Utasusia wewe na mkeo wa watoto wako lakini watanzania hawawezi kufanya upumbavu kama huo eti kisa diallo kasema ukweli kuhusu aliye kuwa mungu mtu wenuDialo na Tv zake ni wa kususia hadi some poo.
Ajiuzulu kisa kasema ukweli kumuhusu nduli wenu? Hakuna kitu kama hichoanapaswa kujiuzulu
Mzee wa niguse ninuke kawa kimya sijui kafanikisha mission gani huyu bwanaa.k.a jasusi mbobezi... alimwambia kichaa wa mirembe niguse ninuke, kama hujapotea kwenye hizo corridor za ikulu. Nchi ina mambo hii!
Hahaha wanataka kila mtu aitukuze maiti, wajinga kweli hawa jamaa.Wajane wa mwendazake bado mmepanic na mmeshamaliza Eda 🤣
Sasa ameufyatuaAna nguvu ipi wakati alikuwa ameufyata kwa miaka 5
Tukkulize wewe dogo.. Aliyo yasema Dialo ni kweli au uongo? Je ni uongo alitembea na mabunduki mengi? Ni uongo aliharibu protocol za utawala? Ni uongo aliharubu uchumi?? Dialo sio size yako. Wewe ni dogo sana kwenye siasa za nchi hii. Kavue dagaaKatibu wa umoja wa vijana wa CCM Khenan Kihongosi amemuonya mwenyekiti wa ccm mkoa wa Mwanza bwana Diallo kuwa aache upotoshaji mara moja, kitendo cha kusema baadhi ya viongozi waliopita walitakiwa kuwa mirembe ni cha kipotoshaji kwani Diallo yupo kwenye vikao vyote vya maamuzi kwani ni mjumbe wa kamati kuu.
===
CCM imelaani kauli ya kubeza viongozi wastaafu iliyotolewa na mwenyekiti wa chama hicho Mkoa wa Mwanza, Antony Diallo katika mahojiano aliyofanya na kituo kimoja cha televisheni nchini.
Kauli hiyo imetolewa leo Jumamosi Julai 10, 2021 na katibu mkuu wa umoja wa vijana wa chama hicho (UVCCM), Kenani Kihongosi katika kikao cha majumuisho ya ziara ya kuimarisha chama inayofanywa na sekretarieti ya chama hicho ikiongozwa na katibu mkuu wa CCM, Daniel Chongolo.
Kihongosi amesema kauli iliyotolewa na kiongozi huyo ni msimamo wake mwenyewe na si wa CCM na kwamba jumuiya ya vijana inalaani kauli zinazotolewa na kiongozi huyo kuwabeza viongozi walioitumikia nchi, akitaka wastaafu hao kuachwa wapumzike.
"Tangu leo asubuhi tumeona ujumbe ukisambaa kwenye mitandao ya kijamii ikinukuu kauli iliyotolewa na mmoja na kiongozi ambaye anaingia kwenye vikao vya maamuzi lakini leo ameamua kutoa kauli hii ambayo imetuchukiza sana vijana kwani tulitegemea wawe wa kwanza kutuongoza, " amesema.
Kihongozi amesema kiongozi huyo wa CCM ambaye ni mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa amenukuliwa akisema viongozi wengine wanaoteuliwa na CCM wanapaswa kuwa hospitali ya magonjwa ya akili ya Mirembe iliyopo mkoani Dodoma.
MWANANCHI
Ndio utakapo washangaa wafuasi wa marehemu wanatamani kila mtu amuone marehemu kama mungu, HAIWEKANIWatu Wakisema Ukweli Hamtaki kwa hiyo Ulitaka AMSIFU Hata kama Hataki kusifiwa
Hataki kuingizwa majaribuni.Anakula pension yake.Mzee wa niguse ninuke kawa kimya sijui kafanikisha mission gani huyu bwana
Na vipi yule aliyechukia baada ya kuulizwa zilipo 1.5 trillion? Akamchukia na CAG maisha yake yote hadi anatwaliwa😅😅😅😅😅😂😂😂😂alitak
alitaka asidaiwe kodi kisa yeye ni mwenyekiti wa CCM?
Anajiandaa kurudi kwenye chama.. maana mbaya wake wameisha mzima kama taaMzee wa niguse ninuke kawa kimya sijui kafanikisha mission gani huyu bwana
Kwa hiyo world bank ni waongo kwamba Tanzania imeingia uchumi wa kati?Tukkulize wewe dogo.. Aliyo yasema Dialo ni kweli au uongo? Je ni uongo alitembea na mabunduki mengi? Ni uongo aliharibu protocol za utawala? Ni uongo aliharubu uchumi?? Dialo sio size yako. Wewe ni dogo sana kwenye siasa za nchi hii. Kavue dagaa
Sifa kubwa ya wanyantuzu ni wizi wa ng'ombeWanyatuzu Tunanyooshaga tu hakuna kupinda pinda
Hamalolo
Halafu najiuliza hawa UVCCM walikuwa wapi wakati kina hapi, musiba , na wengineo wana wasema vibaya wastaafu eti leo mungu wao kuambiwa ukweli wa tabia zake wana ibuka na vioja.Alikuwa anakipigania chama sio yule mwehu.. Diallo tunamjua ni tajiri wa kisukuma. Sio choka mbaya kama wewe
Tena kafa kwa korona aliyoiita kaugonjwa kadogoMagufuli siyo kiongozi mstaafu, Magufuli ni kiongozi aliyekufa.
Si kila kitu unaweza kutumia ripoti za wataalamu. Mfano huwezi ukauluza sehemu au njia wale watu wanaookota takataka na kula jalalani kwa kuwa tu huna uthibitisho wa kidaktari. Vivyo hivyo jengo refu au daraja lina nyufa unasema unaishi humo au kupita kwa kuwa tu wahandusi hawajatoa cheti cha ubovu wa miundombinu husika.soma katikakati ya mistari...ni daktari anayeweza kuthibitisha fulani ni kichaa... kupitia report ya daktari ndio tunaweza kuthibitisha hilo....umeshawahi kuiona hiyo report ya daktari?.....