UVCCM wako kimya sana Eid El Fitr hawajaenda hospitalini kutoa zawadi kwa wagonjwa kama ilivyozoeleka, kwanini?

UVCCM wako kimya sana Eid El Fitr hawajaenda hospitalini kutoa zawadi kwa wagonjwa kama ilivyozoeleka, kwanini?

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Kila kona wanasikika Bavicha tu mara wamepeleka tende kwa wale Uamsho kwa ajili ya sikukuu mara wanasindikiza malori ya TBL yanayopeleka bia wilayani Hai, lakini wenzao wa UVCCM hawasikiki kabisa sikukuu hii.

Ni kawaida ya UVCCM kutembelea wagonjwa na watoto yatima wakati wa Eid El Fitr na kugawa zawadi lakini zamu hii wako baridi kabisa, hawasikiki.

Au ni kwa sababu ya Corona ya India wanaogopa kusongamana?

Eid Mubarak!
 
Kila kona wanasikika Bavicha tu mara wamepeleka tende kwa wale Uamsho kwa ajili ya sikukuu mara wanasindikiza malori ya TBL yanayopeleka bia wilayani Hai, lakini wenzao wa UVCCM hawasikiki kabisa sikukuu hii.

Ni kawaida ya UVCCM kutembelea wagonjwa na watoto yatima wakati wa Eid El Fitr na kugawa zawadi lakini zamu hii wako baridi kabisa, hawasikiki.

Au ni kwa sababu ya Corona ya India wanaogopa kusongamana?

Eid Mubarak!
Wenyewe kwa sasa wameamua kutulia kukijenga chama,kwani sii muda wakubweteka tena,kwani tuendako dola na chama,vitasimama kwa miguu yake yenyewe.Washauri vyema ndugu Joni waache kuishi kwa mazoea ,mambo yamebadilika,walisha usahau ushindani wa hoja,na ushindani wa ushawishi na kuwekeza kwenye ubabe na hila katika kufanikisha mipango na malengo yao.Kwa sasa ni kama wamedhamiria kubadilika,japo sii wa kuwaamini kwa hatua hizi za mwanzo.
 
Wenyewe kwa sasa wameamua kutulia kukijenga chama,kwani sii muda wakubweteka tena,kwani tuendako dola na chama,vitasimama kwa miguu yake yenyewe.Washauri vyema ndugu Joni waache kuishi kwa mazoea ,mambo yamebadilika,walisha usahau ushindani wa hoja,na ushindani wa ushawishi na kuwekeza kwenye ubabe na hila katika kufanikisha mipango na malengo yao.Kwa sasa ni kama wamedhamiria kubadilika,japo sii wa kuwaamini kwa hatua hizi za mwanzo.
Nimekuelewa bwashee...... Ukiona kobe kainama!
 
Back
Top Bottom