Mdogo wangu
Mtela Mwampamba hivi ulipokuwa Chadema ulikuwa na Cheo gani? Kusema ukweli nakuonea huruma na roho inaniuma sana, yaani ulikuwa una bright future ya kisiasa lakini sasa hata ukiongea unachukuliwa kama mtu mwenye kutema pumba tu
yashike sana haya maneno yangu, JK akishatoka madarakani kama mwenyekiti wa CCM, wewe na yule dada mliyekimbilia CCM ndio utakuwa mwisho wa habari yenu,
kuna kitu mlikuwa hamkijui mwanzo, CCM ina wenyewe, ni ngumu sana kwa kijana usiye na jina na pia haumo ndani ya mfumo wao kuwa na maana ndani ya chama, umemuona Makonda alivyokuwa anamlamba miguu Rizimoko na matokeo yake umeyaona? ni tofauti sana na ilivyo Chadema ambayo inamnyanyua mtu kutoka kusikojulikana na kuwa jina kubwa kisiasa, Nyie mmetoka Chadema, kuna vijana kama Mwalim wamechipuka na ndio wanashine sasa
Muda bado upo na umri unakuruhusu, omba radhi na rudi kwenye Chama unachokipenda
hivi umemuona Hizza jana, CCM walishampoteza