UVCCM wamuonya Anthony Diallo

a.k.a jasusi mbobezi... alimwambia kichaa wa mirembe niguse ninuke, kama hujapotea kwenye hizo corridor za ikulu. Nchi ina mambo hii!
Mzee wa niguse ninuke kawa kimya sijui kafanikisha mission gani huyu bwana
 
Tukkulize wewe dogo.. Aliyo yasema Dialo ni kweli au uongo? Je ni uongo alitembea na mabunduki mengi? Ni uongo aliharibu protocol za utawala? Ni uongo aliharubu uchumi?? Dialo sio size yako. Wewe ni dogo sana kwenye siasa za nchi hii. Kavue dagaa
 
alitak
alitaka asidaiwe kodi kisa yeye ni mwenyekiti wa CCM?
Na vipi yule aliyechukia baada ya kuulizwa zilipo 1.5 trillion? Akamchukia na CAG maisha yake yote hadi anatwaliwa😅😅😅😅😅😂😂😂😂
 
Tukkulize wewe dogo.. Aliyo yasema Dialo ni kweli au uongo? Je ni uongo alitembea na mabunduki mengi? Ni uongo aliharibu protocol za utawala? Ni uongo aliharubu uchumi?? Dialo sio size yako. Wewe ni dogo sana kwenye siasa za nchi hii. Kavue dagaa
Kwa hiyo world bank ni waongo kwamba Tanzania imeingia uchumi wa kati?
 
Alikuwa anakipigania chama sio yule mwehu.. Diallo tunamjua ni tajiri wa kisukuma. Sio choka mbaya kama wewe
Halafu najiuliza hawa UVCCM walikuwa wapi wakati kina hapi, musiba , na wengineo wana wasema vibaya wastaafu eti leo mungu wao kuambiwa ukweli wa tabia zake wana ibuka na vioja.
 
soma katikakati ya mistari...ni daktari anayeweza kuthibitisha fulani ni kichaa... kupitia report ya daktari ndio tunaweza kuthibitisha hilo....umeshawahi kuiona hiyo report ya daktari?.....
Si kila kitu unaweza kutumia ripoti za wataalamu. Mfano huwezi ukauluza sehemu au njia wale watu wanaookota takataka na kula jalalani kwa kuwa tu huna uthibitisho wa kidaktari. Vivyo hivyo jengo refu au daraja lina nyufa unasema unaishi humo au kupita kwa kuwa tu wahandusi hawajatoa cheti cha ubovu wa miundombinu husika.

Kuna vitu vya kuangalia na kutumia common sense uliyonayo vinginevyo ukishindwa na weww unakuwa katika kundi husika lisilojitambua.

Unatumia matendo,kauli na tabia kutambua utimamu wa mtu.

Kwa kusema hivyo sio kuwa naunga mkono hoja iliyopo mezani,no.Nilikuwa nakazia juu ya matumizi ya "common sense" katika maeneo mbalimbali.
 
Katika kipindi cha miaka mitano iliyopita yapo mengi ya kujivunia yaliyofanywa na Serikali ya CCM.

Ulikuwepo upendeleo maalumu wa kuinua uchumi wa Mwanza.

Sasa iweje mwenyekiti wa CCM Mwanza asione yote hayo na badala yake akaongelea mbinyo wa kodi?

Kisiasa hii inamaanisha mwenyekiti huyo aliwadanganya wanamwanza katika kuinadi ilani ya CCM mwaka 2020 hivyo inambidi awajibike.
 
Usidhani watu kukaa kimya baada ya kutishwa na yule kiongozi muovu hawajui uovu aliokuwa anaufanya. Nenda Afrika kusini uone kama weusi tuliokuwa tunawaunga mkono, kama wanamsifia Kaburu Pieter Botha aliyejenga Afrika kusini.

Kama maendeleo ni kigezo cha watu kuvumilia uovu, ni kwanini Nyerere alipoteza raslimali za taifa kuwasaida weusi wa Afrika kusini, wakati nchi yao ilikuwa inapata maendeleo makubwa kuliko hata sisi Tanzania?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…