UVCCM wamuonya Anthony Diallo

Shida ya CCM ukisema ukweli wewe ni adui namba 1 wanataka kusifia full time
 
Avuliwe nafasi zote za uongozi ndani ya Chama.
Ni kweli kama angalikuwa CDM angalivuliwa nafasi zake zote za uongozi na kufukuzwa uanachama kama walivyofanywa akina Halima Mdee, kwa kosa la kukisaliti chama. CCM haiko hivyo, ni wastaarabu.
 
Ninaanza kuamini kuwa kuna vifo hufurahiwa na watu wengi.
 
Diallo ni mfukuza upepo ambaye maslahi yake yaliguswa na JPM....sasa anataka huruma dunia imsikie kama naye yupo..Hapa ndio namuumgaga mkono JPM kwa kunyooosha hizi pumbavu...
Ni pumbavuu kwel kwel..na zilinyoroshwaa haswaaa..shenzi kabisaaa..walishajimilikisha chama..na nchi kwa ujumlaa..sasa wanaanza kupayuka payukaa jinga kabisaa haoo
 
Hii inaonesha kuwa wamekubaliana
na jambo hili.
Haiwezekani aliyekuwa Mkuu wa Nchi aitwe Mwehu afu Viongozi Wakuu wa Chama wasitoe tamko lolote.
Ni dhahiri kuna genge liko nyuma ya Dialo.
 
Mimi nilifikiri angalau wangempongeza kwa kujaribu kujitoa kundi la wanafiki,ili angalau warejee kwenye misingi,hapa dawa ni Katiba mpya dawa ya waliojimilikisha nchi na vyote vilivyomo . Ili ujumbe ufefika na mimi nasimama nae.
Atafukuzwa kwenye chama
 
Kenan akumbuke kuwa Sabaya yuko nyuma ya nondo! Aweke maneno ya akiba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…