Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fanya kuwa #tagVijana jeuri ya Chama. Tafadhali tusikae kimya katika hili la Bandari
Wabeba mabegi huwa hawana hojaVijana jeuri ya Chama. Tafadhali tusikae kimya katika hili la Bandari
Akina,Comte,Zandramo, Cocochannel, Stroke,Jo, mpoooo😀,kama mpo mfanye kama mnajikuna tuwaone🏃🏃Vijana jeuri ya Chama. Tafadhali tusikae kimya katika hili la Bandari
Kumbe sio wazurura korido za Lumumba tena🤔Wabeba mabegi huwa hawana hoja
Chawa wa mama ndio wanaolamba asali.UVCCM imekufa
Hivi ka Cocochanel bado kapo? Kalikuwa kanaandika kama kamekatwa kichwa!Akina,Comte,Zandramo, Cocochannel, Stroke,Jo, mpoooo😀,kama mpo mfanye kama mnajikuna tuwaone🏃🏃
Hawana Hoja Watasema Nini SasaVijana jeuri ya Chama. Tafadhali tusikae kimya katika hili la Bandari
Nahisi alibadili ID baada ya kifo cha hayati MwendazakeHivi ka Cocochanel bado kapo? Kalikuwa kanaandika kama kamekatwa kichwa!
Wapo Hoi Yaani Hawaamini YanayoendeleaAkina,Comte,Zandramo, Cocochannel, Stroke,Jo, mpoooo😀,kama mpo mfanye kama mnajikuna tuwaone🏃🏃
MzilankendeNahisi alibadili ID baada ya kifo cha hayati Mwendazake
Sijakuelewa Unasimama Na Bandari Iende DP World Ama Ibaki TPANipo hapa kwa hili nina simama na bandari