#COVID19 Uviko-19 wadaiwa kusababisha upungufu wa nguvu za kiume, tukachanje tuepuke tatizo

Upo sahihi.Anyway,kuna wengine CORONA iliwapitia pembeni ndo maana chanjo hawawezi kuielewa.CORONA ikiingia kwenye familia ni balaa,dada yangu alifariki katika mazingira ya uzembe kwa CORONA ambayo kila nikimkumbuka huwa naumia sana.Amekufa with just 26years akiwa anamalizia third year.
 
Mimi niko 31, kinga yangu ni imara ila nimechanja.

Na hapa naona wazee ndio wanakuja kuchanja
 
Mimi niko 31, kinga yangu ni imara ila nimechanja.

Na hapa naona wazee ndio wanakuja kuchanja
Hongera sana Mkuu.
Haya mambo ya CORONA wala hayahitaji nguvu kubwa,ni suala la muda tu!
Ukweli wa MUNGU kabisa,familia jirani yetu walipoteza watu 4 mfululizo ndani ya wiki 2,wengine wakaponea chupuchupu.Haya mambo tuyasikiege tu.MSIBA sikia kwa jirani
 
Duh! Mungu nipe nguvu ya roho niukwepe huu mtego wa nguvu za kiume.. hakuna utumwa mbaya kama ule wa hiyari.. ona sasa wanaume yanayoenda kutukuta aisee.. yote hii ni kwa sababu ya kuendekeza ngono sana.. hii chanjo kama ni mpango mbaya wa wachache kwa hii gia wengi watatembea
 
Mbona hujasema asilimia kubwa ya waliochanjwa wako hoi vitandani na wengine kurejesha mpira kwa kipa kabisa.

Ukichoma subiri kuanzia siku 5 ziishe unaanza kupata matokeo ya chanjo

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu zangu 4 wamerudisha mpira kwa kipa baada ya kuchanjwa.

Mfanyakazi mwezangu mmoja juzi ilikua kidogo arudishe chenji, nasubiri akae sawa nimwambie bado booster nisikie mapni yake😂😂.

Wafanyakazi wenzangu kama 7 hivi walipatwa na hali mbaya sana baada ya chanjo, wanajuta kuchanja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…