Cash Generating Unit
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,286
- 39,418
Sometimes huwa naona aibu kusema nimesoma yudizimu. [emoji706][emoji706]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh..
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Tawi la Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) Isack Sumbali ametoa ombi kwa Vikao vya juu vya maamuzi vya Chama hicho kuanzia Kamati Kuu, Halmashauri Kuu na Mkutano Mkuu kuhakikisha wanatoa fomu moja pekee ya mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania pindi wakati mchakato huo utakapofanyika mwaka 2025.
Amezungumza hayo kwenye Mkutano Mkuu wa UVCCM UDSM uliofanyika Abiyani njia panda ya Chuo ambapo pamoja na mambo mengine amesema fomu inayopeneekezwa iwe ya Dkt. Samia Suluhu Hassan ambaye kwa sasa ni Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
UDSM sekondari school.
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Tawi la Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) Isack Sumbali ametoa ombi kwa Vikao vya juu vya maamuzi vya Chama hicho kuanzia Kamati Kuu, Halmashauri Kuu na Mkutano Mkuu kuhakikisha wanatoa fomu moja pekee ya mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania pindi wakati mchakato huo utakapofanyika mwaka 2025.
Amezungumza hayo kwenye Mkutano Mkuu wa UVCCM UDSM uliofanyika Abiyani njia panda ya Chuo ambapo pamoja na mambo mengine amesema fomu inayopeneekezwa iwe ya Dkt. Samia Suluhu Hassan ambaye kwa sasa ni Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Inamaana Samia haaminiki na hakubariki? Mbona mnamtengenezea mazingira ya kum protect sana?
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Tawi la Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) Isack Sumbali ametoa ombi kwa Vikao vya juu vya maamuzi vya Chama hicho kuanzia Kamati Kuu, Halmashauri Kuu na Mkutano Mkuu kuhakikisha wanatoa fomu moja pekee ya mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania pindi wakati mchakato huo utakapofanyika mwaka 2025.
Amezungumza hayo kwenye Mkutano Mkuu wa UVCCM UDSM uliofanyika Abiyani njia panda ya Chuo ambapo pamoja na mambo mengine amesema fomu inayopeneekezwa iwe ya Dkt. Samia Suluhu Hassan ambaye kwa sasa ni Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Chawaaaa
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Tawi la Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) Isack Sumbali ametoa ombi kwa Vikao vya juu vya maamuzi vya Chama hicho kuanzia Kamati Kuu, Halmashauri Kuu na Mkutano Mkuu kuhakikisha wanatoa fomu moja pekee ya mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania pindi wakati mchakato huo utakapofanyika mwaka 2025.
Amezungumza hayo kwenye Mkutano Mkuu wa UVCCM UDSM uliofanyika Abiyani njia panda ya Chuo ambapo pamoja na mambo mengine amesema fomu inayopeneekezwa iwe ya Dkt. Samia Suluhu Hassan ambaye kwa sasa ni Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Boss
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Tawi la Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) Isack Sumbali ametoa ombi kwa Vikao vya juu vya maamuzi vya Chama hicho kuanzia Kamati Kuu, Halmashauri Kuu na Mkutano Mkuu kuhakikisha wanatoa fomu moja pekee ya mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania pindi wakati mchakato huo utakapofanyika mwaka 2025.
Amezungumza hayo kwenye Mkutano Mkuu wa UVCCM UDSM uliofanyika Abiyani njia panda ya Chuo ambapo pamoja na mambo mengine amesema fomu inayopeneekezwa iwe ya Dkt. Samia Suluhu Hassan ambaye kwa sasa ni Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Ngoja wamalize chuo. Akili zitakaa sawa
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Tawi la Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) Isack Sumbali ametoa ombi kwa Vikao vya juu vya maamuzi vya Chama hicho kuanzia Kamati Kuu, Halmashauri Kuu na Mkutano Mkuu kuhakikisha wanatoa fomu moja pekee ya mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania pindi wakati mchakato huo utakapofanyika mwaka 2025.
Amezungumza hayo kwenye Mkutano Mkuu wa UVCCM UDSM uliofanyika Abiyani njia panda ya Chuo ambapo pamoja na mambo mengine amesema fomu inayopeneekezwa iwe ya Dkt. Samia Suluhu Hassan ambaye kwa sasa ni Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Nadhani ni Revolution squareUDSM ya siku hizi imechuja sana.
Siyo kama ya enzi zile za harakati za "Nyerere Square".
Wanasiasa wameiharibu sana UDSM.
Huyu sio msomi ni "chawa pro max"Hebu fikiria hawa ndiyo wako elimu ya juu lkn hawatambui umuhimu wa demokrasia ndani ya chama???!!
Wasomi wazima wanataka kuziba mkondo wa demokrasia ndani ya chama. Aibu naona mimi.
Hii nchi aliyeturoga kafariki
Achana na hao form ten
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Tawi la Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) Isack Sumbali ametoa ombi kwa Vikao vya juu vya maamuzi vya Chama hicho kuanzia Kamati Kuu, Halmashauri Kuu na Mkutano Mkuu kuhakikisha wanatoa fomu moja pekee ya mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania pindi wakati mchakato huo utakapofanyika mwaka 2025.
Amezungumza hayo kwenye Mkutano Mkuu wa UVCCM UDSM uliofanyika Abiyani njia panda ya Chuo ambapo pamoja na mambo mengine amesema fomu inayopeneekezwa iwe ya Dkt. Samia Suluhu Hassan ambaye kwa sasa ni Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Kinazalisha machawa tuHivi hicho chuo kinazalisha wasomi bado,mm naona kinazalisha wakat mauno tu
Ova
Hao wapiga punyeto na wameza P2 ndio mtaji wa ccm
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Tawi la Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) Isack Sumbali ametoa ombi kwa Vikao vya juu vya maamuzi vya Chama hicho kuanzia Kamati Kuu, Halmashauri Kuu na Mkutano Mkuu kuhakikisha wanatoa fomu moja pekee ya mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania pindi wakati mchakato huo utakapofanyika mwaka 2025.
Amezungumza hayo kwenye Mkutano Mkuu wa UVCCM UDSM uliofanyika Abiyani njia panda ya Chuo ambapo pamoja na mambo mengine amesema fomu inayopeneekezwa iwe ya Dkt. Samia Suluhu Hassan ambaye kwa sasa ni Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Mkubwa kuliko wote kwenye Chama ni Mwenyekiti !!
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Tawi la Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) Isack Sumbali ametoa ombi kwa Vikao vya juu vya maamuzi vya Chama hicho kuanzia Kamati Kuu, Halmashauri Kuu na Mkutano Mkuu kuhakikisha wanatoa fomu moja pekee ya mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania pindi wakati mchakato huo utakapofanyika mwaka 2025.
Amezungumza hayo kwenye Mkutano Mkuu wa UVCCM UDSM uliofanyika Abiyani njia panda ya Chuo ambapo pamoja na mambo mengine amesema fomu inayopeneekezwa iwe ya Dkt. Samia Suluhu Hassan ambaye kwa sasa ni Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Kazi kweli kweli !Sometimes huwa naona aibu kusema nimesoma yudizimu. [emoji706][emoji706]
Ahsante Mkuu, si unajua Sisi wengine tumepita hapo miaka mingi iliyopita?!Nadhani ni Revolution square