UVCCM wamuonya Anthony Diallo

Muulize mtoto wa mjini DC mpya Lijualikali au muulize Sumaye aliambiwa sumu haionjwi
Hivi ndivyo jinsi ya kuthibitisha tuhuma?Ungeulizwa na mahakama kuwa thibitisha tuhuma zako ungeiambia mahakama kuwa ikamuulize Lijuakali?Nikikuambia kuwa kichwani una funza badala ya ubongo nitakuwa nimekuonea?Vijana wa CCM mna tatizo gani katika kufikiri na katika kujenga hoja?Mna laana gani?
 
Diallo ameomba radhi kwa upupu wake
 
Comrade Anthony Diallo amesema maneno mazito.

Ametimiza ahadi ya mwana TANU/CCM isemayo "Nitasema kweli daima, fitina kwangu mwiko".

Ukweli uliochelewa ni bora kuliko uwongo uliowahi.
Ukweli umefika msikilizaji kasepa
 
Bila shaka anapaswa kujiuzulu
Kauli yake imewaponda mpaka waliompitisha mgombea, nao wanaonekana waliambukizwa ugonjwa walipokwenda kumtazama mgonjwa milembe, Diallo ajiandae kuunganishwa na Jasusi Bobezi aka Niguse Nismell
 
Amesema ameeleweka vibaya na Chadema
Chadema wameuziwa kesi bila kutaka, sikuwa najua kuwa Kenani Kihongosi ana kadi ya Chadema kisirisiri, mmmh!! Watu ni wasaliti balaa!🀣
 
Khenan, Diallo si saizi yako.
Watoto kama hao hawana heshima, malezi waliyopitia ndani ya CCM yamewaathiri kiakili na kisaikolojia. Unaweza kukuta kijana mwenyewe labda kazaliwa kwenye mikesha ya mwenge! CCM imewaharibu sana vijana wetu.


 
Na nyie nendeni startv mtuambie ukweli ni upi, tushachoka....
 
Dah!!!!

 
Kauli yake imewaponda mpaka waliompitisha mgombea, nao wanaonekana waliambukizwa ugonjwa walipokwenda kumtazama mgonjwa milembe, Diallo ajiandae kuunganishwa na Jasusi Bobezi aka Niguse Nismell
Ameshangaza sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…