mtwa mkulu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2013
- 8,586
- 11,227
Hao wanasubiria teuzi, wao matumbo yao kwanza Taifa baadae.Vijana jeuri ya Chama. Tafadhali tusikae kimya katika hili la Bandari
Fanya kuwa #tag
Irudi wapi?Katika hili hakuna uchama, bandari irudi!
Vijana jeuri ya Chama. Tafadhali tusikae kimya katika hili la Bandari
Thubutu 🤣🤣🤣!! Naaani wa kupinga?Vijana jeuri ya Chama. Tafadhali tusikae kimya katika hili la Bandari Maana wapinzani wanapotosha kupitiliza.
[emoji1] imeishia hiyoAzimio limepitishwa Kwa kishindo. Tunasubiri maandamano ya DJ mboe
Hawana Hoja Watasema Nini Sasa
Chawa wa mama vs uvccm.UVCCM imekufa
Kila ninaposikia wanapotosha sioni mkiusema ukweli wa huo mkataba. Onyeseni ,Kwa mfano mkataba una ukomo, nimiaka mingapi. Hawatalipa kodi, kwamba ni uongo serikali haitatoa taarifa Kwa dp ikiwa inataka kufanya shughuli yeyote ktika maeneo ya bandari zetu na wakubali. Kwamba ni uongo mkataba huu hautavunjwa Kwa sababu yeyote Ile Kwa pande zote mbili!njoni na kilicho kinyume na hayoVijana jeuri ya Chama. Tafadhali tusikae kimya katika hili la Bandari Maana wapinzani wanapotosha kupitiliza.