OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
nadhani wangekanusha kama ana faili mirembe au lah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shida ya CCM ukisema ukweli wewe ni adui namba 1 wanataka kusifia full timeUsidhani watu kukaa kimya baada ya kutishwa na yule kiongozi muovu hawajui uovu aliokuwa anaufanya. Nenda Afrika kusini uone kama weusi tuliokuwa tunawaunga mkono, kama wanamsifia Kaburu Pieter Botha aliyejenga Afrika kusini.
Kama maendeleo ni kigezo cha watu kuvumilia uovu, ni kwanini Nyerere alipoteza raslimali za taifa kuwasaida weusi wa Afrika kusini, wakati nchi yao ilikuwa inapata maendeleo makubwa kuliko hata sisi Tanzania?
Labda kile kivukoMtoa mada nae ni type ya Magufuli, Mwanza kuna upendeleo gani ya ki maendeleo yalipelekwa?.
Ni kweli kama angalikuwa CDM angalivuliwa nafasi zake zote za uongozi na kufukuzwa uanachama kama walivyofanywa akina Halima Mdee, kwa kosa la kukisaliti chama. CCM haiko hivyo, ni wastaarabu.Avuliwe nafasi zote za uongozi ndani ya Chama.
Vichaa ccm ndio chimbo laoAvuliwe nafasi zote za uongozi ndani ya Chama.
Muhuni ni jpm kuwa kigeugeu
Labda world bank ya chatoKwa hiyo world bank ni waongo kwamba Tanzania imeingia uchumi wa kati?
Hata we ungekuwa dialo ungefanya hivyoKigeugeu kwenye nini, unaunga mkono 'upendeleo' ambao alitamanishwa Diallo ili akampenie chama?
Anataka aonekane anafanya kaziKhenan Diallo si saizi yako.
Ulitaka apigwe money laundering??? Tumia akili hata kdgAna nguvu ipi wakati alikuwa ameufyata kwa miaka 5
Ni pumbavuu kwel kwel..na zilinyoroshwaa haswaaa..shenzi kabisaaa..walishajimilikisha chama..na nchi kwa ujumlaa..sasa wanaanza kupayuka payukaa jinga kabisaa haooDiallo ni mfukuza upepo ambaye maslahi yake yaliguswa na JPM....sasa anataka huruma dunia imsikie kama naye yupo..Hapa ndio namuumgaga mkono JPM kwa kunyooosha hizi pumbavu...
Watoto hawana adabu kabisaKhenan Diallo si saizi yako.
Mimi nilifikiri angalau wangempongeza kwa kujaribu kujitoa kundi la wanafiki,ili angalau warejee kwenye misingi,hapa dawa ni Katiba mpya dawa ya waliojimilikisha nchi na vyote vilivyomo . Ili ujumbe ufefika na mimi nasimama nae.Ujumbe wa Dialo umefika
Atafukuzwa kwenye chamaMimi nilifikiri angalau wangempongeza kwa kujaribu kujitoa kundi la wanafiki,ili angalau warejee kwenye misingi,hapa dawa ni Katiba mpya dawa ya waliojimilikisha nchi na vyote vilivyomo . Ili ujumbe ufefika na mimi nasimama nae.
Kenan akumbuke kuwa Sabaya yuko nyuma ya nondo! Aweke maneno ya akibaKatibu wa umoja wa vijana wa CCM Khenan Kihongosi amemuonya Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mwanza bwana Diallo kuwa aache upotoshaji mara moja, kitendo cha kusema baadhi ya viongozi waliopita walitakiwa kuwa Mirembe ni cha kipotoshaji kwani Diallo yupo kwenye vikao vyote vya maamuzi kwani ni mjumbe wa kamati kuu.
===
CCM imelaani kauli ya kubeza viongozi wastaafu iliyotolewa na mwenyekiti wa chama hicho Mkoa wa Mwanza, Antony Diallo katika mahojiano aliyofanya na kituo kimoja cha televisheni nchini.
Kauli hiyo imetolewa leo Jumamosi Julai 10, 2021 na katibu mkuu wa umoja wa vijana wa chama hicho (UVCCM), Kenani Kihongosi katika kikao cha majumuisho ya ziara ya kuimarisha chama inayofanywa na sekretarieti ya chama hicho ikiongozwa na katibu mkuu wa CCM, Daniel Chongolo.
Kihongosi amesema kauli iliyotolewa na kiongozi huyo ni msimamo wake mwenyewe na si wa CCM na kwamba jumuiya ya vijana inalaani kauli zinazotolewa na kiongozi huyo kuwabeza viongozi walioitumikia nchi, akitaka wastaafu hao kuachwa wapumzike.
"Tangu leo asubuhi tumeona ujumbe ukisambaa kwenye mitandao ya kijamii ikinukuu kauli iliyotolewa na mmoja na kiongozi ambaye anaingia kwenye vikao vya maamuzi lakini leo ameamua kutoa kauli hii ambayo imetuchukiza sana vijana kwani tulitegemea wawe wa kwanza kutuongoza, " amesema.
Kihongozi amesema kiongozi huyo wa CCM ambaye ni mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa amenukuliwa akisema viongozi wengine wanaoteuliwa na CCM wanapaswa kuwa hospitali ya magonjwa ya akili ya Mirembe iliyopo mkoani Dodoma.
MWANANCHI