miriam Peter
New Member
- Mar 4, 2015
- 2
- 0
Habari yako,
Natumaini u mzima wa afya, nina mtoto wangu ambae alitahiriwa Ijumaa, lakini naona amevimba kwenye ile ngozi ya kawaida, Je nimsaidiaje? Hospitali nimeambiwa nimpake Asali, kidonda kitakauka..
Natumaini u mzima wa afya, nina mtoto wangu ambae alitahiriwa Ijumaa, lakini naona amevimba kwenye ile ngozi ya kawaida, Je nimsaidiaje? Hospitali nimeambiwa nimpake Asali, kidonda kitakauka..