Elections 2015 UVCCM yamvaa LOWASSA, yakerwa na kauli zake za kutetea wabakaji, wamshangaa SUMAYE

UVCCM hatutegemei mmuongelee vizuri Lowasa,na hiyo ni moja ya hoja zenu mlizolua mnazijadili ngurudoto za kumchafua Lowasa. Lowasa anakubalika nadni ya ccm na nnje ya ccm. Watanzania wanahitaji mabadiliko kupitia Lowasa. Hata mkimchafua kiasi gani lakini jembe letu ikulu lazima liingie.
 
ndoto za mchana...
 
Upuuzi mwingine huu...angeongea kwa mtitiriko ndo mgemsaport! Inawauma nini/ Umati ule ulikuwa,wa kwenu? Mlifingua kampeni zenu tuliona....ya jana ilikuwa ya ukawa.
 
Baba zao wako wapi?mbona vijana wanakereka kuliko baba zao?wapumbavu wakiamua wanaamua bana
 
wakitoka kwenu mafisadi wakiwa kwenu wasafi, swali, je! Mnaweza kutuambia baadhi ya mafisadi ambao bado mko nao kabla hawajahama? Je, ni lini serikali ya ccm imewatangaza mafisadi? Kwa maana hyo ccm inaongoza serikali ya kifisadi hasa awamu hii ya mwisho akiwepo baba mwenye nyumba!
 
Sasa tumejua,fisadi wa Richmond ni Kikwete!
 
Mdogo wangu Mtela Mwampamba hivi ulipokuwa Chadema ulikuwa na Cheo gani? Kusema ukweli nakuonea huruma na roho inaniuma sana, yaani ulikuwa una bright future ya kisiasa lakini sasa hata ukiongea unachukuliwa kama mtu mwenye kutema pumba tu

yashike sana haya maneno yangu, JK akishatoka madarakani kama mwenyekiti wa CCM, wewe na yule dada mliyekimbilia CCM ndio utakuwa mwisho wa habari yenu,
kuna kitu mlikuwa hamkijui mwanzo, CCM ina wenyewe, ni ngumu sana kwa kijana usiye na jina na pia haumo ndani ya mfumo wao kuwa na maana ndani ya chama, umemuona Makonda alivyokuwa anamlamba miguu Rizimoko na matokeo yake umeyaona? ni tofauti sana na ilivyo Chadema ambayo inamnyanyua mtu kutoka kusikojulikana na kuwa jina kubwa kisiasa, Nyie mmetoka Chadema, kuna vijana kama Mwalim wamechipuka na ndio wanashine sasa

Muda bado upo na umri unakuruhusu, omba radhi na rudi kwenye Chama unachokipenda

hivi umemuona Hizza jana, CCM walishampoteza
 
Last edited by a moderator:
Jamani si kazindua Jana tu kampeni na sasa yupo iringa? akimaliza wiki mtakuwaje kama Jana tu mkakesha kuandaa tamko! Yatakayoongelewa Iringa kesho mje na tamko lingine!
 

Akitahamaki washamsahau! kuna vyama ukiwa kiongozi watu wanakuona kichwa na wanataka kusikia kuhusu wewe na chama hicho ni cdm siyo ccm
 
Last edited by a moderator:
Usaliti ulioufanya kwa wana Mbozi hautakuja kukufanya uwe huru maisha yako yote. utabakia kutumika na kutumiwa.
 

uvccm ni vikaragosi wafa njaa wenye kutumika kama ndom.
tangu lini mtu wa kutoka ccm akasema cha maana??

LOWASSA NI WA CHADEMA NYIE WA CCM.ANAWAHUSU NINI??


KANYENI NA BAO LENU LA MKONONI MTAFUNGANA WENYEWE MWAKA HUU HATUTAK UPUMBAVU
 
Huyu Shaka msema hovyo huko kwao Zanzibar nsiye katumwa na hawa wachovu kuwatolea tamko?!
 

Hizo ni mbinu za kutapatapa kwa ccm na hazitasaidia chochote kuiokoa ccm,watanzania tumeshaamua kuipiga ccm chini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…