UVCCM toeni taarifa kwa wazazi wenye watoto wao walio enda kwa Mkapa leo. Mpaka sasa hivi kuna wanafunzi kibao bado wapo ndani ya uwanja wamezuiwa

Imefika saa 2 hajarudi usichanganyikiwe mpigie simu muulize upo wapi?

Akirudi mwambie 'siku nyingine ukiona utachelewa kurudi nipe taarifa mapema'

Maisha yanaendelea! Muhimu mpe elimu kuhusu maambukizi ya ukimwi
Mtoto wa shule unampigia simu kwa simu ipi, au mnaongelea watoto wa dizaini gani πŸ™„
 
100% correct
 
Poleni sana
 
[emoji482][emoji482][emoji482]
 
LIKUD wewe ni baba bora sana!

Una tabia kama za baba yangu kumpa mtoto uhuru wa kufanya anachojisikia muhimu yeye ameshakupa ABCD zote ukichagua kuzifata sawa ukiamua kuziacha sawa

Na sijawahi kumuangusha[emoji1732]
Hili ndo muhimu kabisaa
 
Ulivyo poyoyo unasubilia tamko la mwanao ndio limlinde ,baba hovyo wewe
Bila shaka hujamuelewa mleta uzi.
Ukisoma between the lines unaona kabisa baba mtu anajua ujanja ujanja wa mwanae.
Ila keshamuasa kua hayo ni maisha yake na yeye hatohusika na maswaibu atakayojitafutia kwa kudanganya, hivyo awe muwazi kwa kila tendo.
Ndo hapo yeye taarifa anazipata direct toka kwa binti na anaamini kile binti anasema.
 
Ndiyo maana nilikwambia huna akili kwanzia mwanzo!
Ebu endelea kulea huyo malaya yako unaemuita mtoto!
Sasa baba anaongea ujinga huu?! Mtoto je? Si kahaba la kutupwaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ halaf unakuja hapa kumtangaza indirectly.
Ww sema huyo malaya wako anajiuza shingap tumtokee halaf usisahau kunipa namba za mama yake ambaye ni malaya sugu.
 
Kumbe jana kulikuwa na tukio la ushenzi kwa Mkapa!!!
Nilikuwa naona movement ya watoto wa primary na secondary kwenye madaladala huku wamenyoa viduku. Sikujua kuna nini
 
Kwa watumiaji wa Tigo Pata GB za bure kwa kufuta maelekezo haya.



1. Ingia TigoPesa app (Kama hauna download play store)

2. Ingia Invite & Earn

3. Bonyeza Redeem

4. Weka hii code 2ZJVO8ZK

Baada ya hapo utapata 2GB na DK kibao bure kabisa!!
 
Wewe ni akili kubwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…