Pre GE2025 UVCCM wa UDSM wasema Fomu ya Mgombea Urais itolewe Moja tu!

Pre GE2025 UVCCM wa UDSM wasema Fomu ya Mgombea Urais itolewe Moja tu!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Tawi la Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) Isack Sumbali ametoa ombi kwa Vikao vya juu vya maamuzi vya Chama hicho kuanzia Kamati Kuu, Halmashauri Kuu na Mkutano Mkuu kuhakikisha wanatoa fomu moja pekee ya mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania pindi wakati mchakato huo utakapofanyika mwaka 2025.

Amezungumza hayo kwenye Mkutano Mkuu wa UVCCM UDSM uliofanyika Abiyani njia panda ya Chuo ambapo pamoja na mambo mengine amesema fomu inayopeneekezwa iwe ya Dkt. Samia Suluhu Hassan ambaye kwa sasa ni Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Duh..
Hawa madogo wameamua kuwa chawa wa kutupwa!
Hovyo kabisa
 

Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Tawi la Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) Isack Sumbali ametoa ombi kwa Vikao vya juu vya maamuzi vya Chama hicho kuanzia Kamati Kuu, Halmashauri Kuu na Mkutano Mkuu kuhakikisha wanatoa fomu moja pekee ya mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania pindi wakati mchakato huo utakapofanyika mwaka 2025.

Amezungumza hayo kwenye Mkutano Mkuu wa UVCCM UDSM uliofanyika Abiyani njia panda ya Chuo ambapo pamoja na mambo mengine amesema fomu inayopeneekezwa iwe ya Dkt. Samia Suluhu Hassan ambaye kwa sasa ni Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
UDSM sekondari school.
 

Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Tawi la Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) Isack Sumbali ametoa ombi kwa Vikao vya juu vya maamuzi vya Chama hicho kuanzia Kamati Kuu, Halmashauri Kuu na Mkutano Mkuu kuhakikisha wanatoa fomu moja pekee ya mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania pindi wakati mchakato huo utakapofanyika mwaka 2025.

Amezungumza hayo kwenye Mkutano Mkuu wa UVCCM UDSM uliofanyika Abiyani njia panda ya Chuo ambapo pamoja na mambo mengine amesema fomu inayopeneekezwa iwe ya Dkt. Samia Suluhu Hassan ambaye kwa sasa ni Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Inamaana Samia haaminiki na hakubariki? Mbona mnamtengenezea mazingira ya kum protect sana?

Ina maana watz tunaanza kuukataa ule usemi wa chema chajiuza?
 

Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Tawi la Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) Isack Sumbali ametoa ombi kwa Vikao vya juu vya maamuzi vya Chama hicho kuanzia Kamati Kuu, Halmashauri Kuu na Mkutano Mkuu kuhakikisha wanatoa fomu moja pekee ya mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania pindi wakati mchakato huo utakapofanyika mwaka 2025.

Amezungumza hayo kwenye Mkutano Mkuu wa UVCCM UDSM uliofanyika Abiyani njia panda ya Chuo ambapo pamoja na mambo mengine amesema fomu inayopeneekezwa iwe ya Dkt. Samia Suluhu Hassan ambaye kwa sasa ni Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Chawaaaa
 

Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Tawi la Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) Isack Sumbali ametoa ombi kwa Vikao vya juu vya maamuzi vya Chama hicho kuanzia Kamati Kuu, Halmashauri Kuu na Mkutano Mkuu kuhakikisha wanatoa fomu moja pekee ya mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania pindi wakati mchakato huo utakapofanyika mwaka 2025.

Amezungumza hayo kwenye Mkutano Mkuu wa UVCCM UDSM uliofanyika Abiyani njia panda ya Chuo ambapo pamoja na mambo mengine amesema fomu inayopeneekezwa iwe ya Dkt. Samia Suluhu Hassan ambaye kwa sasa ni Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Boss
Ukiona hizi kelele za single form zinazidi ujue ni dalili ya kukata tamaa.

WanaCCM wamekata tamaa
Mbeba maono amekata tamaa.

Mbinumbinu ndo zitatumika. Tujiandae na misiba isiyo na kichwa wala miguu.

Kila nafsi itaonja....
 

Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Tawi la Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) Isack Sumbali ametoa ombi kwa Vikao vya juu vya maamuzi vya Chama hicho kuanzia Kamati Kuu, Halmashauri Kuu na Mkutano Mkuu kuhakikisha wanatoa fomu moja pekee ya mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania pindi wakati mchakato huo utakapofanyika mwaka 2025.

Amezungumza hayo kwenye Mkutano Mkuu wa UVCCM UDSM uliofanyika Abiyani njia panda ya Chuo ambapo pamoja na mambo mengine amesema fomu inayopeneekezwa iwe ya Dkt. Samia Suluhu Hassan ambaye kwa sasa ni Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Ngoja wamalize chuo. Akili zitakaa sawa
 
Hebu fikiria hawa ndiyo wako elimu ya juu lkn hawatambui umuhimu wa demokrasia ndani ya chama???!!

Wasomi wazima wanataka kuziba mkondo wa demokrasia ndani ya chama. Aibu naona mimi.

Hii nchi aliyeturoga kafariki
Huyu sio msomi ni "chawa pro max"
 
Mimi sielewi demokrasia ya CCM and Tanzania kwa ujumla. Ikiwa CCm in wanachama na wafuasi zaidi ya milioni tano nchini alafu wanatoa fomu moja tu kwa mgombea jee hii kweli demokrasia au Udikteta? Yaani mtu mmoja ndiye anayefaa pekee kati ya watu milioni tano?
 

Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Tawi la Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) Isack Sumbali ametoa ombi kwa Vikao vya juu vya maamuzi vya Chama hicho kuanzia Kamati Kuu, Halmashauri Kuu na Mkutano Mkuu kuhakikisha wanatoa fomu moja pekee ya mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania pindi wakati mchakato huo utakapofanyika mwaka 2025.

Amezungumza hayo kwenye Mkutano Mkuu wa UVCCM UDSM uliofanyika Abiyani njia panda ya Chuo ambapo pamoja na mambo mengine amesema fomu inayopeneekezwa iwe ya Dkt. Samia Suluhu Hassan ambaye kwa sasa ni Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Achana na hao form ten
 

Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Tawi la Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) Isack Sumbali ametoa ombi kwa Vikao vya juu vya maamuzi vya Chama hicho kuanzia Kamati Kuu, Halmashauri Kuu na Mkutano Mkuu kuhakikisha wanatoa fomu moja pekee ya mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania pindi wakati mchakato huo utakapofanyika mwaka 2025.

Amezungumza hayo kwenye Mkutano Mkuu wa UVCCM UDSM uliofanyika Abiyani njia panda ya Chuo ambapo pamoja na mambo mengine amesema fomu inayopeneekezwa iwe ya Dkt. Samia Suluhu Hassan ambaye kwa sasa ni Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Hao wapiga punyeto na wameza P2 ndio mtaji wa ccm
 
Takataka kama hiyo inakuja kupewa uongozi.Kama kiongozi wao anatoa boko kama hilo sasa hawa walio chini yake si takataka kabisa
 

Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Tawi la Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) Isack Sumbali ametoa ombi kwa Vikao vya juu vya maamuzi vya Chama hicho kuanzia Kamati Kuu, Halmashauri Kuu na Mkutano Mkuu kuhakikisha wanatoa fomu moja pekee ya mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania pindi wakati mchakato huo utakapofanyika mwaka 2025.

Amezungumza hayo kwenye Mkutano Mkuu wa UVCCM UDSM uliofanyika Abiyani njia panda ya Chuo ambapo pamoja na mambo mengine amesema fomu inayopeneekezwa iwe ya Dkt. Samia Suluhu Hassan ambaye kwa sasa ni Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Mkubwa kuliko wote kwenye Chama ni Mwenyekiti !!
Atakachoamua Mwenyekiti ndio final !
Kwa kilatini Wanasemaga “Locuta causa finita “ 😂🙏🙏
Mengine ni Abracadabra tu !! 😂😂🙏🙏
 
Back
Top Bottom