UVCCM wameukimbia Mtiti wa DP World, Baba Levo na Steve ndio Backup iliyobaki

UVCCM wameukimbia Mtiti wa DP World, Baba Levo na Steve ndio Backup iliyobaki

Bush Dokta

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2023
Posts
24,831
Reaction score
45,154
Ingekuwa Enzi za Hayati Mafufuli basi Baba levo na Steve Nyerere wangepata Teuzi aidha ndani ya Chama au Serikalini.

Wameonesha uwezo na ujasiri kutete falsafa na maono ya mwenyekiti CCM Taifa Dr Samia Suluhu kuliko Wasomi wengi wa uvccm na Makada nguli.

Baba levo nilimsikia juzi akiwa kipindi cha Wasafi Media. Bado ana hoja ambazo akina Ali Hapi, akina Muro na Akina Shaka hamdu Shaka zimewashinda.

Huu ni ujasiri wa ajabu.
 
Baba Levo hakuwahi kuwa UVCCM , aliwahi kuwa diwani wa kigoma wa ACT , na alifungwa jela na ule utawala wa kikatili , ila sasa kutokana na kutaka Makubwa na uchawa ndio maana anadhalilika
 
Baba Levo hakuwahi kuwa UVCCM , aliwahi kuwa diwani wa kigoma wa ACT , na alifungwa jela na ule utawala wa kikatili , ila sasa kutokana na kutaka Makubwa na uchawa ndio maana anadhalilika
Ndio maana kwa sasa amekuwa backup ya CCM. Yaani kazi ambayo ingefanywa na Team nzima ya UVCCM anaifanya kamanda Baba Levo.
 
Tumewaambia vijana wote waacheni wanaopinga wajitekenye wenyewe wacheke wenyewe. Sisi kazi iendelee.

Waacheni wabwabwaje na kuhororooja wenyewe kwa wenyewe. Mradi sisi tumeshawajuwa kina nani wala hawatupi shida.
 
Tumewaambia vijana wote waacheni wanaopinga wajitekenye wenyewe wacheke wenyewe. Sisi kazi iendelee.

Waacheni wabwabwaje na kuhororooja wenyewe kwa wenyewe. Mradi sisi tumeshawajuwa kina nani wala hawatupi shida.
MSG
 
Ingekuwa Enzi za Hayati Mafufuli basi Baba levo na Steve Nyerere wangepata Teuzi aidha ndani ya Chama au Serikalini.

Wameonesha uwezo na ujasiri kutete falsafa na maono ya mwenyekiti CCM Taifa Dr Samia Suluhu kuliko Wasomi wengi wa uvccm na Makada nguli.

Baba levo nilimsikia juzi akiwa kipindi cha Wasafi Media. Bado ana hoja ambazo akina Ali Hapi, akina Muro na Akina Shaka hamdu Shaka zimewashinda.

Huu ni ujasiri wa ajabu.
Acha ujinga. Dr. Magufuli aache kutumia maprof atumie vilaza kweli?
 
Tumewaambia vijana wote waacheni wanaopinga wajitekenye wenyewe wacheke wenyewe. Sisi kazi iendelee.

Waacheni wabwabwaje na kuhororooja wenyewe kwa wenyewe. Mradi sisi tumeshawajuwa kina nani wala hawatupi shida.
Uvccm......mbona Faiza hukuunga mkono SGR tatizo ni mradi au ni mtu??
 
Kuna mzee Warioba, kuna Issa Shivji, kuna Tibaijuka, kuna Tundu Lisu, kuna TLS, kuna kadinali Pengo, kuna BAKWATA, kuna Dr. Shoo na wengine wengi wenye akili zao.


Mleta mada amechagua kumsikiliza Bba Levo!
Natamami uvccm waunge mkono kama wanavyounga mambo mengine yasiyo na maana. Naona wamekula nduki,,😅😅
 
Kuna mzee Warioba, kuna Issa Shivji, kuna Tibaijuka, kuna Tundu Lisu, kuna TLS, kuna kadinali Pengo, kuna BAKWATA, kuna Dr. Shoo na wengine wengi wenye akili zao.


Mleta mada amechagua kumsikiliza Bba Levo!
Mleta mada ni mpuuzi wa mwisho yani mtu mwenye akili zake anaweza kusikiliza hoja kutoka kwa baba levo ?
 
Back
Top Bottom