Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Mkoa wa Geita, Manjale Magambo, amewataka viongozi wa vyama vya upinzani kuacha malalamiko yanayohusiana na uandikishwaji wa wanafunzi wenye umri wa miaka 18 katika uchaguzi wa serikali za mitaa.
Kauli hiyo ameitoa alipokuwa akizungumza na wananchi wa Mtaa wa Mbugani katika harambee ya ujenzi wa ofisi za chama hicho, tawi la Mbugani.
Manjale amesisitiza kuwa wanafunzi hao wanayo haki ya kisheria ya kuandikishwa na kwamba wale wanaoshindwa kuelewa utaratibu huo wanapaswa kuacha malalamiko na kuachia zoezi hilo lifanyike kwa mujibu wa sheria.
Aidha, Manjale ameeleza kuwa vijana wenye uwezo wa kuongoza wanapaswa kupewa nafasi kuanzia ngazi za Serikali za Mitaa, vijiji, na vitongoji. Amesisitiza kuwa ni muhimu kuwawezesha vijana kushiriki kwenye uongozi ili kuleta maendeleo ndani ya jamii.
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Mkoa wa Geita, Manjale Magambo, amewataka viongozi wa vyama vya upinzani kuacha malalamiko yanayohusiana na uandikishwaji wa wanafunzi wenye umri wa miaka 18 katika daftari la makazi.Kauli hiyo ameitoa alipokuwa akizungumza na wananchi wa Mtaa wa Mbugani katika harambee ya ujenzi wa ofisi za chama hicho, tawi la Mbugani.Manjale amesisitiza kuwa wanafunzi hao wanayo haki ya kisheria ya kuandikishwa na kwamba wale wanaoshindwa kuelewa utaratibu huo wanapaswa kuacha malalamiko na kuachia zoezi hilo lifanyike kwa mujibu wa sheria.Aidha, Manjale ameeleza kuwa vijana wenye uwezo wa kuongoza wanapaswa kupewa nafasi kuanzia ngazi za Serikali za Mitaa, vijiji, na vitongoji. Amesisitiza kuwa ni muhimu kuwawezesha vijana kushiriki kwenye uongozi ili kuleta maendeleo ndani ya jamii.
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Mkoa wa Geita, Manjale Magambo, amewataka viongozi wa vyama vya upinzani kuacha malalamiko yanayohusiana na uandikishwaji wa wanafunzi wenye umri wa miaka 18 katika daftari la makazi.Kauli hiyo ameitoa alipokuwa akizungumza na wananchi wa Mtaa wa Mbugani katika harambee ya ujenzi wa ofisi za chama hicho, tawi la Mbugani.Manjale amesisitiza kuwa wanafunzi hao wanayo haki ya kisheria ya kuandikishwa na kwamba wale wanaoshindwa kuelewa utaratibu huo wanapaswa kuacha malalamiko na kuachia zoezi hilo lifanyike kwa mujibu wa sheria.Aidha, Manjale ameeleza kuwa vijana wenye uwezo wa kuongoza wanapaswa kupewa nafasi kuanzia ngazi za Serikali za Mitaa, vijiji, na vitongoji. Amesisitiza kuwa ni muhimu kuwawezesha vijana kushiriki kwenye uongozi ili kuleta maendeleo ndani ya jamii.
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Mkoa wa Geita, Manjale Magambo, amewataka viongozi wa vyama vya upinzani kuacha malalamiko yanayohusiana na uandikishwaji wa wanafunzi wenye umri wa miaka 18 katika daftari la makazi.Kauli hiyo ameitoa alipokuwa akizungumza na wananchi wa Mtaa wa Mbugani katika harambee ya ujenzi wa ofisi za chama hicho, tawi la Mbugani.Manjale amesisitiza kuwa wanafunzi hao wanayo haki ya kisheria ya kuandikishwa na kwamba wale wanaoshindwa kuelewa utaratibu huo wanapaswa kuacha malalamiko na kuachia zoezi hilo lifanyike kwa mujibu wa sheria.Aidha, Manjale ameeleza kuwa vijana wenye uwezo wa kuongoza wanapaswa kupewa nafasi kuanzia ngazi za Serikali za Mitaa, vijiji, na vitongoji. Amesisitiza kuwa ni muhimu kuwawezesha vijana kushiriki kwenye uongozi ili kuleta maendeleo ndani ya jamii.
Ndio uone hadi vijana waerevu wa shule wanajitokeza kujiandikisha kwaajili ya uchaguzi wa Serikali za mitaa wew unambwela mbwela na kubabaika tu hapa π
Ndio uone hadi vijana waerevu wa shule wanajitokeza kujiandikisha kwaajili ya uchaguzi wa Serikali za mitaa wew unambwela mbwela na kubabaika tu hapa π
Acha vijana wa shule, chukueni hadi mimba, lakini hakuna anayejitambua atajitokeza kuhalalisha majizi kukaa madarakani. Shindeni kwa kishindo lakini ujumbe umefika kuwa hamtakiwi.
Acha vijana wa shule, chukueni hadi mimba, lakini hakuna anayejitambua atajitokeza kuhalalisha majizi kukaa madarakani. Shindeni kwa kishindo lakini ujumbe umefika kuwa hamtakiwi.
Kidogo sasa, ukitaka kujua najitambua vizuri, toka dhalimu magufuli amenajisi uchaguzi nilikuwa nasema Tanzania hakuna uchaguzi bali kuna maonyesho ya ujinga mtu mweusi kwenye box ka kura. Na nikawa nasisitiza hakuna wanaojitambua wataendelea kujitokeza kushiriki huo upuuzi uitwao uchaguzi.
Wakati ni mwalimu wa kweli. Kinachoendelea kwenye zoezi hili la kujiandikisha kinaendana na nilichosema. Sasa huu ni mwanzo tu, mwakani wakati wa uchaguzi mkuu ndio mtaona watu wachache kuwahi kutokea kwenye chaguzi za nchi hii. Haya ni matokeo ya kuwa ccm imechokwa toka uchaguzi wa 2010, na ikaendelea kutumia nguvu ya dola kubaki madarakani. Ni aidha machafuko ama mapinduzi ya kijeshi ili heshima ya box la kura irejee. Endeleeni kutengeneza mafuriko fake kwa kutumia raslimali za umma, lakini ukweli wa kuwa ccm sio chama cha kizazi hiki uko wazi peupe.
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Mkoa wa Geita, Manjale Magambo, amewataka viongozi wa vyama vya upinzani kuacha malalamiko yanayohusiana na uandikishwaji wa wanafunzi wenye umri wa miaka 18 katika uchaguzi wa serikali za mitaa.
Kauli hiyo ameitoa alipokuwa akizungumza na wananchi wa Mtaa wa Mbugani katika harambee ya ujenzi wa ofisi za chama hicho, tawi la Mbugani.
Manjale amesisitiza kuwa wanafunzi hao wanayo haki ya kisheria ya kuandikishwa na kwamba wale wanaoshindwa kuelewa utaratibu huo wanapaswa kuacha malalamiko na kuachia zoezi hilo lifanyike kwa mujibu wa sheria.
Aidha, Manjale ameeleza kuwa vijana wenye uwezo wa kuongoza wanapaswa kupewa nafasi kuanzia ngazi za Serikali za Mitaa, vijiji, na vitongoji. Amesisitiza kuwa ni muhimu kuwawezesha vijana kushiriki kwenye uongozi ili kuleta maendeleo ndani ya jamii.