwa na mwanaume huku wazazi wake wote wakiwa wanajua kabisa kwamba mtoto wetu analiwa na mwanaume fulani.
Wazazi wa mama ako walikuwa wanajua kabisa kwamba mama ako analiwa na baba ako. Baba ako alienda kabisa kwa wazazi wa mama ako kuwaambia kwamba anataka aanze kuwa anamla mama ako na wazazi wake wakakubali.
Kibaya zaidi akapewa kabisa na cheti cha umayaya ( cheti cha ndoa) kanisani/ msikitini. Cheti cha kuhalalisha umayaya wake.
Na asivyo na adabu mama ako anakwambia umuheshimu mwanaume anaemla( baba ako)
Binti yangu kweli ni malaya ila hamfikii mama ako.
Samahan mkuu,CCM ina watu wa hovyo sana
Bila shaka hujamuelewa mleta uzi.
Ukisoma between the lines unaona kabisa baba mtu anajua ujanja ujanja wa mwanae.
Ila keshamuasa kua hayo ni maisha yake na yeye hatohusika na maswaibu atakayojitafutia kwa kudanganya, hivyo awe muwazi kwa kila tendo.
Ndo hapo yeye taarifa anazipata direct toka kwa binti na anaamini kile binti anasema.